Alivyokuwa na Mtume alikuwa anatoka kwenda kufanya biashara au alikuwa nyumbani ?Mwanamke hajaumbwa kukaa nyumbani mkuu.
Sema maumbile yake ameumbiwa kazi zisizohitaji nguvu wala shurba. Na hizo kazi siku hizi ni nyingi.
Bi. Khadija alikuwa mfanyabiashara.
Katika uislamu kuna vigezo vitatu vikuu vya kuchagua Mke bora.
Kufanya kazi ni sehemu ya vigezo hivyo ili amiliki Mali
Mwanamke hajaumbwa kukaa nyumbani mkuu.
Sema maumbile yake ameumbiwa kazi zisizohitaji nguvu wala shurba. Na hizo kazi siku hizi ni nyingi.
Elimu ya dunia haifamfanyi mtu kuwa na akili wewe angalia akili za wasomi, utasadili hili.UUpo sahihi kabisa
Lakini maadili ya kimungu bila elimu dunia nayo ndio huzalisha mambo ya kina Wafuasi wa Mwamposa na Watu wenye itikadi kali
Alivyokuwa na Mtume alikuwa anatoka kwenda kufanya biashara au alikuwa nyumbani ?
Hakuna kigezo cha kufanya kazi na kumiliki. Kigezo ni tabia njema.
Elimu ya dunia haifamfanyi mtu kuwa na akili wewe angalia akili za wasomi, utasadili hili.
Suala la mwamposa hata walio soma elimu Dunia anawasomba na huenda hao ndio wengi zaidi.
Unatumia kigezo gani kupinga ya kuwa mwanamke hajaumbwa kukaa nyumbani ?
Ni mfuasi mzuri wa makala zako, ila hii napingana nayo.
1.Atakuwa Mwanamke Cheap na wagharama nafuu Kabisa.
2.Mwanamke kuwa Mnafiki na kushindwa kusimama katika nafasi yake ya mke na Mama.
3. Mkeo hataheshimiwa na Watu wa nje.
KUWA CHEAP, MNAFIKI, HIZI NI TABIA ZA MTU YEYE KAMA YEYE.SIO KWA SBB HAJASOMA
HII YA HESHIMA TOKA KWA WATU WA NJE, kwani viwango vya elimu viko kwenye paji la uso?.
Heshima ni suala la mtazamo wa mtu, na huwezi kuishi kwa kutazamia ya watu, wanakuonaje.
Ukiniambia unaishi mbagala (nitakuchukulia poa)
na ukiniambia unaishi masaki (nitakuona una la kuongea)
Lakini huko mbagala unaweza kuwa unaishi nyumba kali zaidi kuliko za masaki!
Nafasi ya mke kuwa mama wa nyumbani ni njema na nzuri, hao ndio walezi wa watoto. ndio chimbuko la watoto marijali.Hao kina mama wa nyumbani waheshimike aiseee.
huu uzao wa 'mapapai' ni kutokana na kukosekana kwa malezi ya wazazi, mama yuko biza, baba yuko bize. Housegirl ndio mlezi wa wana
Bro hakuna watu wanaotombeka kama wanawake wanaofanya kazi, nina hakika hili unalijua.
vikao, semina, warsha, semina elekezi,safari zote hizi zinatoa uwanja mpana wa waokutombeka
Kuna wale wengine hawana hizo safari wala semina, ila ule muda wa lunch time ndio muda wa kupiga matukio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama yake Nyerere alikuwa golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi wa kwanza wa Tanzania,Mama yake Raisi wa pili wa Tanzania Raisi Ali Hassan Mwinyi alikuwa golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi wa pili wa Tanzania,Mama yake Raisi wa Tatu wa Tanzania Raisi Benjamin Mkapa alikuwa Golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi wa Tatu wa Tanzania Raisi Benjamin Mkapa ,mama yake Raisi wa Nne wa Tanzania Raisi Jakaya Kikwete mama yake alikuwa golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi Kikwete Raisi wa awamu ya Nne ,Raisi wa awamu ya Tano Magufuli mama yake alikuwa Golikipika hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi Magufuli,Raisi wa awamu ya Sita Mama Samia Suluhu Hassan mama yake Golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi
Swali wewe mleta mada mama Yako anayejua kusoma na kuandika wewe kakuzalisha kama nani mbona mchovu tu labda unakovjiunia na kujiona wa maana humu una Maisha Gani mchovu choka mbaya wewe na mama Yako msomi mtoto wa mama msomi na asiye golikipa mbona wote chokambaya mnajikuna upele tu
Uko sahihi kbsaNakubaliana na baadhi ya maandiko yako ya nyuma ila kwa hili la leo nakupinga asilimia mia.
