Madinah sasa ruksa kwa wasio Waislam kutembelea bila vikwazo. Jionee safari ya Kutoka jiji la Jeddah kuelekea Madinah

Madinah sasa ruksa kwa wasio Waislam kutembelea bila vikwazo. Jionee safari ya Kutoka jiji la Jeddah kuelekea Madinah

MBS umagharibi mwingi anapenda misifa.
Well kila mtu ana muono wake. Yeye anasema hakuna kulazimishina kwenye dini, kama inavyosema Qur'an.

Kuna kuelimishana. Uislam ni mfumo wa maisha mema kwa kila Mwanaadam. Tusiufanye kuwa ni ibada "cult" fulani hivi.
 
Nimeipenda sana hii safari ya wasio Waislam wakielezea na wakionesha wepesi wa safari yao kutokea jiji la Jeddah kuelekea Madinah.



Na chini hapa wazungu wengine , watu wazima kidogo, wakishangaa zaidi na walichokutana nancho Madinah:



Tena sasa kuna "virtual tour" ya Madinah, bofya chini uta dowload app, utajionea kama vile upo mubashar (live) Madinah.


Bora tuende Lupaso, itakuwa na faida na umuhimu kuliko huko madina
 
Well kila mtu ana muono wake. Yeye anasema hakuna kulazimishina kwenye dini, kama inavyosema Qur'an.

Kuna kuelimishana. Uislam ni mfumo wa maisha mema kwa kila Mwanaadam. Tusiufanye kuwa ni ibada "cult" fulani hivi.
Well kila mtu ana muono wake. Yeye anasema hakuna kulazimishina kwenye dini, kama inavyosema Qur'an.

Kuna kuelimishana. Uislam ni mfumo wa maisha mema kwa kila Mwanaadam. Tusiufanye kuwa ni ibada "cult" fulani hivi.
Sawa .
 
Well kila mtu ana muono wake. Yeye anasema hakuna kulazimishina kwenye dini, kama inavyosema Qur'an.

Kuna kuelimishana. Uislam ni mfumo wa maisha mema kwa kila Mwanaadam. Tusiufanye kuwa ni ibada "cult" fulani hivi.
Baadhi ya watu hawaelewi. Watu wenye uelewa kama wako ni wachache sana. Wengi ni mashindano kama vyama vya siasa
 
Kila mwaka kuna tamasha kubwa la Muziki huwa linafanyika Meccah ambapo wasanii na mashabiki kutoka sehemu mbalimbali duniani huwa wanakutana.
 
Ni kweli wamemruhusu Cristiano ila kipindi anaishi kule hakuna tabia za ajabu amezifanya tofauti akiwa Uingereza, kwnye hotel anavaa suruali na sio kaptura. Waarabu washamseti atakavoishi.

Kuhusu mashoga, sheria zipo, wakionyesha hadharani wanashtakiwa, sijaona yeyote aliyeonyesha hadharani kule Saudia, hawana masihara na mtu.
Yale yale KULA kitimoto ila usinywe mchuzi.

Mambo huanza kubadilika taratibu
 
Waislamu wanamuombea mabaya kila siku MBS eti anainajis ardhi takatifu. Na kanisa la kwanza tena la kilokole liko mbioni kujengwa Saudi Arabia. Kuna vizee vya kiislam Saudia vinamaindi kichiz hata huu mji wa kipekee wa Neom. MBS kawachinja sana kuwatuliza.

Ila kwa Mecca na Medina wasingewaachia wasio Waislamu kutembelea. Lazima sheria na misingi ya wengine kuheshimuwa.

God bless MBS and Saudi Royal Family.
Siyo kweli. Kwanza umezusha ni "mlevi na mla "nguruwe", umeona watu wote wamekupuuza, sasa umekuja na uongo mwingine.

Madinah na Makkah historia na zao tofauti. madinah ina sababu zake kwanini wasio Waislam walifungiwa kwenda na Makkah ina hiztoria yake kwanini wasio Waisla hawatakiwi kwenda.

