Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia bila kugeuzana haiendii eti. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe watu wa kwny Apu ya dada Wa Taifa mnapata udaku mwingi sana...angekua hapost watu kugeuzwa ningejiunga nipate exclusive...ila hayo ya kuchafua hali ya hewa ya sodoma yananikwaza sipendi kuangalia...
Mhhh hapanaDunia bila kugeuzana haiendii eti. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Dunia ndo ilipo sasa.Mhhh hapana
Tuikatae kwa nguvu zote[emoji23][emoji23][emoji23] Dunia ndo ilipo sasa.
Kwa kweliiiTuikatae kwa nguvu zote
Tatizo kuu la wabongo nje ni ule u-much know.Atleast wanaakili sio mbaya.
Waende wafanye vya maana.
Watanzania Tuna wivu Sana!!!Kwanini unapenda kufikiria vitu vya hovyo? Unajuaje kama waliuza vitu vyao wapate nauli? Mimi ninawapongeza vijana kwa kujilipua. Na ninawaombea mafanikio
Wamewezaaaa....!!!!Safi vijana kwa kujibakiza kwenye nchi ya milk and honey..
Utarudije Bongo kwenye laana?
Watu wanaruka ukuta Mexico border kuingia tu USA, halafu itokee upenyo wa umefika Marekani halafu urudi?
Vijana wamejilipua....
Q Boy Msafi alijaribu kufanya hivi lakini WCB wakafanikiwa kumrejesha nchini, kisha wakamtimua moja kwa moja.Madansa 3 wa Diamond Platnumz (Hbaajuni, Emma Platnumz na Rama Tosser) wamezamia Marekani kinyemela kwa kutumia Visa za WCB.
Inasemekana mara ya mwisho Diamond Platnumz alivyoenda Marekani aliwakatia Visa za mwaka mmoja mmoja, walivyomaliza kazi na kurudi bongo wakakata ticket za kurudi Marekani kimyakimya.
Diamond Platnumz alienda ubalozi wa Marekani ili kushtaki vijana wawe deported, lakini vijana nao wakajitetea kuwa walikuwa wanafanyishwa shughuli haramu za upunda, na kwa kusema hivyo wanaogopa kurudi bongo kuhofia usalama wao.
View attachment 2813100
UNDOCUMENTED UPO UPO TU HATA UKIPOTEA HAKUNA ATAYEJUA, ILLEGAL IMIGRANT
Akili zao unajua zimetarget nn. Tupunguze dhahania zetu. Acha vijana wakapambanie ndoto zao. Marekani hawawezi kukosa kazi hata za kufagiaAisee yaani hao marinda yatakoma. Watafanya kazi gani? Yaani kama walikuwa na uwezo wa kujikatia ticket kwa hela ya Diamond maana yake wanakipato kizuri kuzidi wamarekani wengi.
Kwann asingezamia gaza kabsaWe ulizamia Canada kwa mgongo wa nani? Na kwanini hukuzamia Iran au Iraq.
Aisee yaani hao marinda yatakoma. Watafanya kazi gani? Yaani kama walikuwa na uwezo wa kujikatia ticket kwa hela ya Diamond maana yake wanakipato kizuri kuzidi wamarekani wengi.
Huu ni udhalilishaji, chawa wa mama kuwa na akili za kiasn*g kiasi hiki.! Ukiwa chawa ccm unakuwa huna akili hivi? Mnamuaibisha mama.Aisee yaani hao marinda yatakoma. Watafanya kazi gani? Yaani kama walikuwa na uwezo wa kujikatia ticket kwa hela ya Diamond maana yake wanakipato kizuri kuzidi wamarekani wengi.
Hatutaki watanzania waondoke, hiyo ni nguvu kazi ya taifa.Huu ni udhalilishaji, chawa wa mama kuwa na akili za kiasn*g kiasi hiki.! Ukiwa chawa ccm unakuwa huna akili hivi? Mnamuaibisha mama.
Hapa mnawapa nini zaidi ya kuwambia ni wavivu na wajiajiri?Hatutaki watanzania waondoke, hiyo ni nguvu kazi ya taifa.