Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Ee
MUHAMMAD ALISEMA WAISLAMU WATAGANYIKA MADHEHEBU 73 NA WOTE 73 WATAKUWA NDANI YA JEHANAMU NA MOJA LINAKWENDA PEPONI SWALI YUPI ATAINGIA PEPONI KATI YA MADHEHEBU 73?

HII NDIYO ORODHA KAMILI YA MADHEHEBU 73 YA KIISLAMU NA MSIMAMO WA KILA MMOJA



MUHAMMAD AMEKIRI KUWA ATAKWENDA JEHANAMU NA WAISLAMU WATATUPWA JAHANAMU WOTE

Imesimuliwa na Abu Huraira;

Muhammad anasema: Waislam wakamuuliza, Nabii wa Allah tutamuona Bwana wetu? Nabii akawajibu, je mna khofu ya kuona Mwezi mzima kwenye usiku usiyo na mawingu? Wakamjibu hapana. Nabii wa Allah akasema tena, je mna khofu ya kuona Jua siku ambayo haina mawingu? Wakajibu kwa kukataa. Nabii wa Allah akasema, kwenye siku ya ufufuo watu watakusanyika makundi kwa makundi. Mtamuona Allah. Waabudu Mwezi wata ufuata Mwezi. Waabudu Jua watalifuata Jua. Na wengine watafuata miungu yao. Lakini Waislam wote watabakia nyuma pamoja na mimi. Waislam wakamuuliza Nabii wa Allah, tubakie hapa mpaka tutakapo muona Bwana wetu. Ndipo Allah atakuja na kusema mimi ni Bwana wenu. Na Wakamjibu hakika wewe ni Bwana wetu. Ndipo Allah ataweka Daraja kuelekea Jehannam na Mimi Muhammad nitakuwa wa kwanza kuingia kwenye daraja na wafuasi wangu wote watanifuata. Mimi Muhammad nitakuwa wa kwanza wa Manabii kutupwa ndani ya Jehanamu Na kisha Waislam watatupwa wote jehanamu na wataakuwa wakisema Ooo Allah tuokoe, Oooh Allah tuokoe

Sahih Bukhari 12 Juzuu Ya 001, kitabu 012, Hadithi Namba 770.

رواه أبو هريرة. يقول محمد: سأله المسلمون: يا رسول الله هل نرى ربنا؟ أجاب النبي: "هل تخشى أن ترى البدر في ليلة صافية؟" أجابوه بالنفي. قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: هل تخافون من رؤية الشمس في يوم لا يوجد فيه غيوم؟ فأجابوا بالكفر. قال رسول الله صلى الله عليه وسلم يوم القيامة يجتمع الناس في جماعات. سترى الله. عبّاد القمر سيتبعون القمر. سوف يتبع عبدة الشمس الشمس. وسيتبع آخرون آلهتهم. لكن كل المسلمين سيتركون معي. طلب المسلمون من نبي الله أن نبقى هنا حتى نرى ربنا. ثم يأتي الله ويقول أنا ربك. فقالوا: ((أنت ربنا)). ثم يقيم الله الجسر إلى الجحيم وأنا محمد سأكون أول من يدخل الجسر ويتبعني جميع أتباعي. أنا محمد سأكون أول الأنبياء الذين يلقون في جهنم ، وبعد ذلك سيُلقى كل المسلمين في جهنم وسيقولون اللهم احفظنا ، اللهم احفظنا. صحيح البخاري 12 المجلد 001 ، الكتاب 012 ، الحديث رقم 770.



ALLAH HATAWAOKOA WAISLAMU SIKU YA KIYAMA MAANA NA YEYE ATAKUWA NDANI YA JEHANAMU USHAHIDI HUU HAPA NA HATATOKA HUMO
KWA KISWAHILI

Mtume alisema watu watatupwa Jahanamu, naye Allah ataiuliza Jahanamu akisema, Je umejaa nayo Jahanamu itasema kwani kuna nyingine zaidi na ije tu (Quran 50:30)? Mpaka Allah atakapo ingiza mguu wake ndani ya Jehanamu nayo Jahanamu itasema inatosha! Inatosha Qat Qat.
حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنْ قَتَادَةَ، عَنْ أَنَسٍ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ‏.‏ حَتَّى يَضَعَ قَدَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ‏"‏‏.‏

Sahih al-Bukhari 4848 Juzuu ya 6 kiasi cha 60, Hadithi 371


MWISHO WA SOMO

YESU KRISTO NDIYE NJIA YA KWELI NA UZIMA WA MILELE NA NDIYO MAANA QUR'AN YENU IMETHIBITISHA WAKRISTO WANAPATA UZIMA WA MILELE

Yohana 14:6“Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.