Kusoma na kuwa na akili ni vitu viwili tofauti, oa mwanamke mwenye akili sio mwenye elimu. Wanawake kibao wenye elimu hasa huko maofisini ni wachafu na malaya kupitiliza tunawaona.
Na mwanamke kutongozwa sio kitu Cha ajabu labda ajabu ni kulala na kila anayemtongoza, kinachopelekea mwanamke kutongozwa ni muonekano na mazingira. Mwanamke mkurugenzi ni rahisi kutongozwa na wakurugenzi wenzake au watu wa Kariba yake.
Mwanamke anaweza akawa hajasoma ila akatongozwa hata na profesa na anaweza akawa amesoma ila akatongozwa hata na watu wa hovyo kutokana na muonekano au mazingira aliyokuwepo.
Kuosha masufuria,kupika na kushirikiana shughuli za kijamii hasa misiba na harusi sio utumwa ni utamaduni wetu tu.
[emoji817]Wewe dogo akili huna unataka battle za kitoto toto sana,aliyekuaminisha mwanamke kusoma na kuwa na kazi kunamtenganisha na shughuli za kijamii nani?
Ok mkeo wewe ana elimu na ana kazi wangu hana elimu na hana kazi mimi mumewe nina hela na ktk hiyo shughuli mimi nimehusika kwa kiasi kikubwa kuigharamikia huku wewe na mkeo hamkutia pua so wewe kwa akili zako unadhani mkeo msomi akikaa miguu juu na wangu akakaa miguu juu kwa sababu hana alichokosa na mumewe anaheshimika kwenye ukoo kuna kitakachofanyika kwenye jamii?acha upumbavu kujikuta unajua kila kitu na hulka zako za ki-feminist unaijaza jamii ujinga stop it!
[emoji817]Wasomi wenyewe si ndio hawahawa tuko nao mitaani hawana kazi wana njaa hawataki kujishughulisha kisa wana degree wanaishia kudanga na wanapigwa miti hadi na hao boda unaowadharau
Unaoa msomi ambaye maisha yake akiwa chuo alikuwa anawaingiza wanaume room wamtombe kwa zamu kama danguro kwa ajili ya tamaa za pesa
Unazungumzia hawa mabinti wa vyuoni wanaotoa mbususu kwa ofa ya makange na savanna viwanja vya starehe
Hawa wasomi wenye degree za chupi na ajira za rushwa ya ngono.
Uliza waliowahi kuoa wasomi wakaishia talaka kwa sababu ya tabia zao za kifeminist
Thamani ya mke/mwanamke haipimwi kwa elimu yake
[emoji16][emoji16]Taikon mbona anayumba yumba
Kiufupi kijana huyu ameporomoka mno kihoja.
Me nafikiri sio lazima wala sifa kutunga threads mpya kila siku..ukiishiwa cha kuandika si utulie.
Anyway una karama ya uandishi.
Hata hoja ya hovyo hovyo ukiishupalia unavuna mashabiki hongera kwa hilo.
[emoji817]Mkuu siku hizi huna la maana unalo andika au huenda umelishwa na mavi na mwamkr bila kujua wewe.
Point zote ulizo weka hapo haipo hata Moja yenye mashiko
1:- umesema ni rahisi kutongozwa!?
=>Kutongozwa ni hulika ya mkuu Leo hii wasomi wako hao ndo wanaongoza kujiuza
Nenda udom & na udsm uone wanachuo wanavyogawa mbususu Kwa bei cheee
Hao wakiolewa watakuwa na ugumu Gani kutongozeka kwanza kazoea kugawa na pia hatatosheka na mwanaume mmoja.
2:- umesema kuwa mnafika na kushindwa kusimama kama mam.
=>Mama Yako mzazi ana elimu Gani? Vipi mashangazi zako je Wana elimu? Mbona walisimama na kuwa wa mama Bora Hadi Leo wamepata maprofesa na Dr japo hawana elimu hiyo?
3:-Kwamba hata heshimiwa na Wana watu!
=>Hii Hadi umenichekesha!! Kituu pekee kitakacho kufanya uheshimiwe ni tabia na nidhamu Yako na ukwasi ulio nao wewe kama ni maskini hata ungekuwa na elimu kiasi Gani huwezi heshimiwa.
Elimu haikufanyi uheshimiwa pia uelewe kama unazungumzia elimu ya makaratasi hapo ndo umechemka vibaya sana.
4;- umehitimisha Kwa kusema kugawa utoda kiurahisi
=>Hii ni ileile inayotokana na malezi na tabia ya mtu na hulka.
Kupata msomi bikra ni sawa na kutafuta bikira kwenye wodi ya wazazi. Ni rahisi sana tembo kupenya kwenye katundu ka sindano lakni si kupata bikira ya mwanamke aliye soma. Na kama ukimpata basi katoe USHUHUDA Kwa mwamposa au kanisani.
