Maelezo ya Wenje yamenyooka zaidi kuliko tuhuma za Lissu! Huenda Mbowe bado ni mtu sahihi zaidi kuongoza CHADEMA

Maelezo ya Wenje yamenyooka zaidi kuliko tuhuma za Lissu! Huenda Mbowe bado ni mtu sahihi zaidi kuongoza CHADEMA

Hahaha wewe umependa sauti tu, lakini huwezi kusema maelezo ni manyoofu bila ushahidi.

Katika tuhuma yoyote, kinacho mtakatisha mtuhumiwa ni ushahidi usioacha shaka, wewe umesikia tu maelezo ukanogewa na sauti usha fikia conclusion.

Hatuendi hivyo, tunataka ushahidi tujiridhishe na siyo maelezo mazuri.
 
Kuna Kitu Chadema huwa hamkielewi Kwa sababu wengi wenu ni watoto wa juzi tu

Hata hamjui nani waliasisi Chadema na Kwa sababu gani!!

Hamjui kwanini Mwita Waitara, Patrobas Katambi na Cecil Mwambe wakiletwa Chadema

Tena hamjui kwanini Shibuda na Marando 😄😄😄

Niishie hapo 🐼
Mfumo...
 
Nimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.

Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!

Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.

..Wenje ameshindwa kueleza alikutana na Abduli katika shughuli gani, na nani aliwatambulisha. Mpaka hapo utaona kwamba ni mjanja mjanja.

..pia kitendo cha kukaa kimya kwa muda mrefu asijitokeze tangu awali kueleza kilichojiri kinaleta ugumu kumuamini.

..Wenje anakutana na Abduli badala ya kumtaka atetee mambo ya msingi, anaanza kumdai mafao ya Lissu?
 
Si kasema Lissu alikuwa anaharisha tokea Arusha Au hukusikia?

Sasa hiyo ni tafsir yako ya Rushwa ..

Nchi hii haya mambo yanayokea mara nyingi na ni ya kawaida sana...

Suala la gaps za miez sita ndio Lissu anakuja kusema hilo unalionaje

..miezi 6 haikutosha Abduli kumpatia Lissu mafao yake, ili waweze kumblackmail?
 
Nimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.

Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!

Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.
Watz sio wajinga
 
Nimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.

Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!

Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.


Ni kweli lakini bado Lissu atasaidia ingawa inabidi awe na watu wengi wa kumsaidia
 
2. Kumbe Wenje alimkopesha Tundu Lissu kwenye pesa hizo za matibabu. Na kumbe struggle ya Wenje na wenzake (akiwemo Freeman Mbowe aliyemtuma Wenje) hadi kuamua kujiuza kwa Rais Samia Suluhu Hassan kupitia kwa mwanae Abdul. Sasa kwanini naye anasema hilo leo? Je, Tundu Lissu anajua kuwa anadaiwa na Wenje? Shilingi ngapi..?
Lissu angefariki ingekuwaje? Wenje angeidai familia ya Lissu hizo pesa.

Wakati Lissu yuko mahututi alijua kuwa anapewa mkopo?

Ulikuwa msaada au mkopo?
 
Nimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.

Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!

Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.
Lissu asubirie labda 2029. Pia dhamira yake huenda sio nzuri sana. Atoa tuhuma za jumla jumla
 
Nimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.

Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!

Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.
Lissu ameni disappoint sana. Sijui kwa nini nimepoteza muda wangu kumwamini.
 
Lissu angefariki ingekuwaje? Wenje angeidai familia ya Lissu hizo pesa.

Wakati Lissu yuko mahututi alijua kuwa anapewa mkopo?

Ulikuwa msaada au mkopo?
Lissu amekaa kitandani muda gani? Au unadhani Wenje alimkopesha Lissu from day one? Wenje anasema ile siku Lissu amepigwa risasi Wenje alipigiwa simu na Mbowe kuhakikisha Lissu anapelekwa Agakhan hospital lakini Wenje kwa uzoefu wake na kujuana kwake na watu wakahakikisha anapelekwa Nairobi hospital na guarantee ya kulipa aliitoa yeye Wenje
 
Mbowe is the right person in the wrong time .


Mbowe ni amefika kiwango chake cha mwisho he has nothing to offer

Akiendelea ataharibu .
Mkuu kwa wanaona mbali watakusoma. 🙋‍♂️✍️🎯💐🎁👍👌👊👏🤝🙏
 
Wenje ameelezea hilo kwamba ni kawaida duniani kote kutumia watu maarafu au walio karibu na viongozi kushawishi kukwamua mambo yanapokwama, japo hili kweli ni tatizo la kimfumo lakini sio rushwa kama inavyoelezwa na Lissu kwa maana ya "pesa za Abdul".
Mbona hutumii hata akili ndogo tu ktk hili mkuu, kama lissu angekua muongo ktk hizi shutuma nzito zinazokichafua chama direct, unadhani muda wote huo angekua hajachukuliwa hatua?

Mapenzi yako kwa mbowe yasikupofushe mkuu, hapo wenje anajitetea tu hakuna la ziada.
 
