Shida yenu mnatabia ya kufikiria vitu vichwani kwenu halafu mnadhani that’s how the world works.
Ata mkipewa sheria husika zinazotumika kuandaa hizo treaty na article husika juu ya hoja zenu huo muda wa kusoma amna, halafu mnakadhana na mambo yenu ya uzwazwa.
Nimekutafutia link nyepesi kuelewa mantiki ya hao signatories kwenye hiyo IGA na legal implications bila ya ratification ni zero; ili treaty iwe na nguvu za kisheria lazima iwe ratified na mamlaka husika ambayo ni bunge kwa Tanzania.
Shida yenu ni kulishwa ujinga na kudhani dunia nzima inameza hizo porojo za wanasheria wenu uchwara.