Madudu ya Mkataba wa Bandari yazidi kuonekana. Rais alisaini kwa niaba ya Serikali ya Dubai pia

Madudu ya Mkataba wa Bandari yazidi kuonekana. Rais alisaini kwa niaba ya Serikali ya Dubai pia

Sasa kosa liko wapi hapo? Au lugha ndio inawapiga chenga?

Hii inaonyesha kumbe nyie mnaopinga ndio mnaweweseka
 
Makosa yepi sasa hapo.

Iko walichofanya hao Dubai na Tanzania; kwenye ku nominate signatories kwa niaba ya nchi zao kinatofauti gani.

Moreover it doesn’t matter hizo sign hazifanyi hiyo IGA kuwa enforceable kisheria; isipokuwa process ya ratification tu.

Muda wowote hiyo treaty serikali ingeweza ikana katika kipindi ambacho bunge lilikuwa alijaridhia bado.

Mbona wakaidi nyie watu kwenye kuelewa mambo mepesi; mna complicate issues ambazo ni straight forward.

Hao wanasheria uchwara wanawapotosha sana na kuwaaribu your reasonability kwenye hili sakata.
Kwa hiyo hata wasingesaini hakuna shida Mkuu?
Inaelekea hujui hata umuhimu wa signature kisheria
 
Makosa yepi sasa hapo.

Iko walichofanya hao Dubai na Tanzania; kwenye ku nominate signatories kwa niaba ya nchi zao kinatofauti gani.

Moreover it doesn’t matter hizo sign hazifanyi hiyo IGA kuwa enforceable kisheria; isipokuwa process ya ratification tu.

Muda wowote hiyo treaty serikali ingeweza ikana katika kipindi ambacho bunge lilikuwa alijaridhia bado.

Mbona wakaidi nyie watu kwenye kuelewa mambo mepesi; mna complicate issues ambazo ni straight forward.

Hao wanasheria uchwara wanawapotosha sana na kuwaaribu your reasonability kwenye hili sakata.
Sijui kama unachoandika hapa hata wewe mwenyewe unayaelewa. Kwani mkataba mpaka sasa hauko ractified?
 
Kama hujaona kosa hapo basi wewe ni mpumbavu
Ndio iliobaki mtukane, mtishie kupiga watu, mlete vita, inchi isitawalike, vitisho na kila aina ya ukorofi,
Ila hoja hamna, so endeleeni kutukana na kupiga kelele sie tunaleta maendeleo
 
Hapo inaonyesha hiyo power of attorney Tanzania imesaini Kwa niaba ya Dubai.
Ila power of attorney ya UAE wao hawajasaini Kwa niaba yetu
Hiyo inaleta picha gani.
Hivi unajua maana ya kusaign au umuhimu wa signature kwenye nyaraka?
Kwa hiyo neno and ndio mmelitafsiri hivyo?
Foolish, stupid, garastyova, pumbafu kabisa
Nendeni shule, hoja hamna
 
Ndio iliobaki mtukane, mtishie kupiga watu, mlete vita, inchi isitawalike, vitisho na kila aina ya ukorofi,
Ila hoja hamna, so endeleeni kutukana na kupiga kelele sie tunaleta maendeleo
Wewe unaleta maendeleo?
 
Back
Top Bottom