Madudu ya Mkataba wa Bandari yazidi kuonekana. Rais alisaini kwa niaba ya Serikali ya Dubai pia

Madudu ya Mkataba wa Bandari yazidi kuonekana. Rais alisaini kwa niaba ya Serikali ya Dubai pia

Unatakiwa kusema hayo makosa, sio kuja na sweeping statements.
Uonyeshwe makosa ili iweje wakati mkataba mzima ni wa wizi? Au mlidhani kwakuwa sio kila mtu ni mjuzi wa sheria, basi mtaweza kuhadaa watu? Kama kuna jambo limeshusha credibility yako huku jukwaani ni kutetea huu wizi wa kamachomacho. Mnatumia usomi wenu uchwara kupora rasilimali za nchi, kisa mnajua mna backup ya vyombo vya dola? Safari hii wajinga wameshtuka.
 
Binafsi naona hili bunge hopeless sana toka nchini ipate uhuru. Hakujawahi tokea kuwa na bunge hopeless kama hili

Ushahidi ni huo.mkataba au wanavyoita sijui makubaliano waliopitisha wa DP World

Hakuna bunge pumbavu kama hiki toka nchi ipate uhuru hili.la kwanza
Wakati tunalia madhara ya dhalimu kupora chaguzi za nchi, mlikuwa mnachekelea kuona cdm wanakomolewa. Hamkujua madhara ya kiongozi kuchezea chaguzi za nchi madhara yake ni yapi. Sasa hivi tuna bunge la wezi wa mchana kweupe, na hawawezi kuhoji lolote la maana, kwani zaidi ya 80% wako huko bungeni bilaa ridhaa ya umma. Sasa mjue madhara ya kuwa na chama kimoja kukaa madarakani muda mrefu kwa shuruti.
 
Unatakiwa kusema hayo makosa, sio kuja na sweeping statements.
menilazimu kurudi hapa kwenye ujinga wako huu.

Wewe hadi sasa hujui huko Bungeni waliridhia kitu gani, kweli?

Hiyo nyaraka ya "Makubaliano/Mkataba" wa IGA wewe hujausoma popote tangia ianze kujadiliwa humu JF?
Hujui kabisa vipengele tata vinavyopigiwa kelele?

Sasa tueleze wewe, huko Bungeni wabunge waliridhia kitu gani?

halafu unakuja hapa na kutumia lugha mbaya, kwamba watu "wanaropoka", zinakutosha kweli huko kichwani kawko?
 
Tumeingia na agent (sio hata waziri) na agent atafanya hivo “individually” (yaani sio kama taasisi). Huku sisi tuna sahihi ya Rais kule wana agent!

Inasikitisha sana!!
Barua mbili zinaonekana tofauti kabisa.

Dubai ni mali ya mfalme, ungetegemea yeye kutajwa kila mahali kama mungu wa eneo hilo; lakini hivyo sivyo.
Sisi tunaojitangaza kuwa ni Jamhuri. Rais ni kama ndiye mmiriki wa kila kitu hadi binaadam waliomo kwenye jamhuri hiyo.

Hili ni lazima libadilike.
Matatizo yetu yote sasa hivi yanatokana na huyu mtu mmoja tunayemfanya kuwa kama mungu wetu.
 
Imetokea kwa bahati mbaya au ilikuwa imepangwa na waarabu DP World kwa ujanja wao au ni uvivu wa wanasheria wetu kusoma kilichoandikwa kwa makini, na ni nani hasa aliandaa andiko hili. —-AND—.

View attachment 2686950.
Yalirukwa maneno "THE PROTOCOL BETWEEN THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA" kati ya maneno "TANZANIA" na "AND". Kwa vile hayabadilishi ukamilifu wa alichotaka Mhe Rais, yaani kumpa madaraka ya kusaini, hakuna lililoharibika. Angekuwa amesahau jina la Mbarawa, au lake yeye Rais, hapo ingekuwa mbaya. Hata hivyo yangeingizwa tu kwa mkono na kuwa initialled na pande zote mbili. Haya hutokea sana, inawrzekana hata haya yashakuwa initialled kwenye hati zilizobadilishaniwa.
 
