Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Muulizeni mleta mada kama ameshaoa na muda gani katika ndoa. usikute analeta nadharia badala ya uzoefu wake katika maisha ya ndoa
 
Taikon wa Fasihi kweli ni matako wa fasihi

Huu uzi hauna usingekuja hapa kama wewe usingekua masikini

Huu uzi umekujia kichwa ukauandika kwa urefu wa ajabu kilichokusukuma ni umasikini ulio nao

Be rich kiasi kwamba your wife has an option to stay home na kulea watoto wa ukaribu,kwenda kazini kuajiriwa kwa mwanamke ni umasikini mkali wa mume ndio chanzo
 
Muulizeni mleta mada kama ameshaoa na muda gani katika ndoa. usikute analeta nadharia badala ya uzoefu wake katika maisha ya ndoa
Acha mke,hana demu hata wa kuungia maana ni masikini na hajitambui,weak male!

Weak males wanataka strong females wawasaidie majukumu ya kiuchumi!

Mtu kukaa nyumbani kuleta watoto wako huyu masikini anaitwa "goalkeeper" what a dummy!
 
Mtu kujiheshim ni malezi yake tu, elimu yake au kutokua na elim siyo vigezo wapo wasio na elimu kubwa ila wanajisheshimu sana na hao wenye elim huku maofisini watu wanapokezana tu kama wanacheza basket
 

Tatizo la binadamu mliowengi ni wanafiki wa kiwango cha juu.
Sio ajabu hapo una binti na unasomesha kabisa lakini hapa unakuja unaandika vitu vinavyokinzana na matendo yako(unafiki asilia).

Sio lazima mkeo aajiriwe mnaweza fungua makampuni au miradi yeye akawa anasimamia.

Torati, inaposema kufanya kazi inahusu Mwanamke na mwanaume. Hiyo ni amri.

Mkeo anafanyakazi kwaajili yake, familia pamoja na taifa.

Kutaka mwanamke asifanye kazi ni kuongeza umaskini katika jamii na nchi.
Fikiria Wanawake wapo milioni 32 kasoro alafu nusu nzima ya rasilimali Watu hiyo iwe tegemezi. Unategemea nini kama sio umaskini uliopindukia.

Tunapojadili hoja hizi wengine tunajadili kwa marefu na mapana. Wajinga na wenye upeo mdogo wanawaza tuu vitu vidogovidogo kama sijui mke kuchepuka, sijui kukudharau. Sasa kama ni mwanaume bwege kwa nini wasikudharau?

Mnataka Wanawake wasisome na kufanya kazi ili wasijue madhaifu yenu ya ubwege na kutokujiamini?
Wewe kama kweli mwanaume Oa mke Msomi, mwenye kazi au kipato, kisha muongoze ukΓ­weza basi wewe mwanaume.

Sio unatafuta mjinga mmoja asiyejiweza kimapato unamweka ndani alafu unajiita wewe ni mwanaume.
 
Wewe sijui unaongea nini,,mimi nmekuambia ukioa mwanamke ambae sio muajiriwa unaenjoy namaanisha anaweza akafungua biashara akawa na msaidizi lakini mda wowote ambapo utamuhitaji unampata lakini sio hivyo unavyowaza wewe et wanawake 31m wote wasiingize kipato

Alafu unaongea nadharia tu nahisi wewe bado hata hujaoa unatusumbua kujibu sisi ambao tunayajua mais

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sasa kuajiriwa na kujiajiri kuna tofauti gani? Kote si ni kufanya kazi?

Embu kuwa Serious
Alafu unaongea nadharia tu nahisi wewe bado hata hujaoa unatusumbua kujibu sisi ambao tunayajua mais

Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali unasema unahisi, hata ulichoandika ni hisia zako tuu hazina uhalisia
 
Kwahiyo wasio na elimu wasiolewe ?

Na tulionana eleimu hatuna kazi tusiolewe? πŸ˜…

Kila mmoja atabaki kwenye fungu lake.

Niliandika kwa sababu kuna Watu walikuwa wanapromoti Watu wasioe Wanawake waliosoma na wenye kazi wakatoa madhara yao. Kisha wakatoa faida ya kuoa Mwanamke asiye na elimu wala kazi. Nami nimewakumbusha tuu madhara ya kuoa wanawake wasio na elimu na magolikipa.

Najua lengo la Watu wa aina hiyo ni kutaka kuirudisha dunia nyuma.
Wanatoa mifano ya wazazi wetu ambao walinyimwa haki nyingi ikiwemo ya kusoma ati ndio wanalinganisha na dunia ya sasa ambayo imetoa haki kwa kila mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…