Yohana 14:6“Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mim
Eeh JEHANAMU Tena🤔🤔🤔wacha niendelee kuifuata njia kweli na uzima
 
Robert Heriel umepata shida gani kuanza kudhalilisha Ukristo. Dini uliyoipokea na kukuwezesha wewe leo kutambua taranta yako ya uhandishi kupitia mifumo iliyojikita kwenye Ukristo kama shule n.k.

Tafakari sana Robert.
Kama me nimemsoma vizuri na kumwelewa hapo anadhalilisha Madhehebu mengine na si usabato anaouamini!
 
Kulinda imani yao.

Huwezi kusikia dini yao inachezewa ovyo ovyo tu halafu wakakuangalia tu. Yaani msanii muislam yupo tayari kutengenezea maudhui yake kanisani ila sio akachezee msikitini.

mavazi ya kina dada.

hapo wameupiga mwingi sana .
Hii kulinda imani yao imeleta matatizo makubwa sana sehemu nyingi duniani, hapa wamefeli pakubwa maana Alshabab, Taliban, Al Qaeda n.k wameibuka kwa kigezo hichi.
 
Anhaa nimesoma Cuba nimekuelewa vizuri kabisa hapa unauponda Ukristo wa Wakatoliki,walokole na waprotestanti Ila wasabato umewatenga pembeni.. Sheria kuu za Kikristo Ni mbili tu... hizo zingine waachie Wayahudi!
Hii ni tatizo la wasabato kuonaga Kama wakristo wengine sio wakristo...Binafsi nilikuwa Napenda kusikiliza mafundisho yao lakini nilianza kuona nyuzi za wasabato humu ni kukandia madhehebu mengine,nilisema niangalie Hope chanel yao ni kukandia tu,nisome vitabu vyao Kuna yule Ellen G.White ni kukandia tu,hasa bifu lao kuu ni Catholic,na protestants hapo ndio siku hizi wamenifanya niwaone kumbe Hawa watu sio,yaani wako radhi wautukuze uislamu na kuudunisha Ukristo hiyo yote Sababu tu ya kuchukia tu madhehebu mengine. Maana kwa akili ya kawaida huwezi kumsifu mke wa jirani yako huku ukimponda mkeo wa ndani....angalia Kama Kuna muislam hata mmoja anaweza simama kuusifia Ukristo,never never never......Kweli dhambi ya ubaguzi ni mbaya san
 
Hii kulinda imani yao imeleta matatizo makubwa sana sehemu nyingi duniani, hapa wamefeli pakubwa maana Alshabab, Taliban, Al Qaeda n.k wameibuka kwa kigezo hichi.
Hivyo vyote ni vikundi vya siasa ..
Hakuna kundi la kulinda imani hapo..
Alshabaab wanapigania Somalia..
Taliban Afghanistan..
Alqaeda Saudia Arabia na Palestine..etc
 
Uislam hauna mashindana na imani yoyote nyengine duniani hata iwe kuna kupigana bao.


Uislam unatufundisha "la ikrah fi din" hakuna kukirihishana kwenye dini.

Tunafundishwa katika Uislam tujadiliane kwa yale mema, tukiona hatuwezi kujadiliana basi tuwaambie "nyie na dini yenu nasi na dini yetu".

Cha muhimu ni kukingania (kukumbusha) Uislam kwa walimwengu wote kila inapowezekana.

