Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Muhanga wa nn mkuu?

Nashukuru Mungu mama angu alikuwa mfanyakazi,nurse!
Sijui ingekuwaje!

Mzee e Dr ila alikuwa anazingua ,mama ndo alibeba sn mzigo!

Uniambie eti Hela ya mwanamke hsisaidii familia nashangaa, wakati ndo Kila kitu, wanawake sshv wanalipa bill ,ndo maana wanaona waishi wenyewe tu sbb wanaume wanazingua
Sasa wanaume wanazingua kitu gani hapo. Nyie mlitaka usawa muachiwe msome kama watoto wa kiume na kazi mpewe. Vyote mmepewa sasa shida iko wapi kama na nyie mtalipa Bills kama ambavyo nasisi hulipa?

Mume akiwa na hela analipa ila anapokuwa hana na wewe unapaswa ulipe ndio mkataba wa 50% kwa 50% ulivyo. Sielewi kwanini kipengele cha matumizi mnasakamizia mwanaume tu wakati waasisi wenu ulaya wanashirkiana kulipa bills.
 
Mkuu siku hizi huna la maana unalo andika au huenda umelishwa na mavi na mwamkr bila kujua wewe.

Point zote ulizo weka hapo haipo hata Moja yenye mashiko

1:- umesema ni rahisi kutongozwa!?
=>Kutongozwa ni hulika ya mkuu Leo hii wasomi wako hao ndo wanaongoza kujiuza

Nenda udom & na udsm uone wanachuo wanavyogawa mbususu Kwa bei cheee

Hao wakiolewa watakuwa na ugumu Gani kutongozeka kwanza kazoea kugawa na pia hatatosheka na mwanaume mmoja.


2:- umesema kuwa mnafika na kushindwa kusimama kama mam.

=>Mama Yako mzazi ana elimu Gani? Vipi mashangazi zako je Wana elimu? Mbona walisimama na kuwa wa mama Bora Hadi Leo wamepata maprofesa na Dr japo hawana elimu hiyo?

3:-Kwamba hata heshimiwa na Wana watu!
=>Hii Hadi umenichekesha!! Kituu pekee kitakacho kufanya uheshimiwe ni tabia na nidhamu Yako na ukwasi ulio nao wewe kama ni maskini hata ungekuwa na elimu kiasi Gani huwezi heshimiwa.

Elimu haikufanyi uheshimiwa pia uelewe kama unazungumzia elimu ya makaratasi hapo ndo umechemka vibaya sana.

4;- umehitimisha Kwa kusema kugawa utoda kiurahisi

=>Hii ni ileile inayotokana na malezi na tabia ya mtu na hulka.
Kupata msomi bikra ni sawa na kutafuta bikira kwenye wodi ya wazazi. Ni rahisi sana tembo kupenya kwenye katundu ka sindano lakni si kupata bikira ya mwanamke aliye soma. Na kama ukimpata basi katoe USHUHUDA Kwa mwamposa au kanisani.


Mwanaume wa kweli anaangalia mke haangalii elimu! Ni ngumu sana kupata professor Kwa mwanamke msomi hata kama yeye naye ni maprofesa na Mme wake lkn ni rahisi sana kupata huyo professor Kwa mama unae muita Leo hii ni golikipa!
Unashangaza sna
 
Sasa wanaume wanazingua kitu gani hapo. Nyie mlitaka usawa muachiwe msome kama watoto wa kiume na kazi mpewe. Vyote mmepewa sasa shida iko wapi kama na nyie mtalipa Bills kama ambavyo nasisi hulipa?

Mume akiwa na hela analipa ila anapokuwa hana na wewe unapaswa ulipe ndio mkataba wa 50% kwa 50% ulivyo. Sielewi kwanini kipengele cha matumizi mnasakamizia mwanaume tu wakati waasisi wenu ulaya wanashirkiana kulipa bills.
Kumbuka mi sio muumini wa 50 Kwa 50
Imani yangu hainiruhusu
Kila mmoja akae kwenye nafasi yake😅
 
Kuna vijana wa kiume wa hovyo sana. Inakuwaje unaoa mwanamke msomi au mwenye kazi eti ili akusaidie maisha. Ndo maan vijana wengi ndoa zao huangukia pua. Wewe oa mwanamke kutimiza mila na desturi na imani za dini yako hayo ya kipato chake kukusaidia ni matokeo tu na siyo lazima.