Mwanaume wa kweli anaangalia mke haangalii elimu! Ni ngumu sana kupata professor Kwa mwanamke msomi hata kama yeye naye ni maprofesa na Mme wake lkn ni rahisi sana kupata huyo professor Kwa mama unae muita Leo hii ni golikipa!
Unashangaza sna
Kabisa aliposema asie fanya kazi na asile akusema jinsia.Kwa sababu Mwanamke naye ni mtu.
Sifa ya mtu lazima afanye kazi.
Vinginevyo labda asiwe mtu.
Moja ya sheria ya Mungu au ya asili ni kufanya kazi kwa mwanaume na Mwanamke.
KUNA MDAU ATAKUJA KUTOA USHUHUDA WAKE.Mtu aliyesoma ukimuona tuu unajua huyu kasoma.
Hiyo ya kusema wanawake wafanyakazi wana date huko maofisini ni propaganda tuu za kutunga.
Kuhusu kuwa cheap, ndio nimekuambia wewe kwa uelewa wako yupi ni rahisi kwako kumtongoza, kati ya Mwanamke asiye na kazi na hajasoma au mwanamke mwenye elimu na anakazi nzuri?
Humuhumu jukwaani wanaume kutwa wanakiri kuwa Mwanamke aliyesoma na mwenye kipato anadharau lakini wanashindwa kuelewa kuwa huyo Mwanamke ana wanaume wa hadhi yake ambao lazima awanyenyekee.
KUNA MDAU ATAKUJA KUTOA USHUHUDA WAKE.
NIMEFANYA KAZI MIAKA 10 KWENYE KAMOUNI MOJA LA SIMU. NINA ONGE ANA UZOEFU BRO
Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Tarehe 2 October nimempanda mtoto wa Brother! (Undugu wa kutafuta na tochi sana) Baada ya kuomba vyuo round ya kwanza alikosa. Kama 3 ya 13. Ikatakiwa aje ku reapply vyuo na vngn aongeze. 2nd round akapata TENGERU na MWL NYERERE. Alifurahi sana, hapo chating zikaanza mara Dad miss you...www.jamiiforums.com
Kabisa aliposema asie fanya kazi na asile akusema jinsia.
Dunia imebadilika lazma kila mtu ajishugulishe ili familia isonge mbele.
Hapana pesa ya mwanamke inawasaidia nyumbani kwao na ndugu zake, wanawake wakishapata kazi wanaanza kujenga kwao kwenye maeneo ya Baba zao hawajui watoto wao hawawezi kupata mgawo wa urithi.[emoji1][emoji1]
Siku ukipata Stroke au umestaafu au kufukuzwa kazi au kufa alafu umeacha watoto wadogo ndio utajua jinsi ulivyokuwa na mawazo mgando.
Pesa ya Mwanamke inaweza isikusaidie wewe lakini ikasaidia wàtoto wako.
Mkuu yeye hajui wanaojiuza %80 ni wasomi wa elimu ya juu, Wasomi wanajiuza vibaya mno Yani kijana ukitaka kuoa changudoa funga ndoa na msomi, wasomi wana mifumo yao ya kujiuza wakishapata Ajira na kabla ya kupata ajira.Nakubaliana na baadhi ya maandiko yako ya nyuma ila kwa hili la leo nakupinga asilimia mia.
Kusoma na kuwa na akili ni vitu viwili tofauti, oa mwanamke mwenye akili sio mwenye elimu. Wanawake kibao wenye elimu hasa huko maofisini ni wachafu na malaya kupitiliza tunawaona.
Na mwanamke kutongozwa sio kitu Cha ajabu labda ajabu ni kulala na kila anayemtongoza, kinachopelekea mwanamke kutongozwa ni muonekano na mazingira. Mwanamke mkurugenzi ni rahisi kutongozwa na wakurugenzi wenzake au watu wa Kariba yake.
Mwanamke anaweza akawa hajasoma ila akatongozwa hata na profesa na anaweza akawa amesoma ila akatongozwa hata na watu wa hovyo kutokana na muonekano au mazingira aliyokuwepo.
Kuosha masufuria,kupika na kushirikiana shughuli za kijamii hasa misiba na harusi sio utumwa ni utamaduni wetu tu.
Kweli mkuu mpaka unakuja kumuoa mke ana kubwa na Ma ex Zaid ya sabini, tofauti na ukioa mwanamke wa kidato cha nne yeye atakuwa na Ex mmoja tu akizidi sana wawili.Anaanza kuliwa na mwalimu shuleni olevel
Akifika chuo lecture Anataka
Alienda kwenye interview hr anatakaA
Kanisani nabii anakula
Kitaa boda anatusua