King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Wananchi including na mimi hatuna pesa.........Mkuu kama upo kwenye channel ambayo unapata pesa mshukuru mungu ,sisi tupo mtaani tunaona hali halisi,hali mbaya ,kitaa kuna njaa,kitaa pesa hakuna tunalia njaa kali......Ukiweza kufanya analysis utaona transactions za mizinga kwenye x-pesa imeongezeka.King Kong III wananchi hawana hela au wewe ndio hauna hela?
Next time usipende kuwaongelea watu wengine mzee sema wewe huna ila sio hatunapesa lakini pia nimegundua why unawachukia matajiriWananchi including na mimi hatuna pesa.........Mkuu kama upo kwenye channel ambayo unapata pesa mshukuru mungu ,sisi tupo mtaani tunaona hali halisi,hali mbaya ,kitaa kuna njaa,kitaa pesa hakuna tunalia njaa kali......Ukiweza kufanya analysis utaona transactions za mizinga kwenye x-pesa imeongezeka.
Kwakuwa historia inaonyesha hakujawahi kuwa na chama kingine tawala tangu tupate uhuru ndiyo maana mawazo mgando km haya yanajitokeza.Kuna mambo inabidi ifike hatua muwe mnaongozwa na akili badala ya mapenzi ya vyama au mihemko isiyo na faida siasa sio Kama ushabiki wa mpira siasa inagusa maisha yetu.
Kuna mambo nimeona hapa wakiaminishana eti akiingia Tundu Lissu na CHADEMA kiujumla ndio watakuwa na maisha Bora hiv Nani kakudanganya mwanasiasa yoyote atakuletea chakula,hela mfukoni?
Vijana wamejengewa matarajio makubwa hasa na CHADEMA lakini Kuna mambo ya kujiuliza
1. Je, demokrasia wanayodai CHADEMA Ni kwa manufaa ya Watanzania au kwaajili yao?
Tukija tukiangalia kwenye chama Chao demokrasia ipo? Kama haipo unaamini vipi watakupa wakiwa madarakani?
2. Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na chama kilichopo au zaidi ya chama kilichopo?
Tukiangalia kwenye chama Chao maendeleo gani wameleta kwa watanzania?
Tokea nimfuatilie Tundu Lissu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwananchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani?
Tukija kwa chama chake Cha CHADEMA chama kimekuwa kikiomba kuchangiwa na watanzania pesa pale kikiwa na shida mfano mzuri Lissu wakati amepata majeraha ya kupigwa risasi lakini pia hata kwenye mikutano yao lakini sijawahi kuona CHADEMA wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya maendeleo ya wananchi mfano mzuri sijaona wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya ujenzi wa shule au kutumia ile ya weakness ya Magu kutakataa wanabukoba kupewa chakula Cha bure baada ya mazao yao kuharibika wao CHADEMA wangeitumia kwenye uchangiwaji na wakisaidiana na wanatz kuwachangia wanabukoba lkn Hilo alikutokea Je unakiamini vipi hiki chama kikishika madaraka kitakuwa na msaada kwa wanatz?
Ngojea nishie hapa maana ninahoja nyingi Sana hayo mambo machache niliyoandika tafakarini vizuri.
Hahahaa wapi nawachukia matajiri? Domo naye ni tajiri? labda utajiri wa KIBONGO.Next time usipende kuwaongelea watu wengine mzee sema wewe huna ila sio hatunapesa lakini pia nimegundua why unawachukia matajiri
We unavyozani ukimchagua Lissu ndio atakuletea hela mfukoni?Hahahaa wapi nawachukia matajiri? Domo naye ni tajiri? labda utajiri wa KIBONGO.
Haki,Uhuru na Maendeleo ya watu.We unavyozani ukimchagua Lissu ndio atakuletea hela mfukoni?
Nakuhurumia Sana mzee baba hivyo ndio wanasiasa walivyokudanganya Kama alisema Lowassa Ni fisadi baadae akageuza gia angani akamwita msafi unaamini vip hivyo vitu vilivyoandikwa kwenye ilani atavitekeleza?Haki,Uhuru na Maendeleo ya watu.