Huu mkataba wa kitapeli wa D P World yawezekana ni watanzania wenzetu wameamua kupitia mlango wa nyuma ili wapige pesa ndefu. Huenda ukiingia deep ukifungua nyuma ya pazia ukawakuta watanzania wamekaa wanakuangalia.

Kwa kuwa bunge haramu lililoongozwa na spika limeupitisha, basi tumshinikize jaji mkuu aunde tume kuchunguza huu mkataba. Jaji mkuu naye akishindwa basi tuingie barabarani tujaribu bahati yetu kuliomba jeshi lisaidie kuiondoa serikali iliyopo madarakani.
Unamwongelea Jaji mkuu huyu aliyezawadiwa nafasi kinyume cha sheria?
 
Yalirukwa maneno "THE PROTOCOL BETWEEN THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA" kati ya maneno "TANZANIA" na "AND". Kwa vile hayabadilishi ukamilifu wa alichotaka Mhe Rais, yaani kumpa madaraka ya kusaini, hakuna lililoharibika. Angekuwa amesahau jina la Mbarawa, au lake yeye Rais, hapo ingekuwa mbaya. Hata hivyo yangeingizwa tu kwa mkono na kuwa initialled na pande zote mbili. Haya hutokea sana, inawrzekana hata haya yashakuwa initialled kwenye hati zilizobadilishaniwa.
Yaani kama maelezo muhimu ya nusu ukurasa tu yana ukakasi ni vipi yaliyomo ndani? Makosa haya ni makubwa mno kwa rasilimali kubwa ya Taifa.

Hakuna mashaka kwamba Mwanasheria wa Serikali hakuhusishwa.
 

Shida yenu mnatabia ya kufikiria vitu vichwani kwenu halafu mnadhani that’s how the world works.

Ata mkipewa sheria husika zinazotumika kuandaa hizo treaty na article husika juu ya hoja zenu huo muda wa kusoma amna, halafu mnakadhana na mambo yenu ya uzwazwa.

Nimekutafutia link nyepesi kuelewa mantiki ya hao signatories kwenye hiyo IGA na legal implications bila ya ratification ni zero; ili treaty iwe na nguvu za kisheria lazima iwe ratified na mamlaka husika ambayo ni bunge kwa Tanzania.

Shida yenu ni kulishwa ujinga na kudhani dunia nzima inameza hizo porojo za wanasheria wenu uchwara.
Kwahiyo kwa umuhimu huo mdogo hata wewe ungeweza kusaini hiyo IGA?
Hivi msingi wa ratification unatokana na nini? Msingi muhimu si ni hao signatories? Upe msingi umuhimu wake unaostahili
 
Ukitaka kuijua Tanzania ni nchi ya hatari na yenye walafi sana, kaitafute ACACIA mahala ilipo sasa hivi.

ACACIA bila shaka ndani yake kulikuwa na migao ya ndugu zetu na Barrick aliitumia kama sehemu ya kupitishia migao ya ndugu zetu ili baadaye BARRICK apone na heshima yake isitetereke.

Huyu DP world inaonekana ni mchezo uleule, nyuma ya pazia wapo ndugu zetu na Chama chetu kimepewa ahadi ya hela ya uchaguzi 2025 ili chawa wa mama waweze kupata mafungu ya kampeni na kunenepa.
 
Huu mkataba wa kitapeli wa D P World yawezekana ni watanzania wenzetu wameamua kupitia mlango wa nyuma ili wapige pesa ndefu. Huenda ukiingia deep ukifungua nyuma ya pazia ukawakuta watanzania wamekaa wanakuangalia.

Kwa kuwa bunge haramu lililoongozwa na spika limeupitisha, basi tumshinikize jaji mkuu aunde tume kuchunguza huu mkataba. Jaji mkuu naye akishindwa basi tuingie barabarani tujaribu bahati yetu kuliomba jeshi lisaidie kuiondoa serikali iliyopo madarakani.
Kwenye kuingia Barabarani hapo mm ndo nnaapopataka...Vijana wangu nawarudisha burundi alikosema Yule fala Wa Mabasi ya Ester alafu narudi Tz kukiwashaaa.
 
