Madereva wa mikoani, tabia na utaratibu wa kupaki mabasi sehemu ya chakula chenye bei juu mnaumiza abiria wenye kipato kidogo

bado unakulaaa mahotelin be ba vyakoo nyumbani mkuuu yalematakatakaaa yamelalaaa yanapashwaa unaonayaleo ingia kwenyebasiii

Ushajiuliza vikilala wanapeleka wapi
 
bado unakulaaa mahotelin be ba vyakoo nyumbani mkuuu yalematakatakaaa yamelalaaa yanapashwaa unaonayaleo ingia kwenyebasiii

Ushajiuliza vikilala wanapeleka wapi
Chakula huwa hakitupwi, ni mwendo wa kukipasha tu, Labda wadudu wazaliqe humo humo ndo wanaweza kukitupa.
 
Halafu unapewa dakika 5 uwe umemaliza kula
 
Kumbuka wao wanakula bure, tena kila mwisho wa mwezi wanapata pesa nzuri kabisa!
 
bado unakulaaa mahotelin be ba vyakoo nyumbani mkuuu yalematakatakaaa yamelalaaa yanapashwaa unaonayaleo ingia kwenyebasiii

Ushajiuliza vikilala wanapeleka wapi
• Wewe huwa unabeba hivyo vyakula,?
• Maana mimi nasafiri sana, lakini huwa sioni watu na hotpot, Labda kama ana mtoto mdogo.
 
Jitahidi uwe unaandaa chakula chako mwenyewe pale unapokuwa unafanya safari ndefu,,, hii itakusaidia sana mkuu ktk kubana bajeti [emoji1431]
• Upo sahihi kabisa mkuu, ubebaji wa vyakula kutoka nyumbani bado ni kero tu, kuna watu safari zao ni zaidi ya siku mbili au tatu.
• point muhimu ni kurekebisa/kushauri mamlaka itoe tamko. Litakalo kuwa na faida pande zote.
 
Kumbuka wao wanakula bure, tena kila mwisho wa mwezi wanapata pesa nzuri kabisa!
Ndo hilo linalo tuumiza sisi maskini, sehemu yenye maslai ya watu wachache, ndo huumiza kiwango kikubwa cha watu wanyonge.
 
Watu bado mnakula vyakula vya njiani? Mimi kabla safari haijaanza nachukua Eet-Sum-Mor na Sprite (500ml). Tukutane mwisho wa safari.
Kasulu na Kaliua , menyu muhogo wa kuchemsha na karanga za kwenye mifuko. Hatari sana...! Upate ya moto! Ukijichanganya ya baridi, ameoba inakuhusu!!!
 
Tatizo ule utaratibu wetu wa zamani wa kuandaa vitu vya safari tumeuacha.
Ni vizuri kujiandalia chakula unachokipenda ili kuondoa usumbufu wenye kuweza kukuletea madhala ya shida za mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
Lakini ni vizuri kushauri namna iliyo bora hasa ni lishe gani za kisafari zilizo muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…