Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Kiswahili ni local language kama kilivyo kisukuma,kigogo, kipare , Sasa msudani akijifunza Kiswahili akirudi kwao Sudan, ataongea na nani Kiswahili?
Kuna jamaa alikwenda Russia akajifunza Kirusi unadhani huku anaongea na nani ? Ila kule bila hicho Kirusi unadhani maisha yake yangekuwa mepesi ?

Hapa kuna point mbili; Moja sio kwamba hawa Wabongo ni watupu kabisa kwenye yai wanajua cha kuombea maji ambacho kinatosha; Hao waliokuja kama wanaona shida ya kuelewana na wabongo basi wajifunze kiswahili; sio weaknesses zao wahamishie huku au wangeenda kusoma UK; Ila unajua nini ? Hakuna sehemu nzuri ya kujifunza udaktari practically kama Africa; huku hata ukiwa intern ni rahisi sana kukutana na wagonjwa sio theory tu....
 
Kuna jamaa alikwenda Russia akajifunza Kirusi unadhani huku anaongea na nani ? Ila kule bila hicho Kirusi unadhani maisha yake yangekuwa mepesi ?

Hapa kuna point mbili; Moja sio kwamba hawa Wabongo ni watupu kabisa kwenye yai wanajua cha kuombea maji ambacho kinatosha; Hao waliokuja kama wanaona shida ya kuelewana na wabongo basi wajifunze kiswahili; sio weaknesses zao wahamishie huku au wangeenda kusoma UK; Ila unajua nini ? Hakuna sehemu nzuri ya kujifunza udaktari practically kama Africa; huku hata ukiwa intern ni rahisi sana kukutana na wagonjwa sio theory tu....
Umeongea vyema kabisa.

Kuto kujua mother language ya Nchi unayo enda, ni kosa la kwao sio la wenyeji. Ingekua ni Taasisi ya elimu sawa
 
Kuna jamaa alikwenda Russia akajifunza Kirusi unadhani huku anaongea na nani ? Ila kule bila hicho Kirusi unadhani maisha yake yangekuwa mepesi ?

Hapa kuna point mbili; Moja sio kwamba hawa Wabongo ni watupu kabisa kwenye yai wanajua cha kuombea maji ambacho kinatosha; Hao waliokuja kama wanaona shida ya kuelewana na wabongo basi wajifunze kiswahili; sio weaknesses zao wahamishie huku au wangeenda kusoma UK; Ila unajua nini ? Hakuna sehemu nzuri ya kujifunza udaktari practically kama Africa; huku hata ukiwa intern ni rahisi sana kukutana na wagonjwa sio theory tu....
Niambie wewe mwenyewe unajivunia lugha ipi Kati ya English na Kiswahili ?
 
Mkuu Hata Sisi tulikataa kabisa ile report, baada ya uchunguzi kufanyika ikabainika wazee English haipandi kabisa.
Japo MD wanadai kuna vitu hawakulipwa
Kwa hizo hospitali ulizotaja ndugu yangu , wengi wao ni watu najuana nao kikazi na pia ninawajua kiasi chake kwa hiyo issue ya ngeli nakataa kabisa kuna jambo limefichwa .

Wangesema hospitali za Kibaha huko kuna mwamba wangeenda pale ningesema kweli ila kwa hizo sehemu tajwa nakataa kabisa
 
Unaweza kukuta wanaogopa hata kuwatongoza watoto wa watu wanabaki kuugulia tu wanaweza hata kufa kwa genye.
 
Kwa hizo hospitali ulizotaja ndugu yangu , wengi wao ni watu najuana nao kikazi na pia ninawajua kiasi chake kwa hiyo issue ya ngeli nakataa kabisa kuna jambo limefichwa .

Wangesema hospitali za Kibaha huko kuna mwamba wangeenda pale ningesema kweli ila kwa hizo sehemu tajwa nakataa kabisa
Hahah Eti kibaha kuna Mwamba unamjua, na kigamboni ni hivyo hivyo Mzee 😂
 
Kwa asilimia kubwa huu uzi una uongo kwa asilimia 100,..hospital kuna kada tofauti hakuna madaktari peke yake,pale kuna levels za Medical attendant,Nurses,wataalam wa maabara,wataalamu wa Mionzi,Wataalam wa meno,Clinical officers, AMO, MD na madaktari bingwa,..mwanafunzi yoyote anayesoma kada ya Afya lazima azunguke kwenye vitengo hivyo na hao wataalam atakutana nao,..mfano daktari anaweza asiwe fluently kwenye lugha lakini hawezi shindwa kuwasiliana na daktari yoyote Duniani kwa sababu kuna medical terminologies ambazo zinauwanganisha kwenye tiba...Watanzania tumekua na tabia za kupenda kusambaza uongo na kuponda vya kwetu na kuvisifia vya wengine,tuache hizi tabia..kwenye ukanda wa Afrika mashariki kwenye suala la Tiba Tanzania tuko juu kwa sasa,na hawa wataalamu tunzalisha kwenye vyuo vyetu vya ndani.
Hata Sisi tulikataa kabisa Kwamba hiki 👆 hakiwezekani, lakini baada ya uchunguzi kufanyika ikabainika wazee English haipandi kabisa
 
Hahah Eti kibaha kuna Mwamba unamjua, na kigamboni ni hivyo hivyo Mzee 😂
Huko yupo mwamba kweli naamini ngeli imemkataa toka kitambo hivyo wangeenda pale najua kwanza angeomba potea majuma kadhaa .

Tuliwahi kukutana kwenye kimkutano fulani kilidhaminiwa na watu wa nje , basi mwamba alikuwa kwenye kikao ni full kusonya tu maana anasema haelewi A wala Be .

Nikawa namuelewesha hivyo kigumu ukicheki na mimi ndiye yale yale basi tukawa tunaishi hivyo hivyo kama watoto wa baba mmoja ila nashukuru tulifanikiwa kumaliza salama salmini .
 
Kwa hizo hospitali ulizotaja ndugu yangu , wengi wao ni watu najuana nao kikazi na pia ninawajua kiasi chake kwa hiyo issue ya ngeli nakataa kabisa kuna jambo limefichwa .

Wangesema hospitali za Kibaha huko kuna mwamba wangeenda pale ningesema kweli ila kwa hizo sehemu tajwa nakataa kabisa
Na ndio maana tunataka Kiswahili kisitumike , tutumie English pekee
 
Kwa hizo hospitali ulizotaja ndugu yangu , wengi wao ni watu najuana nao kikazi na pia ninawajua kiasi chake kwa hiyo issue ya ngeli nakataa kabisa kuna jambo limefichwa .

Wangesema hospitali za Kibaha huko kuna mwamba wangeenda pale ningesema kweli ila kwa hizo sehemu tajwa nakataa kabisa
DOKTA unaupiga mwingiii
 
Back
Top Bottom