Dubai sio nchi, na haina government yake. Nchi ni U.A.E ambao kimsingi ndo walitakiwa kusign kama Government na sio Dubai. Ndo mana kina Mwakabusi wana baseline za kusema iyo contract ni null and void. Ila unakuta kina Jerry Slaa wanaojiita wasomi wenye digree 7 wanautetea ndo hapo unakuja kugundua kina Jerry shule haijawasaidia
Walienda shule,ili wawe na maisha mazuri. hawakwenda shule ili waelimike!! ndio wasomi wengi walivyo. Hawana musaada ktk jamii!!
 
Walienda shule,ili wawe na maisha mazuri. hawakwenda shule ili waelimike!! ndio wasomi wengi walivyo. Hawana musaada ktk jamii!!
Hii ni sifa kubwa ya Wasomi wa Kiafrika.
Ndio maana pamoja na kujaa PHDs Waafrika Weusi bado hakuna cha maana wanachoweza kufanya.

Amini nawaambia leo hii, huko Mbeleni hata IKULU itabinafsishwa.
Huko Mbeleni.

Kama miaka 60 ya Uhuru tumeshindwa kuiendesha Bandari yenye kutiririsha Pesa kila Sekunde tutaweza nini ?

Sisi bado ni Manyani?

RIP Mchungaji Christopher Mtukila. Mtu wa Maono makubwa hadi akapotezwa.

"Waafrika weusi bado tunaugua ugonjwa mzito wa EPIDOMIA. (UNYANI)"
Nyani anawaza KULA tu.
 
Hii ni sifa kubwa ya Wasomi wa Kiafrika.
Ndio maana pamoja na kujaa PHDs Waafrika Weusi bado hakuna cha maana wanachoweza kufanya.

Amini nawaambia leo hii, huko Mbeleni hata IKULU itabinafsishwa.
Huko Mbeleni.

Kama miaka 60 ya Uhuru tumeshindwa kuiendesha Bandari yenye kutiririsha Pesa kila Sekunde tutaweza nini ?

Sisi bado ni Manyani?

RIP Mchungaji Christopher Mtukila. Mtu wa Maono makubwa hadi akapotezwa.

"Waafrika weusi bado tunaugua ugonjwa mzito wa EPIDOMIA. (UNYANI)"
Tumuombe Mungu atufungue tuliko fungwa!!
 
Ukitaka kuijua Tanzania ni nchi ya hatari na yenye walafi sana, kaitafute ACACIA mahala ilipo sasa hivi.

ACACIA bila shaka ndani yake kulikuwa na migao ya ndugu zetu na Barrick aliitumia kama sehemu ya kupitishia migao ya ndugu zetu ili baadaye BARRICK apone na heshima yake isitetereke.

Huyu DP world inaonekana ni mchezo uleule, nyuma ya pazia wapo ndugu zetu na Chama chetu kimepewa ahadi ya hela ya uchaguzi 2025 ili chawa wa mama waweze kupata mafungu ya kampeni na kunenepa.
Imekula kwao!! Mungu amewachoka!!
 
Hii ni sifa kubwa ya Wasomi wa Kiafrika.
Ndio maana pamoja na kujaa PHDs Waafrika Weusi bado hakuna cha maana wanachoweza kufanya.

Amini nawaambia leo hii, huko Mbeleni hata IKULU itabinafsishwa.
Huko Mbeleni.

Kama miaka 60 ya Uhuru tumeshindwa kuiendesha Bandari yenye kutiririsha Pesa kila Sekunde tutaweza nini ?

Sisi bado ni Manyani?

RIP Mchungaji Christopher Mtukila. Mtu wa Maono makubwa hadi akapotezwa.

"Waafrika weusi bado tunaugua ugonjwa mzito wa EPIDOMIA. (UNYANI)"
Nyani anawaza KULA tu.
Inashangaza sana, mkono wa chuma ungerekebisha na kuchagua viongozi sahihi kutoka Mawaziri, wakurugenzi, wasimamizi wote wa bandari.
 
Back
Top Bottom