Anhaa
Nyafwili pole sana , zamani kidogo kila nikisafiri nikala vyakula njiani basi tumbo lanipa uharo .
Basi nikaja na mbinu ya kujitengenezea kuku wangu namkaanga vizuri naweka na chipsi za kuzugia si unajua mimi ni chipsi damu damu bro basi nikipanda gari nikipewa ile take away safari yangu inakuwa imeisha .
Kwa hii njia niling'oa mademu wengi maana unakuta nasubiri warejee kutoka huko wanakouziwa uchafu kwa gharama wanakula wanamaliza , kila mtu ananikaribisha mimi ni mwendo wa ahsante wanahisi nina shida kweli kweli .
Sasa dakika kumi mbele wao wanakuwa ombaomba kwangu maana navitoa vipande vyangu vyote vya kwio kwio naanza kula kwa madaha basi kwakuwa mimi kwenye basi ni mwiko kukaa na mwanaume mwenzangu ni hapo utaanza kushangaa mara jirani nionjeshe basi maana sinaga neno karibu kwenye jasho langu .
Akikaribia kaumia , maana mtongozo uanzia hapo anapohisi kuku wameisha namsubilia wakati wa kigiza ndiyo namtoa mwingine wakati ambao dereva amepambisha moto basi ni mwendo wa kulishana vidali vya kuku mpaka nafika nakuwa mwenye maamzi ni mimi twende lodge au nimuache aende mtoto wa watu .[emoji848]
Sent from my SM-J410F using
JamiiForums mobile app