Ndio tatizo la kutokujua sera zaidi ya ushabiki....Soma vizuri ilani ya chadema halafu kisha uje kujijibu na swali lako.
Akiingia Lissu.
-Atarejesha fao la kujitoa hivyo nitaenda kuchukua fedha zangu NSSF.
-Atapunguza makato ya Loan Board kuja 3% hivyo 12% itaongezeka kwenye mapato yangu.
-Kodi ya PAYE atoapunguza hadi kuja single digit hivyo salary itaongezeka.
-Atapunguza VAT kutoka ya sasa 18% hadi 10% hivyo bidhaa zote zitashuka bei kwa 8%
-Atarudisha utawala wa mamlaka kwa watu,watu ndio watakuwa wanaamua no more ubabe.
Vitu ni Vingi....
Pole sana,Kuna mambo inabidi ifike hatua muwe mnaongozwa na akili badala ya mapenzi ya vyama au mihemko isiyo na faida siasa sio Kama ushabiki wa mpira siasa inagusa maisha yetu.
Kuna mambo nimeona hapa wakiaminishana eti akiingia Tundu Lissu na CHADEMA kiujumla ndio watakuwa na maisha Bora hiv Nani kakudanganya mwanasiasa yoyote atakuletea chakula,hela mfukoni?
Vijana wamejengewa matarajio makubwa hasa na CHADEMA lakini Kuna mambo ya kujiuliza
1. Je, demokrasia wanayodai CHADEMA Ni kwa manufaa ya Watanzania au kwaajili yao?
Tukija tukiangalia kwenye chama Chao demokrasia ipo? Kama haipo unaamini vipi watakupa wakiwa madarakani?
2. Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na chama kilichopo au zaidi ya chama kilichopo?
Tukiangalia kwenye chama Chao maendeleo gani wameleta kwa watanzania?
Tokea nimfuatilie Tundu Lissu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwananchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani?
Tukija kwa chama chake Cha CHADEMA chama kimekuwa kikiomba kuchangiwa na watanzania pesa pale kikiwa na shida mfano mzuri Lissu wakati amepata majeraha ya kupigwa risasi lakini pia hata kwenye mikutano yao lakini sijawahi kuona CHADEMA wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya maendeleo ya wananchi mfano mzuri sijaona wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya ujenzi wa shule au kutumia ile ya weakness ya Magu kutakataa wanabukoba kupewa chakula Cha bure baada ya mazao yao kuharibika wao CHADEMA wangeitumia kwenye uchangiwaji na wakisaidiana na wanatz kuwachangia wanabukoba lkn Hilo alikutokea Je unakiamini vipi hiki chama kikishika madaraka kitakuwa na msaada kwa wanatz?
Ngojea nishie hapa maana ninahoja nyingi Sana hayo mambo machache niliyoandika tafakarini vizuri.
Kama mazuzu wanamtegemea Polepole ndio 'awafafanulie'.Haki,Uhuru na Maendeleo ya watu.
Ndio tatizo la kutokujua sera zaidi ya ushabiki....Soma vizuri ilani ya chadema halafu kisha uje kujijibu na swali lako.
Akiingia Lissu.
-Atarejesha fao la kujitoa hivyo nitaenda kuchukua fedha zangu NSSF.
-Atapunguza makato ya Loan Board kuja 3% hivyo 12% itaongezeka kwenye mapato yangu.
-Kodi ya PAYE atoapunguza hadi kuja single digit hivyo salary itaongezeka.
-Atapunguza VAT kutoka ya sasa 18% hadi 10% hivyo bidhaa zote zitashuka bei kwa 8%
-Atarudisha utawala wa mamlaka kwa watu,watu ndio watakuwa wanaamua no more ubabe.
Vitu ni Vingi....
Ndugu kapumzike, ni dhahiri kuwa umekaukiwa kabisa hoja za msingi, kama alivyo mgombea wenu.Hao chama cha Mbowe, pamoja na mapesa yote ya ruzuku ofisi ya makao makuu yao wamepanga hivi unahitaji PhD kujua pumba na ngano?.. Maisha anayoishi michepuko ya mwenyekiti, yanaweza kuwa mazuri zaidi ya kina Lissu na Mnyika. Hawa jamaa wakipata tu, tuhesabu maumivu maana wayazinywa kodi zetu zote. Hiko chama ni genge la wahuni, watanzania wameliogopa kama ukoma.
