dricks
Senior Member
- Oct 13, 2017
- 186
- 109
Huwa wanatrack mteja na dereva mkuu.Uber wako smart, sio rahisi kufanya hivyoEh sasa hapa maderava wakikosa wateja sio ndio watakapo tumia chance hii, yaani wata report kua mteja kanitoroka kumbe hakua na mteja wowote, au akamtumika rafiki yake na huyo rafiki akajifanya mkorofi wakati wa malipo kumbe ni deal Yao.