Madereva wa Subaru Mna Matatizo Gani?

Madereva wa Subaru Mna Matatizo Gani?

Hivi unadhani Subaru ina pulling power zaidi ya VX? Acha utani
Vx kwa sub kawaida sana kqani vx c hp 180 mpka 280 wakati suby ni 180 zinafika mpaka hp 750 ukishaendesha ndo utajuqa shughuli yake na engine yake iko tofauti na gari nyingine hii ni boxer engine ,ina direct power yaani inafanana na porsche boxer or carrera vx na nissani patrol huwa zinanisoma number safari za mkoa uko
 
Wewe utabaki kuwa ndugu yangu siku moja barabara ya bagamoyo msata ukishapita kiwangwa nikakutana na tochi ya kimagumashi
Uzuri jamaa alikuwa Mwelewa sana akasema hizi sheria zimepitwa na wakati ni sheria za wakati wa mchonga na maland rover yake mpaka leo hii hazijawa uptodated
Gari niliyo kuwa nayo ni speed 240 na hapo nilikuwa naenda 80 BTW speed zinataka hekima na ufahamu ni wakati gani na mahali gani pa kwenda spidi gani
Gari ina hp 320 unaniambia eti maximam speed 50hp c ubakaji wa mwendo kasi huu jamani acha ningurumishe sub usikie boxer inavyopumua n BOV zake full hand brake turn
 
Gari ina hp 320 unaniambia eti maximam speed 50hp c ubakaji wa mwendo kasi huu jamani acha ningurumishe sub usikie boxer inavyopumua n BOV zake full hand brake turn
Hahhahahaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Injini ya Subaru iko tofauti na injini nyingine. Wakati pistoni za engine ya kawaida zinapiga juu na chini, Engine za Subaru zinapiga nje na ndani...
subaru engine.jpg
 
Madereva wa subaru ni wabishi sana, wanaona gari zao ndio zinaweza kimbia, hawajari maisha ya watumiaji wengine wa barabara.
 
Sio Subaru tu na Altezza, yaani sijui wana matatizo gani, magari yenyewe kelele tu,damn
 
Vx kwa sub kawaida sana kqani vx c hp 180 mpka 280 wakati suby ni 180 zinafika mpaka hp 750 ukishaendesha ndo utajuqa shughuli yake na engine yake iko tofauti na gari nyingine hii ni boxer engine ,ina direct power yaani inafanana na porsche boxer or carrera vx na nissani patrol huwa zinanisoma number safari za mkoa uko
Pole wengine tuna uzoefu Na haya magari. Anyway endelea Na msimamo wako
 
Usiongee tu imradi umeongea
Wewe na fuso lako sijui volvo hata noah inakupita
Kumbuka hizo subaru zina hp hadi 300+ na zikifanyiwa mapping huwezi hata kuisogelea, hata wenye vx nao watapata taabu
Labda dereva awe na hela za njaa na ni mwoga tofati na hapo huwezi kamwe ishinda subaru wrx sti.
Unajua kuna kipofu alipata nafasi ya kuona kwa sekunde chache akaona punda,basi kila akisikia mtu anasema kaona kitu kizuri yeye huuliza kama punda? Ndio kama wewe unaamini hamna gari inaweza kuishinda subaru.

Ngoja nikwambie subaru is just quick from 0-60mph (0-100) ila kuna magari mengi tu yanakimbia kuliko subaru, najua kuna rafiki yangu ana subaru alikuwa anaenda moshi alikutana na beast moja la euro lilimnyanyasa mpaka akatafuta hela akanunua hilo gari.

Kwahio msikariri nyinyi ndio mnaendesha gari zinazokimbia kuliko wengine,wenzenu wako responsible ingawa wana powerful cars, kuna watu wana ferrari,lamborghini,aston martin,porsche carrera 911 gt ushawahi kuziona zinafurumushwa hapa mjini? Unajua speed zake hizo gari?

Btw jaribuni MITSUBISHI EVO10.
 
Unajua kuna kipofu alipata nafasi ya kuona kwa sekunde chache akaona punda,basi kila akisikia mtu anasema kaona kitu kizuri yeye huuliza kama punda? Ndio kama wewe unaamini hamna gari inaweza kuishinda subaru.

Ngoja nikwambie subaru is just quick from 0-60mph (0-100) ila kuna magari mengi tu yanakimbia kuliko subaru, najua kuna rafiki yangu ana subaru alikuwa anaenda moshi alikutana na beast moja la euro lilimnyanyasa mpaka akatafuta hela akanunua hilo gari.

Kwahio msikariri nyinyi ndio mnaendesha gari zinazokimbia kuliko wengine,wenzenu wako responsible ingawa wana powerful cars, kuna watu wana ferrari,lamborghini,aston martin,porsche carrera 911 gt ushawahi kuziona zinafurumushwa hapa mjini? Unajua speed zake hizo gari?

Btw jaribuni MITSUBISHI EVO10.
Mkuu hiyo list apo juu ni balaa kama evo 10 ndo nuksi hayo mengine nikiyaona na suby ndo nakaa pembeni utakuta 0-100km ndani ya 8-10sec [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mkuu hiyo list apo juu ni balaa kama evo 10 ndo nuksi hayo mengine nikiyaona na suby ndo nakaa pembeni utakuta 0-100km ndani ya 8-10sec [emoji1] [emoji1] [emoji1]
8-10sec ni gx100/110 altezza. Hizo nilizokutajia na subaru ni 4-6seconds 0-100km
 
Back
Top Bottom