Kwanza kwa taarifa tu na research ndogo, ndoa nyingi za maskini hudumu kuliko za wenye vipato, Yan baba na mama wote wakiwa na kipato. Ikitokea wamedumu hupitia magumu yasiyoelezeka
🤝🤝🤝😍
 
Hapa leo umepotoka kabisa na kuwadharau wanawake wa nchi yetu, mama zetu hata mama yako najua hajasoma, pamoja hajasoma alikuzaa, kakukuza, umekuwa, umesoma na kuelimika, huoni leo unamtusi vibaya hata mama yako mzazi aliyekuzaa, kukulea na kupata elimu na elimu hiyo ndio unarudisha haya majibu kwa mama zetu, hiyo elimu uliyopata hukufanya vema kuwasema hivi wanawake au wamama zetu wengi hawakusoma, umewatusi, wamekuzaa, wamekulea, wamekusomesha, leo unawajibu hivi, sikutegemea, ila kumbe elimu ndio imekufanya umejisahau na kuwa kipofu wa maisha hivi?

Nakupa elimu kidogo ushtuke, hakuna mwanamke hataki kupata elimu au kupata kazi nzuri au kufanya biashara nzuri awe na kipato kizuri ili awe na maisha mazuri, sbb ni nyingi huchangia hali unayoona wanawake wetu wengi wako hivyo, sbb kubwa hasa ni umaskini, ufukara na wakati mwingine wamepoteza wazazi wao wakiwa wadogo sana, hivyo ni bora uone uchungu na madhila yao waliyopitia na kuwa na hali ngumu mno kimaisha, ila bado wanaolewa na kuzaa na kulea watoto na kuwasomesha katika hali hiyo hiyo, hivyo kuwabeza na kuwadharau ni mbaya sana, hakuna mtu anapenda kuwa tegemezi, au maskini au akose elimu bora bali ni maisha tu, umaskini wetu, kama wewe hali yako ni nzuri piga magoti chini mshukuru Mungu sana na waombee wanawake hao wawe na hali nzuri ila usiwabeze hata kidogo, hiyo ni dhambi mbaya sana.

Usitumie elimu yako kama fimbo kuwadharau wanawake ambao hawakusoma, hiyo ni dhambi kubwa sana sana na inatia uchungu, waache hao ndio mama zetu, dada zetu, wake zetu, mashemeji zetu hata kama hawana elimu, wanaolewa sana tu, ndio dunia ilivyo, usiwazidishie machungu ya kuwakebehi, dharau au kuwang’ong’a, waache hao wanwake zetu, ni wetu sisi, Mungu alichonipa nitagawana nao hao hao, elimu sio sbb ya kuwa toa ubinadamu wao kana kwamba hawafai kuolewa,, waache waache hao wanawake ndio wetu sisi wengine, tunawapenda sana, tutawajali sanaaa, tutawahudumia sanaa, na kuwatunza mno na mahaba kwao hayatapungua hadi milele na milele, elimu isiwe chanzo cha kuwaona sio wanawake wasio kamilika kuolewa au binadamu ambao hawajakalimika, sisi tunawaona ni wanawake 100% kama wanawake waliosoma, waache kabisa.

Nakushauri, elimu uliyopata usirudie kuwaongelea hawa wanawake au mama zetu ambao hawana elimu au kipato, waache kabisa, Mungu atakupa adhabu mbaya, hao ni watu wa Mungu, Mungu anajua kuliko wewe na hali zao anajua, waache, waache, waache

Mama na dada zetu mjisikie na amani na furaha na upendo, haijalishi una elimu duni au huna, still nyie ni mashujaa na mnaendeleza dunia hii na Mungu ndio kafanya hivyo, Mungu yuko pamoja nanyi, baadhi ya vijana elimu imewapotosha kabisa na kuwafanya vipofu hawajui wametoka wapi na kuenda wapi, na kujisahau na kuanza kutusi walikotoka, leo umeharibu sana.
 
