Umeandika hii ukiwa umetumia kichwa chako vizuri au umejiandikia tu?.Fantastic news. Au unatia tu Kamanda? Unajua eneo hilo ni kubwa lina watu milioni 4. Nearest other Airport ni Mwanza (350 kilometres) au Entebbe (429) au Lubumbashi (500). Linganisha na kwa Mbowe kuna international airports 3 ( KIA 45 kms, Embakasi 187, na Arusha 62), kwa watu milioni 2.5 tu. Which is better?
Idadi ya watu haina uhusiano wowote na uwezo wao wa kupanda ndege.Fantastic news. Au unatia tu Kamanda? Unajua eneo hilo ni kubwa lina watu milioni 4. Nearest other Airport ni Mwanza (350 kilometres) au Entebbe (429) au Lubumbashi (500). Linganisha na kwa Mbowe kuna international airports 3 ( KIA 45 kms, Embakasi 187, na Arusha 62), kwa watu milioni 2.5 tu. Which is better?
Eti sijui nini TOWERMAMBO MENGINE KUANZIA JINA LA JENGO NI AIBU TUPU!
Hilo naona kama ni ghorofa la kawaida tu. Wanaitaje towerHIVI WAKUU HILO JINA KWENYE HILO JENGO LIKO SAWA?HILO JENGO NI TOWER KWELI?
Katika hao watu 4ml wangapi wanauwezo wa kupanda ndege?Fantastic news. Au unatia tu Kamanda? Unajua eneo hilo ni kubwa lina watu milioni 4. Nearest other Airport ni Mwanza (350 kilometres) au Entebbe (429) au Lubumbashi (500). Linganisha na kwa Mbowe kuna international airports 3 ( KIA 45 kms, Embakasi 187, na Arusha 62), kwa watu milioni 2.5 tu. Which is better?
Kuna mtu wana mu impress. Ndio tatizo kuu tulilonali. Hawangalii longtime effectAbiria wapo kweli wa kwenda huko, au ndiyo wanapekeka tu ndege kwa kua ni pesa za serikali...
Cc: mahondaw
Mfugale linatumika kwenye miradi na majengo feki. Unakumbuka Mfugale Flyover Tazara,ile ni flyover?HIVI WAKUU HILO JINA KWENYE HILO JENGO LIKO SAWA?HILO JENGO NI TOWER KWELI?
Hapo nahisi itakuwa mimi na mheshimiwa.Hivi nani anaenda Chato?
Matajiri wa madini wanataka ndege bwashee!
Tuthamini vya kwetu nduguMfugale linatumika kwenye miradi na majengo feki. Unakumbuka Mfugale Flyover Tazara,ile ni flyover?
Mheshimiwa akistaafu atakaa Chato hivyo wanafanya maamuzi ila kumfurahisha wasije kuwa wanajipu lililo iva.Sijui chato inasifika kwa kitu gani! Kwa sababu kama ni madini tunasikia hasa Geita na kama ni Biashara zingine kama za nguo tunasikia Katoro na kama ni rais anakaa Dodoma au Dar- Kuna mtu anaweza kunisaidia?
Labda hilo jengo ni underground hahaahHIVI WAKUU HILO JINA KWENYE HILO JENGO LIKO SAWA?HILO JENGO NI TOWEL
Waza kibiashara zaidi.Stop misleading, Mwanza's passengers don't just come out of Pansiansi, nor of Dar es Salaam, so do Chato!" Mwanza passengers are from all districts of Mara, Mwanza, Simiyu, Shinyanga, Geita etc. Currently Chato will come from The Districts of Geita Province, Shinyanga, Kagera. It is neighbouring major Mines Geita Gold Mine, Kahama, Biharamuro, Ngara etc. Chato is not a village headquartered in the District. Why are the ATCs going to Kigoma, Katavi, Songea etc., Why not Chato?!
Tiketi za Chato wanakatia wapi.
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa kuhusiana na ruti mpya ya ndege za ATCL, kwamba baada ya ukaguzi wa Uwanja huo na kuonekana uko sawa ndege hizo zitaanza kupeleka abiria na kuwachukua kutokea Chato.
Hayo yamebainishwa na ofisa wa shirika hilo Mh Kavishe.