Uchaguzi 2020 Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na ya chama kilichopo madarakani?

Uchaguzi 2020 Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na ya chama kilichopo madarakani?

King Kong III wananchi hawana hela au wewe ndio hauna hela?
Wananchi including na mimi hatuna pesa.........Mkuu kama upo kwenye channel ambayo unapata pesa mshukuru mungu ,sisi tupo mtaani tunaona hali halisi,hali mbaya ,kitaa kuna njaa,kitaa pesa hakuna tunalia njaa kali......Ukiweza kufanya analysis utaona transactions za mizinga kwenye x-pesa imeongezeka.
 
MGAGAGIGIKOKO wewe tu! Kiwiliwili kinavuta hewa karne ya 21 but ... akili ya kikwenu, pre-historic in dimensions. Si uufiche tu?
 
Wananchi including na mimi hatuna pesa.........Mkuu kama upo kwenye channel ambayo unapata pesa mshukuru mungu ,sisi tupo mtaani tunaona hali halisi,hali mbaya ,kitaa kuna njaa,kitaa pesa hakuna tunalia njaa kali......Ukiweza kufanya analysis utaona transactions za mizinga kwenye x-pesa imeongezeka.
Next time usipende kuwaongelea watu wengine mzee sema wewe huna ila sio hatunapesa lakini pia nimegundua why unawachukia matajiri
 
Kuna mambo inabidi ifike hatua muwe mnaongozwa na akili badala ya mapenzi ya vyama au mihemko isiyo na faida siasa sio Kama ushabiki wa mpira siasa inagusa maisha yetu.

Kuna mambo nimeona hapa wakiaminishana eti akiingia Tundu Lissu na CHADEMA kiujumla ndio watakuwa na maisha Bora hiv Nani kakudanganya mwanasiasa yoyote atakuletea chakula,hela mfukoni?

Vijana wamejengewa matarajio makubwa hasa na CHADEMA lakini Kuna mambo ya kujiuliza

1. Je, demokrasia wanayodai CHADEMA Ni kwa manufaa ya Watanzania au kwaajili yao?

Tukija tukiangalia kwenye chama Chao demokrasia ipo? Kama haipo unaamini vipi watakupa wakiwa madarakani?

2. Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na chama kilichopo au zaidi ya chama kilichopo?

Tukiangalia kwenye chama Chao maendeleo gani wameleta kwa watanzania?

Tokea nimfuatilie Tundu Lissu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwananchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani?

Tukija kwa chama chake Cha CHADEMA chama kimekuwa kikiomba kuchangiwa na watanzania pesa pale kikiwa na shida mfano mzuri Lissu wakati amepata majeraha ya kupigwa risasi lakini pia hata kwenye mikutano yao lakini sijawahi kuona CHADEMA wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya maendeleo ya wananchi mfano mzuri sijaona wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya ujenzi wa shule au kutumia ile ya weakness ya Magu kutakataa wanabukoba kupewa chakula Cha bure baada ya mazao yao kuharibika wao CHADEMA wangeitumia kwenye uchangiwaji na wakisaidiana na wanatz kuwachangia wanabukoba lkn Hilo alikutokea Je unakiamini vipi hiki chama kikishika madaraka kitakuwa na msaada kwa wanatz?

Ngojea nishie hapa maana ninahoja nyingi Sana hayo mambo machache niliyoandika tafakarini vizuri.
Kwakuwa historia inaonyesha hakujawahi kuwa na chama kingine tawala tangu tupate uhuru ndiyo maana mawazo mgando km haya yanajitokeza.

Ukizoea kulamba sukari, haizuii wewe kujua kuwa kuna sukariguru na asali pia ambazo zaweza kuwa mbadala wa sukari unayolamba!
 
2. Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na chama kilichopo au zaidi ya chama kilichopo?

Tukiangalia kwenye chama Chao maendeleo gani wameleta kwa watanzania?

