Madudu ya Mkataba wa Bandari yazidi kuonekana. Rais alisaini kwa niaba ya Serikali ya Dubai pia

Sasa kosa liko wapi hapo? Au lugha ndio inawapiga chenga?

Hii inaonyesha kumbe nyie mnaopinga ndio mnaweweseka
 
Kwa hiyo hata wasingesaini hakuna shida Mkuu?
Inaelekea hujui hata umuhimu wa signature kisheria
 
Sijui kama unachoandika hapa hata wewe mwenyewe unayaelewa. Kwani mkataba mpaka sasa hauko ractified?
 
Kama hujaona kosa hapo basi wewe ni mpumbavu
Ndio iliobaki mtukane, mtishie kupiga watu, mlete vita, inchi isitawalike, vitisho na kila aina ya ukorofi,
Ila hoja hamna, so endeleeni kutukana na kupiga kelele sie tunaleta maendeleo
 
Hapo inaonyesha hiyo power of attorney Tanzania imesaini Kwa niaba ya Dubai.
Ila power of attorney ya UAE wao hawajasaini Kwa niaba yetu
Hiyo inaleta picha gani.
Hivi unajua maana ya kusaign au umuhimu wa signature kwenye nyaraka?
Kwa hiyo neno and ndio mmelitafsiri hivyo?
Foolish, stupid, garastyova, pumbafu kabisa
Nendeni shule, hoja hamna
 
Ndio iliobaki mtukane, mtishie kupiga watu, mlete vita, inchi isitawalike, vitisho na kila aina ya ukorofi,
Ila hoja hamna, so endeleeni kutukana na kupiga kelele sie tunaleta maendeleo
Wewe unaleta maendeleo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…