Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Ye mwenyewe ali shangaa, aka niambia niandike nikaweza.Hahaha.......ulijitahidi aisee
Hiyo Lugha ilikuja na Meli ujue 😜
Kibaya ali hamishwa, so hata utaratibu ukawa mnovu mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ye mwenyewe ali shangaa, aka niambia niandike nikaweza.Hahaha.......ulijitahidi aisee
Hiyo Lugha ilikuja na Meli ujue 😜
Ila ukitaka ku-progress kibiashara ni lazima ujifunze hii Lugha ya WazunguHapa umenena TUJIFUNZE LUGHA YETU KIBANGA AMPIGA MKOLONI NDIO KABURI LA LUGHA YA KIMATAIFA HAPA TANZANIA.
Nime google nimeona wanasoma kwa kiarabu tangu chekecheaSijajua but nahisi wanatumia English
Wiki ijayo nitaanza kujifunza Kwa Ras Simba maana huenda December nisafiri kwenda UghaibuniYe mwenyewe ali shangaa, aka niambia niandike nikaweza.
Kibaya ali hamishwa, so hata utaratibu ukawa mnovu mno.
Hebu nipe deal niwee mkarimani bhana😁Wiki ijayo nitaanza kujifunza Kwa Ras Simba maana huenda December nisafiri kwenda Ughaibuni
Kwamba upo fluently kwenye Kiingereza?Hebu nipe deal niwee mkarimani bhana😁
Basi wako vizuri sana, mbona wanaongea English safi tuNime google nimeona wanasoma kwa kiarabu tangu chekechea
Kazi ndogo mno, na sio kuongea mpaka kuandika.Kwamba upo fluently kwenye Kiingereza?
Nitakupa interview ya kusoma gazeti la the Guardian then unitumie voice note 😜
Hahaha......au Unaitikia Yes/No yeah 😅😀😀😀Mimi ningemjibu ok continue
Usiende mbali! Ungeuliza ni kwa nini wakulima wengi wa parachichi Tanzania hawayapeleki maparachichi yao nje kama wenzao wa Kenya?Mkulima wa parachichi huko mbeya Kwa kina chichi akiwa na anafanya mawasiliano na wateja wa nje ya Nchi, mfano wateja wa south Africa atazungumza lugha Gani ?
"Tunapaswa kujivunia lugha yetu maana hatutaweza kuwa wabunifu kwenye sayansi kupitia lugha za kigeni"Kutema yai ndiyo kigezo cha ubobezi au ni ulimbukeni tu?
Nimekaa nchi ya Finland kwa miaka mingi, na kigezo cha kupata kazi ya utabibu kule ni uzungumze na kukielewa Kisuomi kwa ufasaha.
Tunapaswa kujivunia lugha yetu maana hatutaweza kuwa wabunifu kwenye sayansi kupitia lugha za kigeni
Haha 🤣 ila watoto Wao wanabonga ngeli , itakuwa walisoma KenyaWao wenyewe wanasoma kwa kiarabu
The primary language of instruction in North Sudanese universities is Arabic. This is primarily due to the policy of "Arabicization" implemented in the country since the 1960s, which aimed to promote Arabic language and culture in education
Nimeshangaa mtaala mpya kuto tamka moja kwa moja kuwa lugha ya kufundishia iwe lugha ya kingereza kuanzia vidudu hadi chuo kikuu na kiswahili kitabaki kama somo tuu na ni la lazima!Af watu uwa wanabeza shule za Santa [emoji318]