Dharau zipo. Dada zangu walimdharau (nadhani hata sasa wanamdharau) sana mke wangu maana ni mama wa nyumbani na elimu yake ni ya hapa na pale. Ukiacha dharau wanamuonea wivu hawataki awe na kitu kizuri!
Ila Kwa upande wangu huyu mama watoto hajawahi kunipasua kichwa ukiacha inferiority za hapa na pale. She is raising our four beautiful daughters Kwa viwango ambavyo nasema kimoyo moyo this is my wife.

My lady zawadi yako ipo moyoni ngoja watoto wamalize shule.
N.b ikitokea nimeanguka (died) nimewekeza kijijini kidogo for them I know watatoboa!
Life has no fast and easy/hard formula
 
1. Thamani ya mwanamke sio elimu hii rasmi ya kutoka la vidudu hadi chuo. Thamani ya mwanamke ni elimu ya maarifa ya kufanya maisha. Usiongee kwa nadharia tazama uhalisia ndoa za wanawake waliosoma na ambao hawajasoma.

2. Madhara ya elimu ya kisasa ni muda mwingi kumuweka binti akijaza mafunzo ambayo 80% hayata apply katika maisha cha zaidi ni yatampa tu akili ya ujuaji na kupenda ligi. So sijaona impact ya elimu katika ndoa hapa.

3. Umezungumzia umalaya wa mwanamke ambaye hajasoma ila sijui kama una takwimu za wanawake wasomi kutokea sekondari, chuo, hadi huko makazini anapita na dudu ngapi kumshinda huyu mkeo ambaye si mfanyakazi wala msomi.

4. Status ya mkeo inaanza na wewe mume wake. Ukiona mkeo anachukuliwa poa katika vikao vya koo au familia ukweni anapewa makazi ya hovyo jua ni reflection ya status yako. Hivi wewe ukiwa ni mfanyakazi au mfabya biashara mwenye mafanikio na uwezo mzuri hadi familia yako inakutegemea nani atamdharau na kumshusha mkeo mbele yako au hata ukiwa haupo?

5. Mwanamke kulala na watu wa hovyo na wa ajabu ni matokeo ya hadhi unayompa wewe kama mumewe kuanzia ratiba ya familia, majukumu yake kama mke, na usaidizi wake eneo la uchumi. Wanawake huwa wanatazamia umuhimu wao kwako kulingana na namna unamshirikisha vitu vyako kuwa vyenu. Kama haumshirikisha ni wazi atakuwa idle na idle mind is a devils temple.

6. Asikudanganye mtu kuwa mwanamke wa darasa la saba, au form 4 hana maana. Ndugu hao sasa ndio wanawake wanaoyaelewa maisha maana huwa wapo vema sana kujifunza badala ya kuwa wajuaji. Hawa wachuo diploma, degree, Masters, phd, ni wachache sana mtakaa chini kupanga jambo bila ya yeye kuforce mawazo yake yasikilizwe hata kama hajui anachokisema atataka aonekane anahoja zake kaweka, maana wanahisi maisha ni kama zile group presentation za vyuoni kila mtu atachangia.

So kukutengusha kauli ndugu naomba tu nikujuze kuwa wanawake ambao hawajaenda shule si kwamba shule ndio inawatoa thamani bali ni kukosa maarifa ya Maisha. Sisi wanaume hatuwahitaji wanawake kama equals wetu bali kama auxiliary beings au personal assistants wetu.

