Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Mkulima wa parachichi huko mbeya Kwa kina chichi akiwa na anafanya mawasiliano na wateja wa nje ya Nchi, mfano wateja wa south Africa atazungumza lugha Gani ?
Usiende mbali! Ungeuliza ni kwa nini wakulima wengi wa parachichi Tanzania hawayapeleki maparachichi yao nje kama wenzao wa Kenya?
 
Kutema yai ndiyo kigezo cha ubobezi au ni ulimbukeni tu?
Nimekaa nchi ya Finland kwa miaka mingi, na kigezo cha kupata kazi ya utabibu kule ni uzungumze na kukielewa Kisuomi kwa ufasaha.

Tunapaswa kujivunia lugha yetu maana hatutaweza kuwa wabunifu kwenye sayansi kupitia lugha za kigeni
"Tunapaswa kujivunia lugha yetu maana hatutaweza kuwa wabunifu kwenye sayansi kupitia lugha za kigeni"
👆
Mkuu tz lugha yetu ni ipi?
 
Usiende mbali! Ungeuliza ni kwa nini wakulima wengi wa parachichi Tanzania hawayapeleki maparachichi yao nje kama wenzao wa Kenya?
Kuna mdau mmoja huko juu amenijibu atatumia AI au translater,
CCM imeharibu àkili za watu
 
Wao wenyewe wanasoma kwa kiarabu
The primary language of instruction in North Sudanese universities is Arabic. This is primarily due to the policy of "Arabicization" implemented in the country since the 1960s, which aimed to promote Arabic language and culture in education
Haha 🤣 ila watoto Wao wanabonga ngeli , itakuwa walisoma Kenya
 
Nimeshangaa mtaala mpya kuto tamka moja kwa moja kuwa lugha ya kufundishia iwe lugha ya kingereza kuanzia vidudu hadi chuo kikuu na kiswahili kitabaki kama somo tuu na ni la lazima!
Hawataki citizens wa tz wawe na exposure,
 
Umasikini wa akili mbaya Sana, yaan wasudani nao ni wa kutulazimisha tuongee lugha wanayoitaka wao. Sisi lugha yetu ya taifa ni kiswahili suala la kiingereza tusameheane tunapokosea/tunaposhindwa kuelewana. Wajitahidi kukielewa kiswahili
 
Back
Top Bottom