Mbowe ni mfanyabiashara kwenye siasa kuna maslahi yake, Mbowe akiamua kuwa serious na siasa na dhamira ya kweli binafsi naamini anaweza kuwa Rais wa nchi.

Mbowe ni genius lakini bahati ndio hiyo hayuko serious kivilee kama tunavyofikiria.

Tundu jana sifa za kuwa kiongozi, kitaaluma hasa kwenye field yake ya Sheria anawezakuwa anajua sana lakini huku kwingine analazimisha tu, uwezo wake ni mdogo sana.

Narudia tena Mbowe hayuko siasa ni biashara kwake na anajua anachokifanya, kichwani ni genius na anajua mambo mengi sana (ana exposure kubwa na he is well informed na mambo ya nchi hii) ukimfananisha na Lissu.

Binafsi ukiniambia nipange kumi Bora za watu wanaofaa kuwa maRais wa nchi hii basi Mbowe nitamuweka ila sio Lissu.
Mkuu uchambuzi wako umeegemea upande. Unamhukumuje Tundu Lissu kuwa hana sifa za uongozi wakati hajawahi kuwa mwenyekiti wa Chadema.

Unatumia kipimo gani cha kusema Mbowe ana sifa za uongozi ilhali Tundu Lissu hana wakati miaka yote ishirini ya maraisi watatu wa CCM, Mbowe hajaleta tangible impact kwenye chama chake.

Kama ndivyo, ilikuwaje Chadema chini ya Mbowe ikaona kuwa Tundu Lissu ana sifa za uongozi kiasi cha kumchagua miongoni mwa wagombea wengi ndani ya chama chake, kugombea urais kipindi ambacho Tundu Lissu alikuwa bado anaumwa na nyakati ngumu za Magufuli, ila kwenye kogombea uenyekiti sasa hivi ndio akose sifa za uongozi???

Mkuu Inakuingia akilini kweli???

Kuna mengi ya kumdisqualify Mbowe kustahili sifa ya kuwa au kuendelea kuwa mwenyekiti Chadema as compared to Tundu Lissu or any other.

Kwa kifupi tu, Miaka 11 ya uenyekiti wa Mbowe Chadema ilipiga hatua 3 mbele na miaka 9 iliyofuata Chadema imerudi nyuma hatua 7 and it is obvious.

Kwa msingi huu akiendelea itakuwaje???

Mkuu hata kama unamchukia au humtaki Tundu Lissu, at least kuwa fair kwa wote kwenye uchambuzi wako.
 
Kumtumia mtoto wa rais kwenye jambo lililopo kisheria ni hongo. Abdul alikwenda kuhonga ndo maana akakubali ata kwenda nyumbani wa lissu, Angekuwa ni kumsaidia tu angesema ukipona niletee au angetuma kijana dreva wake kwenda kuchukua hizo documents.
🙋‍♂️✍️🎯👍👌👏👊🤝🙏
 
Wenje ameelezea hilo kwamba ni kawaida duniani kote kutumia watu maarafu au walio karibu na viongozi kushawishi kukwamua mambo yanapokwama, japo hili kweli ni tatizo la kimfumo lakini sio rushwa kama inavyoelezwa na Lissu kwa maana ya "pesa za Abdul".
Hayo maneno Yana element za wapenda rushwa na kujipendekeza, wenje anamsemea mpaka Abdul, anaujua moyo wa Abdul? Wenje alichemka, aache kujipendekeza
 
Nimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.

Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!

Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.
Dogo usiwe kipofu, Abdul ana nafasi Gani katika serekali ya mama yake

Unadhani huu utetezi wenu mwepesi utafuta tuhuma za rushwa kweli?
 
Umesahau Wenje walikutana na Abdul katika shughuli/sherehe fulani, wakawa wamekaa meza moja lakini Wenje akiwa hamjui ni nani, ndipo akatambulishwa huyu ni mtoto wa Rais katika kupiga story ndipo akamuuliza kwa nini lakini Serikali ya mama yake haitaki kumlipa Lissu madai yake, Abdul akasema mbona anafahamu ameshalipwa ndipo Wenje akampigia Lissu simu baada ya sherehe amthibitishie Abdul kwamba bado hajalipwa pesa zake anazoidai Serikali ndipo wakapanga hadi huko kukutana Lissu akiwa na nyaraka za matibabu ili Abdul asaidie kufanikisha hilo jambo.
Haahaa wenje tamaa imemponza, pesa za lissu Abdul anahusika vipi? Lazima kulianza na kitu kimerukwa? Wenje aache tamaa eti mtoto wa rais, then so what?
 
Kuna Kitu Chadema huwa hamkielewi Kwa sababu wengi wenu ni watoto wa juzi tu

Hata hamjui nani waliasisi Chadema na Kwa sababu gani!!

Hamjui kwanini Mwita Waitara, Patrobas Katambi na Cecil Mwambe wakiletwa Chadema

Tena hamjui kwanini Shibuda na Marando 😄😄😄

Niishie hapo 🐼
Acha kujifanya mjuaji, hamna kitu pale
 
Back
Top Bottom