Wewe kama mwanaume purpose yako ni maagano yako wewe na MUNGU sio na mwanamke. Kumbuka kabla ya kuumbwa Eva (Hawa),hakukuwapo maagano ya mwanaume kuwa idle alisubiria mwanamke aje ndipo aanze life. Bali mwanaume aliletewa mwanamke kama msaidizi na faraja yake ya maisha. So, hizi habari za elimu sijui nini ni matokeo ya kujichanganya na kutaka wanwake wafanye majukumu yetu 50/50.

Jielimisha ili tuelimishane.
 
Nani kakwambia watu wanaogopa vyeo au elimu za wanawake. Hata Ummy mwalimu anapigwa sound vizuri tu na anatafunika na wahuni.

Mwanamke kutongozwa ni kutokana na mazingira tu na watu anaokutana nao mara kwa mara. Kama anashinda mtaani atatongozwa na wa mtaani. Kama anashinda ofisini basi atatokewa na hao hao walioko maeneo ya ofisini.
kweli
 
Heshima ya Mwanamke yeyote inatokana na Heshima ya mumewe.

Unavyoheshimika wewe ndivyo mkeo ataheshimika.

Ikiwa unaheshimika ni rahisi mke wako kuwa mwaminifu, kutokua na unachoita ugawaji...

Heshima ni Power, na power inaweza Tokana na UTAJIRI, Elimu, Madaraka, ama ubobezi katika fani flani.
 
Tatizo la binadamu mliowengi ni wanafiki wa kiwango cha juu.
Sio ajabu hapo una binti na unasomesha kabisa lakini hapa unakuja unaandika vitu vinavyokinzana na matendo yako(unafiki asilia).

Sio lazima mkeo aajiriwe mnaweza fungua makampuni au miradi yeye akawa anasimamia.

Torati, inaposema kufanya kazi inahusu Mwanamke na mwanaume. Hiyo ni amri.

Mkeo anafanyakazi kwaajili yake, familia pamoja na taifa.

Kutaka mwanamke asifanye kazi ni kuongeza umaskini katika jamii na nchi.
Fikiria Wanawake wapo milioni 32 kasoro alafu nusu nzima ya rasilimali Watu hiyo iwe tegemezi. Unategemea nini kama sio umaskini uliopindukia.

Tunapojadili hoja hizi wengine tunajadili kwa marefu na mapana. Wajinga na wenye upeo mdogo wanawaza tuu vitu vidogovidogo kama sijui mke kuchepuka, sijui kukudharau. Sasa kama ni mwanaume bwege kwa nini wasikudharau?

Mnataka Wanawake wasisome na kufanya kazi ili wasijue madhaifu yenu ya ubwege na kutokujiamini?
Wewe kama kweli mwanaume Oa mke Msomi, mwenye kazi au kipato, kisha muongoze ukíweza basi wewe mwanaume.

Sio unatafuta mjinga mmoja asiyejiweza kimapato unamweka ndani alafu unajiita wewe ni mwanaume.
Weak male,umejaa umasikini

Ndio maana unawaza mwanamke wa maana ni yule anaefanya kazi ya kuajiriwa,akusaidie wewe weak male na majukumu ya bajeti

Huna jingine masikini wewe

Wewe ni weak,na ndio maana una maneno na insha ndefu za kipumbavu

Bure kabisa
 
Weak male,umejaa umasikini

Ndio maana unawaza mwanamke wa maana ni yule anaefanya kazi ya kuajiriwa,akusaidie wewe weak male na majukumu ya bajeti

Huna jingine masikini wewe

Wewe ni weak,na ndio maana una maneno na insha ndefu za kipumbavu

Bure kabisa

Uliona wapi weak male akaoa strong felmale?
Strong male huoa strong female.
Weak male huoa weak female Kam Wewe.
 
Hiyo ya kuosha vyombo msibani sio kweli
Usiwajaze watu ujinga!!mke wangu mhandisi na anaosha vyombo msibani,we utakuwa unaongelea wanawake wavivu,na wanaojiona eti wamesoma
 
Uliona wapi weak male akaoa strong felmale?
Strong male huoa strong female.
Weak male huoa weak female Kam Wewe.
Never! Sio kwenye haya maisha ya sasa au yaliyopita. Ukweli ni kuwa, stronger attracts weaker.
Tazama akina mama wa mjini wenye pesa zao, ukikuta ameolewa basi mwanaume anakuwa dhaifu sana sio kifedha bali hana sauti kwa mkewe.

