Vx kwa sub kawaida sana kqani vx c hp 180 mpka 280 wakati suby ni 180 zinafika mpaka hp 750 ukishaendesha ndo utajuqa shughuli yake na engine yake iko tofauti na gari nyingine hii ni boxer engine ,ina direct power yaani inafanana na porsche boxer or carrera vx na nissani patrol huwa zinanisoma number safari za mkoa ukoHivi unadhani Subaru ina pulling power zaidi ya VX? Acha utani
Gari ina hp 320 unaniambia eti maximam speed 50hp c ubakaji wa mwendo kasi huu jamani acha ningurumishe sub usikie boxer inavyopumua n BOV zake full hand brake turnWewe utabaki kuwa ndugu yangu siku moja barabara ya bagamoyo msata ukishapita kiwangwa nikakutana na tochi ya kimagumashi
Uzuri jamaa alikuwa Mwelewa sana akasema hizi sheria zimepitwa na wakati ni sheria za wakati wa mchonga na maland rover yake mpaka leo hii hazijawa uptodated
Gari niliyo kuwa nayo ni speed 240 na hapo nilikuwa naenda 80 BTW speed zinataka hekima na ufahamu ni wakati gani na mahali gani pa kwenda spidi gani
Hahhahahaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Gari ina hp 320 unaniambia eti maximam speed 50hp c ubakaji wa mwendo kasi huu jamani acha ningurumishe sub usikie boxer inavyopumua n BOV zake full hand brake turn
Boxer engine hiyo ni nouma direct power na gari inakuwa stable sanaInjini ya Subaru iko tofauti na injinie nyingine. Wakati pistoni za engine ya kawaida zinapiga juu na chini, Engine za Subaru zinapiga nje na ndani...View attachment 343905
Nyie waelevu ndo ajali nyingi kuliko ssUpumbavu tu,barabarani hakuhitaji mbwembwe within a second tu jina linageuka.
Get serious the car yes but do you have the roads????
Germinate mate
[emoji1] [emoji1] [emoji1] na PasoWakina team Haris mbona siwaoni humu!
Pole wengine tuna uzoefu Na haya magari. Anyway endelea Na msimamo wakoVx kwa sub kawaida sana kqani vx c hp 180 mpka 280 wakati suby ni 180 zinafika mpaka hp 750 ukishaendesha ndo utajuqa shughuli yake na engine yake iko tofauti na gari nyingine hii ni boxer engine ,ina direct power yaani inafanana na porsche boxer or carrera vx na nissani patrol huwa zinanisoma number safari za mkoa uko
Labda hazipati ajali mkuu
Mie naenda nazo rally hizo nazijuwa nisha endesha land cruiser na sasa ni suby hata Evo nayo ni mzuriPole wengine tuna uzoefu Na haya magari. Anyway endelea Na msimamo wako
Unajua kuna kipofu alipata nafasi ya kuona kwa sekunde chache akaona punda,basi kila akisikia mtu anasema kaona kitu kizuri yeye huuliza kama punda? Ndio kama wewe unaamini hamna gari inaweza kuishinda subaru.Usiongee tu imradi umeongea
Wewe na fuso lako sijui volvo hata noah inakupita
Kumbuka hizo subaru zina hp hadi 300+ na zikifanyiwa mapping huwezi hata kuisogelea, hata wenye vx nao watapata taabu
Labda dereva awe na hela za njaa na ni mwoga tofati na hapo huwezi kamwe ishinda subaru wrx sti.
Mkubwa ajali asilimia 99% ni uzembe,kutokufuata sheria za usalama barabarani,wewe barabara za michepuko unapita na 120km/h kisa una subaru?Nyie waelevu ndo ajali nyingi kuliko ss
Mkuu hiyo list apo juu ni balaa kama evo 10 ndo nuksi hayo mengine nikiyaona na suby ndo nakaa pembeni utakuta 0-100km ndani ya 8-10sec [emoji1] [emoji1] [emoji1]Unajua kuna kipofu alipata nafasi ya kuona kwa sekunde chache akaona punda,basi kila akisikia mtu anasema kaona kitu kizuri yeye huuliza kama punda? Ndio kama wewe unaamini hamna gari inaweza kuishinda subaru.
Ngoja nikwambie subaru is just quick from 0-60mph (0-100) ila kuna magari mengi tu yanakimbia kuliko subaru, najua kuna rafiki yangu ana subaru alikuwa anaenda moshi alikutana na beast moja la euro lilimnyanyasa mpaka akatafuta hela akanunua hilo gari.
Kwahio msikariri nyinyi ndio mnaendesha gari zinazokimbia kuliko wengine,wenzenu wako responsible ingawa wana powerful cars, kuna watu wana ferrari,lamborghini,aston martin,porsche carrera 911 gt ushawahi kuziona zinafurumushwa hapa mjini? Unajua speed zake hizo gari?
Btw jaribuni MITSUBISHI EVO10.
8-10sec ni gx100/110 altezza. Hizo nilizokutajia na subaru ni 4-6seconds 0-100kmMkuu hiyo list apo juu ni balaa kama evo 10 ndo nuksi hayo mengine nikiyaona na suby ndo nakaa pembeni utakuta 0-100km ndani ya 8-10sec [emoji1] [emoji1] [emoji1]