Ukipenda kuzijuwa aidha jifunze ku search mtandaoni kwenye "sources" za kuaminika au uliza hapa hapa tutakupa darsa.

Uislam ni mwema sana.

Tembelea kidogo Madinah kutokea hapo hapo ulipo:

 
Kila mwaka kuna tamasha kubwa la Muziki huwa linafanyika Meecah ambapo wasanii na mashabiki kutoka sehemu mbalimbali duniani huwa wanakutana.
Sielewi hiyo "meecah" ndiyo mji au nchi au ni kitongoji kipi. Siwezi kupinga nisiyoyajuwa, dunia ni kubwa.

Hiyo "meecah" yako inahusiana nini na Madinah inayoelezewa kwenye uzi huu?

Kwanini usiifungulie uzi wake ukatujuza zaidi?
 
ukoo wa saudi wanapoteza mila na tamaduni za uislam.ila sishangai ndo dalili zenyewe hz.ule mwisho hauwez kuja bila haya kutokea.
Wamepoteza mila gani za Uislam? Acha mihemko ndugu. Ukoo wa Saud wamejitahidi mno katika kuutumikia Uislam. Allah azidi kuwabariki na awasamehe makosa yao.
 
Hahaha. Umelishwa ujinga wa miaka mingi mpaka umeshiba ujinga.

Hata Mandela aliitwa na alifungwa kifungo cha maisha kwa ugaidi na hao hao wanaokuaminisha kuwa Waislam ni magaidi.

Cha kushangaza, Wewe wanakwambia Waislam magaidi. Wao wanawakaribisha magaidi kwao na wanakwenda kwa "magaidi" kama unavyojionea.

Jiulize kwanini wanakudanganya?

Hapo sasa.
Gaidiii
 
unazidi kupungua misimamo mikali kuanzia huko ulikoanzia. We mbantu uliyeletewa huna cha kujivunia sanasana utafuata misimamamo ya huko madinah
Uislam ndio unashamiri hivyo. Hakuna wa kuizuia Nuru ya Uislam. Mimi Mbantu namshukuru Allah kwa neema ya Uislam na ninamuomba Allah akuongoze katika Nuru ya Uislam LOTH HEMA. Ameen.
 
eti muhammad alikuja kwa ajili yao.NENDA KASOME SURAT NNAS.alafu urudi hapa.huyo sio yesu aliyetumwa kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya yakubu.
YESU KRISTO alikufa kwaajili ya wote, ndio maana injili ni kwa wote waaminio

Muhammad alikuja kwaajili ya Waarabu, na Quran inasema alikuja na kuzungumza lugha moja tu ya kiarabu "kwaajili ya watu wake"

Acha Ubishi mfuasi wa Mwamedi
images%20(1).jpg
images.jpg
 
Hivi uongo huwa unawasaidia nini?

Dini yako ndiyo imekufundisha kusema uongo? Au ni shetani wewe?

Hiyo sura ya kula kiti moto na kulewa mipombe? Hana njaa hiyo kama wewe, wewe kinachokulisha nguruwe ni njaa tu, hakuna zaidi.

Huna haya wala hujuwi vibaya, mwana mtoka pabaya.
Yule wa UAE kule Loliondo huwa anaenda na watoto wabichi wa Kiarabu kwenda kula nao maisha pale Loliondo, Pombe kwa wikngi sana na totozi za nchi yake, huwa kule haendi na Mke wake0
 
Yule wa UAE kule Loliondo huwa anaenda na watoto wabichi wa Kiarabu kwenda kula nao maisha pale Loliondo, Pombe kwa wikngi sana na totozi za nchi yake, huwa kule haendi na Mke wake0
Watu wenye akili kubwa wanaongelea maendeleo.

Watu wenye akili za kawaida wanaongelea matukio.

Watu wenye akili mbovu wanaongelea watu.
 
Back
Top Bottom