Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatusumbua tuu,aingie google apate tunda la msimu maji ya kutosha.
Kunywa maji ya kutosha,kula matunda hasa papai na parachichi,fanya mazoezi,au kama una kieneo unaweza lima basi lima walau hatua kumi kwa kumi,yaani kimba hili mlangoni,usile chapati chapati na maandazi,vinaziba sanaMadaktari ni wiki moja na siku 2 tokea nilipopata choo mara ya mwisho.Nilienda Kwa Daktari nikapewa dozi nikamaliza lakini hamna mabadiliko.
Aende hospital.
Sialininyima nisimfuatilie ukasema anamimba changa inasumbua😊😊😊😊
Wacha waje wanaojua dawa ya kupeana choo
Kwa hiyo umenikana nataka useme ukweli nikuzirieephen_ hana shida ni mtu poa tu , mfuatilie wala hana tatizo.😁
Siwezi kukukana ile siku nilikua nimelewa 😆😆😆😆Kwa hiyo umenikana nataka useme ukweli nikuzirie
Bsi kuanzia leo usilike wala kukoment vitu vyangu humuSiwezi kukukana ile siku nilikua nimelewa 😆😆😆😆
Kwa hiyo umenikana nataka useme ukweli nikuzirie
Kubigwa Bomba Inakuaje iyoHapo nenda ukainikwe tu , kapigwe bomba .
Zamani bibi zetu walikuwa wanatutibu kwa njia hiyo
Alisema unamimba yake tena changaKwani alisemaje?
Mhmmmm kweli?Bsi kuanzia leo usilike wala kukoment vitu vyangu humu
Kabisa sitaki uongoMhmmmm kweli?