Kwa kuwa Uislam ni dini kwa ajili ya walimwengu wote. Kwa tulio tayari Waislam ni jukumu letu tena. La muhimu sana kuulingania Uislam wakati wote ns kwa wote, bila kubaguwa, yeyote awe asiwe Muislam. Kulingania Uislam kuna maana pana sana na kunaanzia katika yote tunayiyaishi katika maisha yetu ya kima siku. kufanya na kuhimizana yaliyo nema na kuwacha yote yaliyokatazwa, kwa utulivu na amani, bila kuficha chochote katika nafundisho ya Uislam na bila kukataa kuulizwa ns kujibu chochote chenye manufaa. Ukiona unaulizwa kwa ajili ya mtu akuchokoze au akukejeli tu, basi una haki ya kunwambia "Sijuwi" kwa amani kabisa, kuliko kuanza malumbano yasiyo na tija.

Nakaribisha maswali yoyote yanayohusu na yasiyohusu Uislam, lakini yawe moja moja, usiniulize rundobla maswwali, sito kujibu.


Nimefunguwa uzi miaka mingi sasa kwa yote ataependa kuuliza chochote anakaribishwa👇🏾

 
Hii imeleta shida kubwa sana, ndio chanzo cha itikadi kali na kuibuka kwa Alshabab, Al Qaeda, Boko Haram n.k. Reforms ni muhimu katika dini.
Sehemu moja kubwa Waislamu walipopiga bao ni kutoruhusu kitabu chao kihaririwe ama kiboreshwe. Hii inamaanisha maelekezo na miongozo yao ipo constant enzi na enzi.

Upande mwingine sasa kile kitendo cha kusema wanaboresha kitabu chao hapo ndipo hasa matatizo yalipoanzia. Imekuwa ni kama kuna dini nyingine nyingi ndani ya dini moja.

Leo hii muislam akiangukia popote pale duniani anaweza kufanya ibada yake bila kuhitaji muongozo lakini Mkristo lazima aulize kwanza dhehebu, mrengo, mmiliki n.k.

Ukichunguza hasa mafundisho mengi yaliyopo katika uislam kuhusu mfumo wa maisha ni yale yale ambayo yalikuwa katika biblia kabla kuanza kuhaririwa na 'kuboreshwa'.
 
Kwenye Mazishi na Mahari tu

Tembea Mbagala kule asilimia 95 Waislamu ila Uchafu ndo usiseme.
Nenda Temeke, Mwananyamala wote ni hao hao uchafu wanaongoza
Dar kuna mtaa au Eneo ambalo Wakristo ni wengi kuliko waislamu? Wapi? Au Dar ipi hiyo?
 
Hivyo vyote ni vikundi vya siasa ..
Hakuna kundi la kulinda imani hapo..
Alshabaab wanapigania Somalia..
Taliban Afghanistan..
Alqaeda Saudia Arabia na Palestine..etc
Kuna mashambulizi ya Charlie Hebdo, Saman Rushdie, London bombings 2005, Madrid bombings 2004 n.k
Reforms ni muhimu katika dini.
 
binafsi hata migahawa ya kawaida, huwa nashangaa mtu ananawa mikono, ananawa uso na kusukutua limdomo palepale. ila la kuweka maji ya kuchambia bila sabuni ya kunawa mikono baada ya kushika nnya, ni ajabu. nimeishi mitaa ya aina hiyo na tamaduni zangu pia naishi hizo, chooni mimi sichambi, natawadha, ila lazima baada ya hapo ninawe na sabuni mikono kwasabasababu nitaenda kusalimiana na watu huko nje.
Kuna shida mahala..
 
Mmh hujaelewa ndugu. Nilikuwa nafafanua chanzo cha hizi Sheria au Sharia ni Musa au Nabii Musa.
Uislam umekuja baada ya ukristo miaka 600 baadaye. Ukristo ulikuja baada ya uyahudi miaka elfu kadhaa baadaye. Ila kumbuka Dini zote ni Abrahamic. Chimbuko ni Ibrahim.

Sote ni Watoto wa Baba mmoja. Tuendelee kuishi kwa upendo tukishirikiana na kusaidiana. Ndio maana nikasema kila mmoja ana zuri la kujifunza kwa mwenzake.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mtune Muhammad ndiyo kaja baada ya Ukristo, akashushiwa Qur'an.


Mtume Muhammad ni mtume aliyetumwa kwa ajili ya waliwengu wote na Qur'an ni kitabu cha walimwengu wote.
 
