Unajua kuna kipofu alipata nafasi ya kuona kwa sekunde chache akaona punda,basi kila akisikia mtu anasema kaona kitu kizuri yeye huuliza kama punda? Ndio kama wewe unaamini hamna gari inaweza kuishinda subaru.
Ngoja nikwambie subaru is just quick from 0-60mph (0-100) ila kuna magari mengi tu yanakimbia kuliko subaru, najua kuna rafiki yangu ana subaru alikuwa anaenda moshi alikutana na beast moja la euro lilimnyanyasa mpaka akatafuta hela akanunua hilo gari.
Kwahio msikariri nyinyi ndio mnaendesha gari zinazokimbia kuliko wengine,wenzenu wako responsible ingawa wana powerful cars, kuna watu wana ferrari,lamborghini,aston martin,porsche carrera 911 gt ushawahi kuziona zinafurumushwa hapa mjini? Unajua speed zake hizo gari?
Btw jaribuni MITSUBISHI EVO10.