Tazama wabunge wa viti maalumu ambao wengi wao ni wanawake baada ya kupata nafasi wangapi unaowajua wapo kwenye ndoa?

Tazama hawa wadada maarufu mjini wenye tuhela twa kubadili mboga, je unaona wanaolewa na wanaume strong ama marioo?

Kimsingi hakunaga mwanaume mwenye uwezo wake wa kifedha halafu yupo na strong masculine character na Patriarchy mind set ukute anaoa wanawake hawa wanaojiita wapambanaji sijui strong lady na kadhalika.

So, strong women attract weak men.
 
Uliona wapi weak male akaoa strong felmale?
Strong male huoa strong female.
Weak male huoa weak female Kam Wewe.
Mwanamke mwenye kufanya kazi za kuajiriwa ni strong female kwako wewe anaekuletea pesa nyumbani

Kwetu sisi strong female ni yule mwenye mabavu ya kuacha kazi za kuajiriwa na kuhakikisha analea watoto wake kwa mkono wake mwenyewe

Wewe ni very weak,huna pesa

Yaani unadharau mwanamke aliejinyima mpaka anabaki kulea watoto,unamwita goalkeeper?

Wewe ni weak

Male yeyote asie na pesa ni weak

Ndio maana upo hapa kulalamika eti mwanamke hafanyi kazi za kuajiriwa

Bure kabisa yaani
 
MADHARA YA KUOA MWANAMKE AMBAYE HAJASOMA NA GOLIKIPA NI HAYA!

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Nimeona kuna vijana hapa wanadanganyana na kuwa na mawazo ya kizamani.

Ati wao wataoa wanawake wenye elimu duni na wasiofanya kazi isipokuwa kazi za nyumbani (golikipa).

Sasa kwa ninyi mliofanya maamuzi ninyi sina neno na nyie kwa sababu huo ni uchaguzi wenu.

Wazo hili ni zao la kizamani ambalo msingi wake ulikuwa kwa jamii isiyoamini kama Mwanamke naye ni mtu.

Lakini ujumbe huu nimeandika ni kwa wale ambao bado hawajafanya maamuzi au hawajui wachague kipi kati ya kuoa Mke aliyesoma na anayefanya kazi za taaluma au Mke ambaye hajasoma na ambaye atakuwa mama wa nyumbani.

Yafuatayo ni madhara ya moja kwa moja ambayo utayapata kwa kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na ambaye hana kazi yaani mama wa nyumbani;

1. Atakuwa Mwanamke Cheap na wagharama nafuu Kabisa.
Hakuna kazi rahisi kama kutongoza Mwanamke ambaye hajasoma na hana kazi. Ni rahisi kama kunywa uji wa mgonjwa. Yaani shwaaa!

Moja ya vitu vinavyompa mtu thamani kwa dunia ya leo ni Elimu.

Hata wanaume watakaomtongoza mkeo watakuwa Lundo kama siafu wekundu, hawamuogopi, wamuogope kwa kipi hasa! Lakini mdada shule ipo tena anawazidi mpaka wanaume Unafikiri hapo kuna nini.

Mpeleke mkeo ambaye hajasoma na hana kazi yoyote Kwenu siku ukitokea msiba uone jinsi atakavyotumikishwa kwa kusugua masufuria na makazi yasiyo na hadhi. Wakati huo Wake wa ndugu zao wamekaa mguu juu na hakuna kima yeyote atakayewasogelea isipokuwa wao wenyewe waamue.

Jipe hadhi kijana acha woga wa kijingajinga.

Unataka familia yako iwe cheap? Unataka watoto wako wajisikieje wakimuona mama yao(mkeo) akitumikishwa kwa kazi dhalili?

