King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Wananchi including na mimi hatuna pesa.........Mkuu kama upo kwenye channel ambayo unapata pesa mshukuru mungu ,sisi tupo mtaani tunaona hali halisi,hali mbaya ,kitaa kuna njaa,kitaa pesa hakuna tunalia njaa kali......Ukiweza kufanya analysis utaona transactions za mizinga kwenye x-pesa imeongezeka.King Kong III wananchi hawana hela au wewe ndio hauna hela?