johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Bwashee hivyo ni vitoto vya chipukizi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwashee hivyo ni vitoto vya chipukizi!
Inalipa? Au posho za vikao tuMakongoro Nyerere ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM yenye wajumbe 24 tu!
Kumbe na yeye ni mwanasiasa nilijua kuwa makongoro ndio mwanasiasa peke yakeMtoto wa Baba wa Taifa ndugu Madaraka Nyerere amesema atastaafu siasa siku chache zijazo.
Ikumbukwe kuwa Madaraka alikuwa mwenyeji wa mgombea urais wa CHADEMA Tundu Lissu alipotembelea Butiama na kulala nyumbani kwa Mwalimu Nyerere.
Source: Radio One
Maendeleo hayana vyama!
Inalipa bwashee, CC ya CCM ndio injini ya nchi!
Kwani aliyeleta hiyo habari ni mwana CHADEMA?Naona mnahangaika Sana na Madaraka Nyerere mnataka kutuaminisha kwamba Madaraka ni Kamanda Mwenzenu,kifupi tu haya maigizo sio ya Kwanza kwa Chadema kutaka kutuaminisha CCM imechokwa na Watanzania wengi ikiwemo familia ya Baba wa Taifa,Nakumbuka Mwaka 1995 Makongoro Nyerere alikuwa upinzani wakati huo Baba wa Taifa hajatuacha lkn Chama Cha Mapinduzi kiliendeleakushika hatamu..
Wangapi waliangukia pua na kupewa uteuzi?Wamepewa nafasi ya kugombea ubunge wakaangukia pua
Ameiambia Radio One. Mleta thread kanukuu kutoka redio one. Ukamanda hapa umetoka wapi?????Naona mnahangaika Sana na Madaraka Nyerere mnataka kutuaminisha kwamba Madaraka ni Kamanda Mwenzenu,kifupi tu haya maigizo sio ya Kwanza kwa Chadema kutaka kutuaminisha CCM imechokwa na Watanzania wengi ikiwemo familia ya Baba wa Taifa,Nakumbuka Mwaka 1995 Makongoro Nyerere alikuwa upinzani wakati huo Baba wa Taifa hajatuacha lkn Chama Cha Mapinduzi kiliendeleakushika hatamu.
Tafuteni Kiki nyingine acheni kutuletea story za level ya Shule ya Msingi, Watanzania tuliowengi hasa Wanyonge kwa sasa tunakihitaji Chama cha Mapinduzi kutuletea Maendeleo ya kweli sambamba na kutuondolea fikra za Kibeberu.
Familia imedharauliwa mnoSioni serikali kuijali kwa dhati familia hii muhimu sana kwa taifa letu. Japo hatuna mfumo wa kifalme ingependeza kumuenzi Baba wa Taifa wapate special attention pia.
Nchi yetu imejaa wajinga wengi, kutwa kujipendekeza sijui mwl mwl mtafikiri hakuna watu wengine waliotoa mchango kwenye taifa hiliNawashanga Sana Hawa watu kuna Mzee wangu anaitwa Bilal Rehan Waikela(97) yuko pale Tabora Mwl Nyerere alifikia nyumbani kwake katika harakati za kudai uhuru ametoa mchango mkubwa kwa Nchi kupata uhuru,lkn anaishi kwenye Nyumba ya Tembe badala tuhangaike na Wazee Kama hawa unatuambia serikali iwatunze akina Madaraka Nyerere watu waliokula Bata muda mwingi Ikulu kweli Jambo usilolijua ni Kama usiku wa giza.
Tuache mawazo mgando, alilazimishwa kutumikia taifa? alikuwa halipwi?Sio kwa ajili ya kutafuta uhuru tu bali kwa utumishi wa muda mrefu ulioacha alama.
Wanastshili;
1. Wakati baba yao akiwatumikia Watz kuna vitu wao ksma watoto hawakuvipata kama watoto mfano muda wa mwingi wa kukaaa na baba yao
Sababu alikuwa busy kulitumikia taifa, hivyo wanastahili mafao ya kazi ya babao yao.
