LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Mbona maelezo ya wenje yanadai Abdul alisema alishalipwa? Alijuaje?Abdul hawezi kuwa anafuatilia kila siku kujua kama Lissu ameshalipwa pesa zake, Abdul ana maisha yake na ishu zake nyingine.
Sikiliza hotuba za Bashe au Makamba, utasema aisee hawa si ndio watu sasa. Kumbe ni wapiga deal tuWapiga dili wanajua sana kunyoosha maelezo
Haahaa kweli na kakiri yeye ni mfanyabiasharaSasa hayo maelezo yaliyonyooka yako wapi? Labda, hata wewe huyaamini hayo maelezo yake. Wenje ni ZZK tu, hawezi kuacha fursa yoyote ya hela, namjua kwa karibu sana.
Labda nikuache na wosia wangu, ni kwamba, mtu pekee wa kumwamini katika harakati, ni wewe mwenyewe.
Ova
Mkuu haiondoi ukweli kuwa premise nzima ya sakata hili la udalali wa rushwa ya Abdul, kwa mujibu wa maneno ya Wenje ina rangi zote za rushwa.Lissu amekaa kitandani muda gani? Au unadhani Wenje alimkopesha Lissu from day one? Wenje anasema ile siku Lissu amepigwa risasi Wenje alipigiwa simu na Mbowe kuhakikisha Lissu anapelekwa Agakhan hospital lakini Wenje kwa uzoefu wake na kujuana kwake na watu wakahakikisha anapelekwa Nairobi hospital na guarantee ya kulipa aliitoa yeye Wenje
Mkuu kwa lipi? Kutamka hadharani aliyemleta Abdul nyumbani kwake? Lissu ni muwazi, kumbuka wenje ni rafiki yake lakini kamlipuaLissu ameni disappoint sana. Sijui kwa nini nimepoteza muda wangu kumwamini.
Hiyo ni vyama vyote vya opposition, timu ya NCCR-mageuzi ilianzishwa na timu ile pendwa tupu.Kuna Kitu Chadema huwa hamkielewi Kwa sababu wengi wenu ni watoto wa juzi tu
Hata hamjui nani waliasisi Chadema na Kwa sababu gani!!
Hamjui kwanini Mwita Waitara, Patrobas Katambi na Cecil Mwambe wakiletwa Chadema
Tena hamjui kwanini Shibuda na Marando 😄😄😄
Niishie hapo 🐼
Wewe ndo kichaa kama Rais alikutana naye na hakutoa malipo kwaiyo mwanaye asiye na cheo chochote ndo anaweza kumlipa?Ingekuwa hivyo basi angekuwa ameishapata maana hajaanza jana kudai malipo yake serikalini. Hata alipoonana na Mkuu wa Nchi Ulaya alimwambia kuhusu malipo yake. Si wanasema dalili ya kichaa ni kurudia kufanya kile kile siku zote na kutegemea matokeo tofauti? Ulitaka Lissu aendelee kuwaomba watu wa serikali ambao siku zote wanampiga dana dana?
Amandla...
AisehKwamba Wenje amemwona kwa mara ya kwanza shereheni, hapo hapo akaanzisha suala la madai ya Lisu na kufikia hatua ya kumpigia Lisu simu. Mtu ambaye ulikuwa humjui unakutana naye mara hiyo na kumuekeza matatizo yako. Kisha yeye anajotolea kumfuata nyumbani msaidiwa badala ya kumtaka mwomba msaada kumfuata.
Huo ni uzwazwa, kujipendekeza Hilo litawatesa Sana wapinzani, kulialiaInawezekana kabisa ukizingatia pia kuna pesa ambayo Wenje alikuwa anategemewa atalipiwa kutokea malipo ambayo Lissu angelipwa na serikali, imetokea wamekaa na mtu wa karibu kabisa wa demigod wa nchi akaona ngoja ajaribu bahati yake labda wanaweza kumtendea Lissu haki yake na yeye akaambulia shillingi alizotumbukiza kuokoa uhai wa Lissu.
Kwani wenje kasemaje ili tuamini kuwa kanyooka kimaelezo,pointi ni zipi hasa tudadavulie mkuuNimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.
Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!
Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.
Hayo ndo maajabu ya mleta mada!!simply kashatoa hukumu,na eti anataraji wengine wamuamini.Yamenyoka lkn huyaweki hapa Ili na sisi tuyasikie. Lakini pia wewe ushachagua upande tangu muda mrefu kabla hata hujasikiliza hizo tuhuma.
Na CCM wameliona hilo jambo ndio wanataka wapitie hapo kuwa wanapata mselelekoMbowe is the right person in the wrong time .
Mbowe ni amefika kiwango chake cha mwisho he has nothing to offer
Akiendelea ataharibu .
Kukubaliwa kulipwa haki yako Kwa masharti nayo ni hongo.Huwenda alipewa masharti. Hilo nalo linahitaji D MBILI Kulielewa?Nimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.
Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!
Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.
Kama ni rushwa anaweza kusema live??Wenje ameelezea hilo kwamba ni kawaida duniani kote kutumia watu maarafu au walio karibu na viongozi kushawishi kukwamua mambo yanapokwama, japo hili kweli ni tatizo la kimfumo lakini sio rushwa kama inavyoelezwa na Lissu kwa maana ya "pesa za Abdul".
Yako wapi hayo maelezo ya wenje? Yaelekea na wewe Abdul amekupitia.Nimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.
Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!
Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.
Ukiona hivyo ujue amepaliwa na hela za Abdul ndiyo maana anajitekenya mwenyewe.Umeshindwa hata kuandika muhtasari wa maelezo yake, japo kwa sentensi moja au mbili? Uandishi wako mbona wa mhemko sana?
Tutajadilije hapo sasa?
Wenye kuelewa tumeelewa kuwa Mbowe "alikuwa" lakini kwa sasa atupishe.Mtu sahihi kwa wakati usio sahihi, maana yake hakuna mtu hapo. Au siyo? Mbona umeandika kifalsafa na kiusanifu sana, mkuu?
Wenje hata ukimuangalia usoni tu unajua huyu ni mtu wa dili,janja janja nyingi.Wenje kajikanyaga kanyaga ovyo ovyo tu hajaeleza kile kinachodaiwa
Mara Abdul alisema Lissu tayari kashalipwa mara wakaenda kwa Lissu wakachukua nyaraka
Hapo kuna kitu behind the scenes tumefichwa.
Kifupi Lissu alifanya counter attackMaelezo ya Lissu kama nimemuelewa vizuri ni haya:
1. Wenje aliongozana na Abdul kwenda nyumbani. Sijui kama alikuwa tayari na appointment na Wenje au la.
2. Alipofika Wenje akamtambulisha Abdul ambae Lissu alikuwa hamjui.
3. Wenje au Abdul wakamwambia Lissu kuna zawadi yake kama atapunguza makali dhidi ya serikali.
4. Ili kuthibitisha kuwa wana nia njema wakamtajia wengine ambao wamepewa zawadi. Ingawa haijasemwa lakini katika hao waliotajwa ni lazima Boss wake Lissu alikuwemo pamoja na wengine.
5. Lissu akawafurumusha na kuwaambia kuwa haongeki.
Inaelekea pia Lissu alishtaki kwa Boss wake lakini kwa mshangao akaona hamna hatua iliyochukuliwa dhidi ya Wenje. Ndio akajua kuwa kweli kuna wakubwa nyuma ya Wenje. Kwa vile alitoa hizo shutma kwenye Kamati Kuu ya chama chake kuna wenzake ambao nao walianza kukosa imani na uongozi wa chama. Halafu, hamadi, huyo huyo Wenje mtoa rushwa anatangaza nia ya kugombea nafasi ambayo Lissu ameishika. Lissu kwa kutambua kuwa Wenje ni mtu wa Boss na kujua uwezo wa Boss wa kucheza foul akajua kuwa kibarua chake kitaota nyasi. Ndio maana akaamua kushambulia nafasi ya Boss kwa sababu alijua hilo hawatalitegemea na attack is the best form of defence. Ndio maana tumefika hapa tulipo.
Amandla...