2. Mwanamke kuwa Mnafiki na kushindwa kusimama katika nafasi yake ya mke na Mama.
Mke wako hana elimu alafu hana kazi. Atawezaje kusimamia majukumu yake kama mke na kama Mama?

Mke lazima awe na elimu ya kiwango fulani angalau Diploma kwa zama hizi. Kisha awe na kijikazi au kazi ya kuingiza mapato.

Mke ni Mama wa watoto wako lakini pia ni Mama yako mlezi wakati mwingine.

Lazima uwe na Mwanamke ambaye ataweza kubeba jukumu la kukutunza na kukulea kimwili na kiroho na wakati mwingine kiakili pale ambapo utakengeuka.

Sasa unachukua Mwanamke shule hana, hana kazi, Mwanamke anakuogopa badala ya kukuheshimu kisa hana kipato.

Umekengeuka kidogo hakuna wakukurudisha kwenye mstari.

Nawajua wanaume wengi ambao wao ndio chanzo cha kuvunja nyumba zao kwa kukengeuka kwao. Aidha kutumia vibaya uanaume na ubaba wao vibaya.

3. Mkeo hataheshimiwa na Watu wa nje.

Raha ya mke aheshimiwe. Sio kila siku mke anakondeana kwa kudharaulika.

Binadamu ni kiumbe mwenye dharau Sana.

Kanisani atadharaulika. Mtaani hivyohivyo. Kisa hana elimu wala hana kazi. Yaani yupo yupo tuu.

4. Kugawa Uroda kirahisi.
Ni kweli wanawake wengi hugawa uroda lakini kuna kugawa Uroda kirahisi.

Fuatilia hata jamii yenye umalaya mwingi wanawake wao hawana elimu wala hawana kazi.

Yaani Mwanamke awe mwalimu au daktari au mwanasheria alafu awe Malaya, hiyo sio rahisi.

Ila mkeo akiwa hana elimu jua kabisa hata bodaboda hawamhofii. Yaani mwanaume yeyote anaweza kuruka naye kwa sababu mkeo ni level ya chini ambaye yeyote anaweza kutunda yake.

Lakini Mwanamke mwenye elimu na kipato ni kama Mnazi. Mpaka umpate lazima jasho likutoke na wapandaji huwa wachache.

Fikiria mkeo ni mkurugenzi Unafikiri ni wafanyakazi wake wangapi wana ujasiri wa kumtongoza? Lazima wawe na hofu.

Alafu fikiria mkeo hana elimu yoyote Unafikiri kuna mtu anamhofia kumfuata?
Hakuna!

Sasa mwanamke Watu wanatakiwa Wamheshimu yeye bila hata ya uwepo wako. Sio mkeo aheshimiwe kisa umemuoa yaani ni mke wa mtu. Hapo umepigwa.

Yaani Watu wanakuheshimu tuu wewe ndio maana hawamfuati mkeo lakini ukiwa haupo Watu wanajigaragaza. Lakini Mwanamke akiwa na kazi nzuri na elimu hata asipokuwa na mume anaheshimika na wanaume hujifikiri mara mbilimbili kumfuata.

Yote kwa yote Maisha ni ubatili. Lakini Watu wanachokazana ni kuepuka ubatili wenye maumivu, dharau, majonzi na taabu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mimi nikipata pisi kali yangu imenyooka hayo mengine sijali, ninachojua nikiondoka nyumbani ndani nimeacha pisi kali malkia wangu ananisubiri nije nimgaragaze inatosha, muhimu tafuta hela tu Hao wanawake ni mauwa na mapambo ya nyumba zetu, Sasa jichanganye ukatafute mwanamke usiemfeel kwa sababu tu Ana elimu uone, Mara nyingi wanaotafuta wanawake wasomi na wafanyakazi huwa hawajimudu kifedha na kiakili, cha msingi tafuta pisi kali inayojielewa tu kila kitu kitakaa mahala pake
 
Back
Top Bottom