Kajisomee kwanza ndio urudiUnachoongea wewe Ni hopeness Chadema imeshindwa kuprove kwa watanzania wengi ipo tofauti na CCM hiyo tofauti ndio uitegemee wakiwa madarakani?
Hizi hapaEbu jaribu kuweka ushabiki pembeni nikuuliza CHADEMA Ina fikra mpya?
Naona unaelezea kuongoza nchi sio rahisi!!!jamani kitu muhimu mjue kuongoza nchi siyo kama unavyoongoza familia yako kunamijitu mingine imepinda usipoipeleka kikatili unashangaa inakupanda kichwani
hakuna jipya ambalo lissu anaweza kulifanya na nchi bila kulipa kodi hatpata hata y kulipa mishahara ukilegeza sana kodi umekwisha na mambo ya kufanya ki nchi ni mengi miaka mitano ni michache asitegemee anaweza kumaliza tatizo lakia mtu asiwadanganye
hakuna aliyebambikwa kesi nitajie mmoja tu mkuu nitakueleza anatatizo gani kila mwenye makosa nihaki yake jelaKubambika kesi watu nidyo uongozi?
Ujobile/UmesemaKwanza waalimu wako wakisoma huu utumbo ulioandika hapa wataficha sura zao! Kwa taarifa yako ili tuwe na uchumi imara tunahitaji kiongozi asiyeingilia bajeti zilizopitishwa kisheria na siyo kiongozi anayeweza kuamua cho chote wakati wo wote akijisikia! Tunahitaji kiongozi anyeheshimu sheria.
Magufuli ni jambazi wa katiba na sheria!
Yaani bandiko ya wanaccm kwasasa ukisoma utangulizi tu umemaliza kilichomo kwenye bandiko zima,alafu yote yanafanana.Kuna mambo inabidi ifike hatua muwe mnaongozwa na akili badala ya mapenzi ya vyama au mihemko isiyo na faida siasa sio Kama ushabiki wa mpira siasa inagusa maisha yetu.
Kuna mambo nimeona hapa wakiaminishana eti akiingia Tundu Lissu na CHADEMA kiujumla ndio watakuwa na maisha Bora hiv Nani kakudanganya mwanasiasa yoyote atakuletea chakula,hela mfukoni?
Vijana wamejengewa matarajio makubwa hasa na CHADEMA lakini Kuna mambo ya kujiuliza
1. Je, demokrasia wanayodai CHADEMA Ni kwa manufaa ya Watanzania au kwaajili yao?
Tukija tukiangalia kwenye chama Chao demokrasia ipo? Kama haipo unaamini vipi watakupa wakiwa madarakani?
2. Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na chama kilichopo au zaidi ya chama kilichopo?
Tukiangalia kwenye chama Chao maendeleo gani wameleta kwa watanzania?
Tokea nimfuatilie Tundu Lissu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwananchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani?
Tukija kwa chama chake Cha CHADEMA chama kimekuwa kikiomba kuchangiwa na watanzania pesa pale kikiwa na shida mfano mzuri Lissu wakati amepata majeraha ya kupigwa risasi lakini pia hata kwenye mikutano yao lakini sijawahi kuona CHADEMA wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya maendeleo ya wananchi mfano mzuri sijaona wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya ujenzi wa shule au kutumia ile ya weakness ya Magu kutakataa wanabukoba kupewa chakula Cha bure baada ya mazao yao kuharibika wao CHADEMA wangeitumia kwenye uchangiwaji na wakisaidiana na wanatz kuwachangia wanabukoba lkn Hilo alikutokea Je unakiamini vipi hiki chama kikishika madaraka kitakuwa na msaada kwa wanatz?
Ngojea nishie hapa maana ninahoja nyingi Sana hayo mambo machache niliyoandika tafakarini vizuri.