Tokea nimfuatilie Tundu Lissu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwananchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani
[/QUOTE]

Wakati Lissu akimsimamia Max Melo founder wa hii JF kwenye kesi zake mlizombambikia na serikali yenuyakidhalimu alikua akikisaidia Chama pale?
Puguani mkubwa wewe...hata Melo akisoma hiitaka taka uliyoiweka haps nadhani atajuta kuruhusu watu Kama nyinyi kupata access ya JF..
Huo upuuzi wako wewe andika kule kule kuhusu WCB yenu na usiulete humu!
 
Wewe piga kura chagua Serikali ya Chadema, halafu uje kutoa ushuhuda hapa, Tanzania haijawai kuongozwa na chama kingine tangu uhuru, hivyo huwezi kuwaaminisha raia kwamba Chadema hawajafanya kitu wakati hawajawai kuongoza serikali, Sasa ni wakati raia tuipe ridhaa CHADEMA iunde Serikali halafu miaka mitano baadae uje uposti hapa.
 
We unavyozani ukimchagua Lissu ndio atakuletea hela mfukoni?
Haki,Uhuru na Maendeleo ya watu.

Ndio tatizo la kutokujua sera zaidi ya ushabiki....Soma vizuri ilani ya chadema halafu kisha uje kujijibu na swali lako.

Akiingia Lissu.
-Atarejesha fao la kujitoa hivyo nitaenda kuchukua fedha zangu NSSF.
-Atapunguza makato ya Loan Board kuja 3% hivyo 12% itaongezeka kwenye mapato yangu.
-Kodi ya PAYE atoapunguza hadi kuja single digit hivyo salary itaongezeka.
-Atapunguza VAT kutoka ya sasa 18% hadi 10% hivyo bidhaa zote zitashuka bei kwa 8%
-Atarudisha utawala wa mamlaka kwa watu,watu ndio watakuwa wanaamua no more ubabe.

Vitu ni Vingi....
 
Haki,Uhuru na Maendeleo ya watu.

Ndio tatizo la kutokujua sera zaidi ya ushabiki....Soma vizuri ilani ya chadema halafu kisha uje kujijibu na swali lako.

Akiingia Lissu.
-Atarejesha fao la kujitoa hivyo nitaenda kuchukua fedha zangu NSSF.
-Atapunguza makato ya Loan Board kuja 3% hivyo 12% itaongezeka kwenye mapato yangu.
-Kodi ya PAYE atoapunguza hadi kuja single digit hivyo salary itaongezeka.
-Atapunguza VAT kutoka ya sasa 18% hadi 10% hivyo bidhaa zote zitashuka bei kwa 8%
-Atarudisha utawala wa mamlaka kwa watu,watu ndio watakuwa wanaamua no more ubabe.

Vitu ni Vingi....
Nakuhurumia Sana mzee baba hivyo ndio wanasiasa walivyokudanganya Kama alisema Lowassa Ni fisadi baadae akageuza gia angani akamwita msafi unaamini vip hivyo vitu vilivyoandikwa kwenye ilani atavitekeleza?
 
Kuna mambo inabidi ifike hatua muwe mnaongozwa na akili badala ya mapenzi ya vyama au mihemko isiyo na faida siasa sio Kama ushabiki wa mpira siasa inagusa maisha yetu.

Kuna mambo nimeona hapa wakiaminishana eti akiingia Tundu Lissu na CHADEMA kiujumla ndio watakuwa na maisha Bora hiv Nani kakudanganya mwanasiasa yoyote atakuletea chakula,hela mfukoni?

Vijana wamejengewa matarajio makubwa hasa na CHADEMA lakini Kuna mambo ya kujiuliza

1. Je, demokrasia wanayodai CHADEMA Ni kwa manufaa ya Watanzania au kwaajili yao?

Tukija tukiangalia kwenye chama Chao demokrasia ipo? Kama haipo unaamini vipi watakupa wakiwa madarakani?

2. Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na chama kilichopo au zaidi ya chama kilichopo?