Mmh hujaelewa ndugu. Nilikuwa nafafanua chanzo cha hizi Sheria au Sharia ni Musa au Nabii Musa.
Uislam umekuja baada ya ukristo miaka 600 baadaye. Ukristo ulikuja baada ya uyahudi miaka elfu kadhaa baadaye. Ila kumbuka Dini zote ni Abrahamic. Chimbuko ni Ibrahim.

Sote ni Watoto wa Baba mmoja. Tuendelee kuishi kwa upendo tukishirikiana na kusaidiana. Ndio maana nikasema kila mmoja ana zuri la kujifunza kwa mwenzake.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mtune Muhammad ndiyo kaja baada ya Ukristo, akashushiwa Qur'an.


Mtume Muhammad ni mtume aliyetumwa kwa ajili ya waliwengu wote na Qur'an ni kitabu cha walimwengu wote.
 
ongea mambo yooote lakini sio kwenye usafi. nenda maeneo mengi ya waislam, anzia tu hapo dsm, vyooni kwao utakuta maji ya kutawaza, ila hakuna sabuni ya kunawa mikono baada ya kushika nnya. that means, wengi huondoka chooni hawajanawa mikono kwa sabuni ndio maana maeneo hayo mengi yanaongoza kwa magonjwa ya tumbo. pia, kwa wale ambao walishawahi kudate na wavaa ushungi, hakuna watu wananuka vikwapa kama wale. kitu pekee wanachofanya ni kutia udi na mapafyumu kibao. halafu, kwani si tunaishi wote mtaani huku, wanawake wenu wanagongwa na dini zote, nakushauri useme tu kwamba wanawake wote ni sawa tu, wapo wachafu na wapo wasafu kwa dini zote.

kwenye mgawanyo wa mali, mimi ni mwanasheria, hakuna dini kandamizi kwenye mgawanyo wa mali kama dini ya kiislam. kwanza, ukianza tu kwa mtoto wa kambo, harithi kwa baba. ni mtoto haram. pia mama anapata mgao mdogo sana wakati kwa wakristo anaweza kupata nusu ya mali.

kwenye mahali, wewe kama mwanaume unatakiwa kujiona kidume kwa kutoa mahali, sio kupewa tu mke kama huna uwezo.

kwenye mazishi, hapo tusidiscuss, utaaibika.

mwisho, heshima ya mwanamke, naweza kukubaliana na wewe kwa mbaaali, though heshima ya wanawake wa kiislam ni ya woga, sio ya kutoka moyoni. wanaishi kama watumwa, watumwa wa dini na watumwa wa mume. na inahitaji upunguze kidogo akili ili uwe sawa kwasababu kwa akili ya kawaida haiji kichwani mwanamke kukubali mume aoe mwanamke mwingine hadi kufikia 4. kama sio utumwa au upungufu wa akili ni nini? hawajipendei.
Nina uhakika ulichoandia hukijui au umejaza zaidi chuki za kidini kuliko uhalisia.

1. Mgawanyo wa Mali, Sheria ya Dini ya kiislam umeisoma, umeelewa mantiki ya mama kupata kiwango cha kawaida? Unajua mama akizaa na huyo baba anapata kidogo na kama hajazaa nae hupata kingi?
Unaelewa kwa nini?

2. Usafi, wapi ambako ukienda Chooni unawekewa na Sabani ya kujisafishia nchi hii? Kuna Mkoa unauzidi Mbeya kwa Ukristo Nchi hii? Kule umewahi kufika, wale wamestaarabika? Watu wa mbeya unaweza wafananisha na watu wa mkoa upi wa Pwani kwa usafi ni ustaarabu?

3. Mazishi huna unalojua na sio kwamba usubiri la kusema.

4. Mahari iko simple na ni sheria ya uislam mahari anataja Mwanamke na anakabidhiwa mwanamke mwenyewe.

Hoja zako zote umejaza chuki bila uhalisia. Utapoteza nini ukikubaliana na hoja? Kwamba utakuwa muislam au?
Acha ushamba.
 
Mtune Muhammad ndiyo kaja baada ya Ukristo, akashushiwa Qur'an.


Mtume Muhammad ni mtume aliyetumwa kwa ajili ya waliwengu wote na Qur'an ni kitabu cha walimwengu wote.
Tunathibitishaje haya madai yako??
 
Back
Top Bottom