Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Matunda ya "Beijing Conference" yanaanza kuathiri kizazi,obviously mleta mada hawezi kuwa amezaliwa chini ya 1995.

Wewe mama yako hakusoma hata kama alisoma siyo elimu hiyo ya kutisha leo useme wenzake kama yeye wasiolewe wTf,unazungumzia mke kushughulishwa kwenye msiba hujui kwenye msiba ndipo binadamu anayejitambua bila kujali ni mume au mke anatakiwa ashiriki kwa kujitoa kwa hali na mali pasipo hata kuambiwa?
 

Hivi utajisikiaje mkeo anatumikishwa na kuchukuliwa poa kisa hana elimu wala kazi?
Wakati huohuo wake za ndugu zako waliosoma wakikunja miguu juu.

Kama binti zako hutosomesha na watakuwa golikipa hiyo ni shauri yako
 
Acha yoga wa maisha wewe. Unaenda kitonga mwanaume, angalia utaolewa. So mke sio elimu yake
 
Huyo mwenye elimu na kazi, ikitokea akiamua kukutesa utajuta, maana anazo sana zote za maangamizi
 


  • Nimeona mwanamke kasoma
  • Nimesoma pia.
  • Nina marafiki wamesoma

Mke ni topic isiyo na style moja, kila mtu aangalie namna ipi kwakeni nyepesi na inaweza work
 
Hivi utajisikiaje mkeo anatumikishwa na kuchukuliwa poa kisa hana elimu wala kazi?
Wakati huohuo wake za ndugu zako waliosoma wakikunja miguu juu.

Kama binti zako hutosomesha na watakuwa golikipa hiyo ni shauri yako
Wewe dogo akili huna unataka battle za kitoto toto sana,aliyekuaminisha mwanamke kusoma na kuwa na kazi kunamtenganisha na shughuli za kijamii nani?

Ok mkeo wewe ana elimu na ana kazi wangu hana elimu na hana kazi mimi mumewe nina hela na ktk hiyo shughuli mimi nimehusika kwa kiasi kikubwa kuigharamikia huku wewe na mkeo hamkutia pua so wewe kwa akili zako unadhani mkeo msomi akikaa miguu juu na wangu akakaa miguu juu kwa sababu hana alichokosa na mumewe anaheshimika kwenye ukoo kuna kitakachofanyika kwenye jamii?acha upumbavu kujikuta unajua kila kitu na hulka zako za ki-feminist unaijaza jamii ujinga stop it!
 
Wasomi wenyewe si ndio hawahawa tuko nao mitaani hawana kazi wana njaa hawataki kujishughulisha kisa wana degree wanaishia kudanga na wanapigwa miti hadi na hao boda unaowadharau

Unaoa msomi ambaye maisha yake akiwa chuo alikuwa anawaingiza wanaume room wamtombe kwa zamu kama danguro kwa ajili ya tamaa za pesa

Unazungumzia hawa mabinti wa vyuoni wanaotoa mbususu kwa ofa ya makange na savanna viwanja vya starehe

Hawa wasomi wenye degree za chupi na ajira za rushwa ya ngono.

Uliza waliowahi kuoa wasomi wakaishia talaka kwa sababu ya tabia zao za kifeminist

Thamani ya mke/mwanamke haipimwi kwa elimu yake
 

Ukiwa na hela utaheshimika wewe mkeo atapata heshima kupitia wewe lakini yeye kama yeye bila wewe hana heshima yake mwenyewe.

Siku ukifa na pesa zako ndio utajua kama huyo mkeo asiye na elimu wala kazi ataheshimiwa au ndio ile kunyanyaswa na kuteseka.
 

Kwa hiyo mkuu kwa mfano Mwanamke uliyemuoa akaona unammyanyasa na unamfanyia ubabe kisa wewe ni mwanaume akawa anakupinga na kukukosoa alafu wewe nawe ukawa mbishi kisha mkafikia kushindwana ni vibaya?
 
Huyo mkeo anae hangaika na boss wake kila siku kujishobokesha ili apewe promotion nae utasema ni mke wako au mke wenu bro....?
 
Binti wa kawaida asie na elimu wala kazi anatakikana, Wahi nafasi ni moja tu.
 
Still unazidi kuonyesha ulivyo mweupe,kama mume nina hela nzuri nikiondoka nitaacha uchumi mzuri kwa familia so hakuna namna atadhalilika.

Kingine tunabishana ujinga tu elewa mke kuwa na elimu na kazi au kukosa elimu na kazi au hata kuwa na kipato au kukosa kipato kamwe hai-justify ajitenge kwenye shughuli za kijamii au awe kinara kwenye shughuli za kijamii yeyote ktk hao asipofanya hayo hana sifa za kuitwa mke na hajitambui awe na elimu au asiwe na elimu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…