Tukiangalia kwenye chama Chao maendeleo gani wameleta kwa watanzania?

Tokea nimfuatilie Tundu Lissu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwananchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani?

Tukija kwa chama chake Cha CHADEMA chama kimekuwa kikiomba kuchangiwa na watanzania pesa pale kikiwa na shida mfano mzuri Lissu wakati amepata majeraha ya kupigwa risasi lakini pia hata kwenye mikutano yao lakini sijawahi kuona CHADEMA wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya maendeleo ya wananchi mfano mzuri sijaona wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya ujenzi wa shule au kutumia ile ya weakness ya Magu kutakataa wanabukoba kupewa chakula Cha bure baada ya mazao yao kuharibika wao CHADEMA wangeitumia kwenye uchangiwaji na wakisaidiana na wanatz kuwachangia wanabukoba lkn Hilo alikutokea Je unakiamini vipi hiki chama kikishika madaraka kitakuwa na msaada kwa wanatz?

Ngojea nishie hapa maana ninahoja nyingi Sana hayo mambo machache niliyoandika tafakarini vizuri.
Pole sana,
Umeisha dumaa kiakili, yaani huoni kuwa uhuru, haki na maendeleo ya watu, ndio stahili zako?
Unyonge huu lazima ufike mwisho 28/10.
 
Haki,Uhuru na Maendeleo ya watu.

Ndio tatizo la kutokujua sera zaidi ya ushabiki....Soma vizuri ilani ya chadema halafu kisha uje kujijibu na swali lako.

Akiingia Lissu.
-Atarejesha fao la kujitoa hivyo nitaenda kuchukua fedha zangu NSSF.
-Atapunguza makato ya Loan Board kuja 3% hivyo 12% itaongezeka kwenye mapato yangu.
-Kodi ya PAYE atoapunguza hadi kuja single digit hivyo salary itaongezeka.
-Atapunguza VAT kutoka ya sasa 18% hadi 10% hivyo bidhaa zote zitashuka bei kwa 8%
-Atarudisha utawala wa mamlaka kwa watu,watu ndio watakuwa wanaamua no more ubabe.

Vitu ni Vingi....
Kama mazuzu wanamtegemea Polepole ndio 'awafafanulie'.
Mwana CCM haruhusiwi hata kuitazama ilani ya uchaguzi ya CHADEMA.
Akikutwa ni hatari hata kwa maisha yake.
Kilichobaki ni kupiga na kulinda kura ZETU ili kuwakomboa hawa waTz wenzetu waliyopotea.
Tarehe 28/10 ndio siku yetu ya ukombozi.
1603532099015.png
 
Hao chama cha Mbowe, pamoja na mapesa yote ya ruzuku ofisi ya makao makuu yao wamepanga hivi unahitaji PhD kujua pumba na ngano?.. Maisha anayoishi michepuko ya mwenyekiti, yanaweza kuwa mazuri zaidi ya kina Lissu na Mnyika. Hawa jamaa wakipata tu, tuhesabu maumivu maana wayazinywa kodi zetu zote. Hiko chama ni genge la wahuni, watanzania wameliogopa kama ukoma.
Ndugu kapumzike, ni dhahiri kuwa umekaukiwa kabisa hoja za msingi, kama alivyo mgombea wenu.
Ni aibu kubwa kwa watu wa chama kikongwe namna hii, kuendelea kuokoteza vi hoja na vioja duni kuliko hata vya watoto wa chekechea.
Wale tuliobahatika kushuhudia zama za muasisi wa chama hicho na uwezo wa kujenga na kufafanua hoja, sasa hivi ni mwendo wa kuziba nyuso zetu kwa viganja vya mikono, kwa soni.
 
jamani kitu muhimu mjue kuongoza nchi siyo kama unavyoongoza familia yako kunamijitu mingine imepinda usipoipeleka kikatili unashangaa inakupanda kichwani

hakuna jipya ambalo lissu anaweza kulifanya na nchi bila kulipa kodi hatpata hata y kulipa mishahara ukilegeza sana kodi umekwisha na mambo ya kufanya ki nchi ni mengi miaka mitano ni michache asitegemee anaweza kumaliza tatizo lakia mtu asiwadanganye
Naona unaelezea kuongoza nchi sio rahisi!!!
Je we umejuaje kua sio rahisi ni kazi ngumu? Una uzoefu na kuongoza nchi?

