Maelezo ya Wenje yamenyooka zaidi kuliko tuhuma za Lissu! Huenda Mbowe bado ni mtu sahihi zaidi kuongoza CHADEMA

Haahaa kweli na kakiri yeye ni mfanyabiashara
 
Mkuu haiondoi ukweli kuwa premise nzima ya sakata hili la udalali wa rushwa ya Abdul, kwa mujibu wa maneno ya Wenje ina rangi zote za rushwa.

Kumsaidia Tundu Lissu isiwe scapegoat, hata ingekuwa ni yeye Wenje aliyedhurika kuna mtu angemsaidia tu.

Ajitete kwa namna nyingine lakini sio kwa kuingiza madhila aliyopitia mwenzie.
 
Hiyo ni vyama vyote vya opposition, timu ya NCCR-mageuzi ilianzishwa na timu ile pendwa tupu.
Nyerere katika ubora wake.
 
K
Wewe ndo kichaa kama Rais alikutana naye na hakutoa malipo kwaiyo mwanaye asiye na cheo chochote ndo anaweza kumlipa?
 
Aiseh
 
Huo ni uzwazwa, kujipendekeza Hilo litawatesa Sana wapinzani, kulialia
 
Kwani wenje kasemaje ili tuamini kuwa kanyooka kimaelezo,pointi ni zipi hasa tudadavulie mkuu
 
Mbowe is the right person in the wrong time .


Mbowe ni amefika kiwango chake cha mwisho he has nothing to offer

Akiendelea ataharibu .
Na CCM wameliona hilo jambo ndio wanataka wapitie hapo kuwa wanapata mseleleko
 
Kukubaliwa kulipwa haki yako Kwa masharti nayo ni hongo.Huwenda alipewa masharti. Hilo nalo linahitaji D MBILI Kulielewa?
 
Kama ni rushwa anaweza kusema live??
 
Yako wapi hayo maelezo ya wenje? Yaelekea na wewe Abdul amekupitia.
 
Umeshindwa hata kuandika muhtasari wa maelezo yake, japo kwa sentensi moja au mbili? Uandishi wako mbona wa mhemko sana?

Tutajadilije hapo sasa?
Ukiona hivyo ujue amepaliwa na hela za Abdul ndiyo maana anajitekenya mwenyewe.
 
Kwamba alionana na Abdul kwenye event,siku hiyo hiyo wakafahaniana na akaanza kumuelezea suala la Lissu,inaingia akilini kweli? Yaani uonane na mtu siku hiyo hiyo uzoeane naye kwa haraka tena kwenye sherehe? Anyway tutajua mengi
 
Wenje kajikanyaga kanyaga ovyo ovyo tu hajaeleza kile kinachodaiwa

Mara Abdul alisema Lissu tayari kashalipwa mara wakaenda kwa Lissu wakachukua nyaraka

Hapo kuna kitu behind the scenes tumefichwa.
Wenje hata ukimuangalia usoni tu unajua huyu ni mtu wa dili,janja janja nyingi.
 
Kifupi Lissu alifanya counter attack
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…