2. Kwa heshima ya taifa hiyo familia haistahili kuishi kifukara ni aibu ya taifa
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mleta mada hii ni mwenzako wa CCMNaona mnahangaika Sana na Madaraka Nyerere mnataka kutuaminisha kwamba Madaraka ni Kamanda Mwenzenu,kifupi tu haya maigizo sio ya Kwanza kwa Chadema kutaka kutuaminisha CCM imechokwa na Watanzania wengi ikiwemo familia ya Baba wa Taifa,Nakumbuka Mwaka 1995 Makongoro Nyerere alikuwa upinzani wakati huo Baba wa Taifa hajatuacha lkn Chama Cha Mapinduzi kiliendeleakushika hatamu.
Tafuteni Kiki nyingine acheni kutuletea story za level ya Shule ya Msingi, Watanzania tuliowengi hasa Wanyonge kwa sasa tunakihitaji Chama cha Mapinduzi kutuletea Maendeleo ya kweli sambamba na kutuondolea fikra za Kibeberu.
Mkuu kuna tatizo gani upande huo? Uzi huu kauleta Joni Mbatizaji, sasa toka lini huyu mkuu akawa Kamanda?Naona mnahangaika Sana na Madaraka Nyerere mnataka kutuaminisha kwamba Madaraka ni Kamanda Mwenzenu,kifupi tu haya maigizo sio ya Kwanza kwa Chadema kutaka kutuaminisha CCM imechokwa na Watanzania wengi ikiwemo familia ya Baba wa Taifa,Nakumbuka Mwaka 1995 Makongoro Nyerere alikuwa upinzani wakati huo Baba wa Taifa hajatuacha lkn Chama Cha Mapinduzi kiliendeleakushika hatamu.
Tafuteni Kiki nyingine acheni kutuletea story za level ya Shule ya Msingi, Watanzania tuliowengi hasa Wanyonge kwa sasa tunakihitaji Chama cha Mapinduzi kutuletea Maendeleo ya kweli sambamba na kutuondolea fikra za Kibeberu.
Hawa mambwiga wameshaanza kupoteana itafika wakati hata mccm akishindwa kumtia mkewe mimba lawama watapewa Chadema.Mkuu kuna tatizo gani upande huo? Uzi huu kauleta Joni Mbatizaji, sasa toka lini huyu mkuu akawa Kamanda?
Amechoka maana familia hawaijali tena kwenye uongozi, imebaguliwa, yule rubani wa jeshi alifariki si tu kwakuwa ni maradhi hata usongo wa mawazo maana hata cheo kupandishwa ilikuwa ni kaz sana kwake, kuna mengi sana wameyafanya hawa wa chama chake ila kuna siku Mungu atajua la kufanyaMtoto wa Baba wa Taifa ndugu Madaraka Nyerere amesema atastaafu siasa siku chache zijazo...
Nimetoa maoni tu bila kuangalia itikadi ya mtuMkuu kuna tatizo gani upande huo? Uzi huu kauleta Joni Mbatizaji, sasa toka lini huyu mkuu akawa Kamanda?
Bwashee Mm Sina Chama kwani ni mtumishi wa UmmaMleta mada hii ni mwenzako wa CCM
Alikuwa mgeni katika lodge ya Butiama inayomilikiwa na Madaraka, sasa ulitaka umfukuze mteja ?? Ukianza kuleta siasa katika biashara basi wewe sio mfanyabiasharaMtoto wa Baba wa Taifa ndugu Madaraka Nyerere amesema atastaafu siasa siku chache zijazo....
Watu modeli yako wanapatikana CCM tu.Bwashee Mm Sina Chama kwani ni mtumishi wa Umma
Kwani ni lini Madaraka Nyerere aliwahi kuwa Mwanasiasa? Yeye akiwa Mwanasiasa Ndugu yake Makongoro Nyerere atasemaje? Aache Unafiki huu.Mtoto wa Baba wa Taifa ndugu Madaraka Nyerere amesema atastaafu siasa siku chache zijazo.
Ikumbukwe kuwa Madaraka alikuwa mwenyeji wa mgombea urais wa CHADEMA Tundu Lissu alipotembelea Butiama na kulala nyumbani kwa Mwalimu Nyerere.
Source: Radio One
Maendeleo hayana vyama!
Nchi iko mikononi mwao Chama cha kukitoa CCM madarakani sio Chadema Kazi iendelee 2020-2025Watu modeli yako wanapatikana CCM tu.