Au unaongelea kitu usichokijua?
 
Kwanza kabisa kabla ya kuleta hayo maendeleo Chadema watakuwa na kazi ya kuturudisha kwenye reli maana tumeshapoteza direction.
 
Kwanza waalimu wako wakisoma huu utumbo ulioandika hapa wataficha sura zao! Kwa taarifa yako ili tuwe na uchumi imara tunahitaji kiongozi asiyeingilia bajeti zilizopitishwa kisheria na siyo kiongozi anayeweza kuamua cho chote wakati wo wote akijisikia! Tunahitaji kiongozi anyeheshimu sheria.

Magufuli ni jambazi wa katiba na sheria!
Ujobile/Umesema
 
Kuna mambo inabidi ifike hatua muwe mnaongozwa na akili badala ya mapenzi ya vyama au mihemko isiyo na faida siasa sio Kama ushabiki wa mpira siasa inagusa maisha yetu.

Kuna mambo nimeona hapa wakiaminishana eti akiingia Tundu Lissu na CHADEMA kiujumla ndio watakuwa na maisha Bora hiv Nani kakudanganya mwanasiasa yoyote atakuletea chakula,hela mfukoni?

Vijana wamejengewa matarajio makubwa hasa na CHADEMA lakini Kuna mambo ya kujiuliza

1. Je, demokrasia wanayodai CHADEMA Ni kwa manufaa ya Watanzania au kwaajili yao?

Tukija tukiangalia kwenye chama Chao demokrasia ipo? Kama haipo unaamini vipi watakupa wakiwa madarakani?

2. Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na chama kilichopo au zaidi ya chama kilichopo?

Tukiangalia kwenye chama Chao maendeleo gani wameleta kwa watanzania?

Tokea nimfuatilie Tundu Lissu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwananchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani?

Tukija kwa chama chake Cha CHADEMA chama kimekuwa kikiomba kuchangiwa na watanzania pesa pale kikiwa na shida mfano mzuri Lissu wakati amepata majeraha ya kupigwa risasi lakini pia hata kwenye mikutano yao lakini sijawahi kuona CHADEMA wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya maendeleo ya wananchi mfano mzuri sijaona wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya ujenzi wa shule au kutumia ile ya weakness ya Magu kutakataa wanabukoba kupewa chakula Cha bure baada ya mazao yao kuharibika wao CHADEMA wangeitumia kwenye uchangiwaji na wakisaidiana na wanatz kuwachangia wanabukoba lkn Hilo alikutokea Je unakiamini vipi hiki chama kikishika madaraka kitakuwa na msaada kwa wanatz?

Ngojea nishie hapa maana ninahoja nyingi Sana hayo mambo machache niliyoandika tafakarini vizuri.
Yaani bandiko ya wanaccm kwasasa ukisoma utangulizi tu umemaliza kilichomo kwenye bandiko zima,alafu yote yanafanana.

Kwa rasilimali tulizokuwa nazo toka uhuru,ingalitumiwa kuwapa watu na nchi maendeleo sasa hivi tungekuwa mbali kabisa
Lakini chama hikihiki kimeongoza nchi bila mafanikio.
Watu mpk karne hii bado wanakula ugali na kachumbari tena kwa taabu na jasho jingi.

Mmechokwa,kwanini mnalazimisha kutawala watu waliowakataa?
CCM+JIWE NI TATIZO
Kwanini umlazimishe mke kuwa nawe wakati amekuchoka?
ONDOKENI,HAKUNA ANAYEWAOENDA
 
Back
Top Bottom