Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

MUHAMMAD ALISEMA WAISLAMU WATAGANYIKA MADHEHEBU 73 NA WOTE 73 WATAKUWA NDANI YA JEHANAMU NA MOJA LINAKWENDA PEPONI SWALI YUPI ATAINGIA PEPONI KATI YA MADHEHEBU 73?

HII NDIYO ORODHA KAMILI YA MADHEHEBU 73 YA KIISLAMU NA MSIMAMO WA KILA MMOJA



MUHAMMAD AMEKIRI KUWA ATAKWENDA JEHANAMU NA WAISLAMU WATATUPWA JAHANAMU WOTE

Imesimuliwa na Abu Huraira;

Muhammad anasema: Waislam wakamuuliza, Nabii wa Allah tutamuona Bwana wetu? Nabii akawajibu, je mna khofu ya kuona Mwezi mzima kwenye usiku usiyo na mawingu? Wakamjibu hapana. Nabii wa Allah akasema tena, je mna khofu ya kuona Jua siku ambayo haina mawingu? Wakajibu kwa kukataa. Nabii wa Allah akasema, kwenye siku ya ufufuo watu watakusanyika makundi kwa makundi. Mtamuona Allah. Waabudu Mwezi wata ufuata Mwezi. Waabudu Jua watalifuata Jua. Na wengine watafuata miungu yao. Lakini Waislam wote watabakia nyuma pamoja na mimi. Waislam wakamuuliza Nabii wa Allah, tubakie hapa mpaka tutakapo muona Bwana wetu. Ndipo Allah atakuja na kusema mimi ni Bwana wenu. Na Wakamjibu hakika wewe ni Bwana wetu. Ndipo Allah ataweka Daraja kuelekea Jehannam na Mimi Muhammad nitakuwa wa kwanza kuingia kwenye daraja na wafuasi wangu wote watanifuata. Mimi Muhammad nitakuwa wa kwanza wa Manabii kutupwa ndani ya Jehanamu Na kisha Waislam watatupwa wote jehanamu na wataakuwa wakisema Ooo Allah tuokoe, Oooh Allah tuokoe

Sahih Bukhari 12 Juzuu Ya 001, kitabu 012, Hadithi Namba 770.

رواه أبو هريرة. يقول محمد: سأله المسلمون: يا رسول الله هل نرى ربنا؟ أجاب النبي: "هل تخشى أن ترى البدر في ليلة صافية؟" أجابوه بالنفي. قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: هل تخافون من رؤية الشمس في يوم لا يوجد فيه غيوم؟ فأجابوا بالكفر. قال رسول الله صلى الله عليه وسلم يوم القيامة يجتمع الناس في جماعات. سترى الله. عبّاد القمر سيتبعون القمر. سوف يتبع عبدة الشمس الشمس. وسيتبع آخرون آلهتهم. لكن كل المسلمين سيتركون معي. طلب المسلمون من نبي الله أن نبقى هنا حتى نرى ربنا. ثم يأتي الله ويقول أنا ربك. فقالوا: ((أنت ربنا)). ثم يقيم الله الجسر إلى الجحيم وأنا محمد سأكون أول من يدخل الجسر ويتبعني جميع أتباعي. أنا محمد سأكون أول الأنبياء الذين يلقون في جهنم ، وبعد ذلك سيُلقى كل المسلمين في جهنم وسيقولون اللهم احفظنا ، اللهم احفظنا. صحيح البخاري 12 المجلد 001 ، الكتاب 012 ، الحديث رقم 770.



ALLAH HATAWAOKOA WAISLAMU SIKU YA KIYAMA MAANA NA YEYE ATAKUWA NDANI YA JEHANAMU USHAHIDI HUU HAPA NA HATATOKA HUMO
KWA KISWAHILI

Mtume alisema watu watatupwa Jahanamu, naye Allah ataiuliza Jahanamu akisema, Je umejaa nayo Jahanamu itasema kwani kuna nyingine zaidi na ije tu (Quran 50:30)? Mpaka Allah atakapo ingiza mguu wake ndani ya Jehanamu nayo Jahanamu itasema inatosha! Inatosha Qat Qat.
حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنْ قَتَادَةَ، عَنْ أَنَسٍ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ‏.‏ حَتَّى يَضَعَ قَدَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ‏"‏‏.‏

Sahih al-Bukhari 4848 Juzuu ya 6 kiasi cha 60, Hadithi 371


MWISHO WA SOMO

YESU KRISTO NDIYE NJIA YA KWELI NA UZIMA WA MILELE NA NDIYO MAANA QUR'AN YENU IMETHIBITISHA WAKRISTO WANAPATA UZIMA WA MILELE

Yohana 14:6“Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.


Yohana 14:6“Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mim
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Kama me nimemsoma vizuri na kumwelewa hapo anadhalilisha Madhehebu mengine na si usabato anaouamini!
Hawezi kutenga usabato na Ukristo,hapo kachemsha,,,unajiita mkristo huku anashindwa kuilinda Imani yake.....(nilivyokuwa Sunday school mwalimu alituambia atakuja mpinga kristo siku moja na panga atakuuliza unachagua Ukristo au unaukana,?teacher akasisitiza,ukiukana moja kwa moja motoniiii,,,,we nilisema sitaikana Imani yangu,niliogopaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣) Sasa huyu kijana anaonekana ni mwepesi Sana kwenye Imani.
 
Katika Point zote ulizoandika hapo juu ni Mambo ya Kibinadamu (Maamuzi / tamaduni za Jamii husika ) ,
Usichanganye Lifestyle ya Watu (Mtu husika ) na Biblia .
Ili tukubaliane na wewe tupe vifungu vinavyohusu (Eleza )
1. Usafi na Stara kwa Mwanamke
2. Mgawanyo wa Mali
3. Heshima ya Mwanamke kwa Mwanaume
4. Mazishi
5. Mahali


Ili tuendeleee na Tukuabaliane na Wewe , Toa Vifungu !!!!!


ANGALIZO , Usichanganye
Tamaduni (Maisha ) ya Watu na Biblia .

KALIBU , Taikoni
Hawezi kukujibu hili,maana kaandika kwa mihemuko yake binafsi,akikujibu nitag
 
Biblia inasheria za Mungu (Yahweh) na Mapokeo ya wazee(Mila na desturi za kiyahudi)
Hapa tunazungumzia Ukristo ambao haufuati Biblia Kwa 💯 Jambo ambalo linaufanya upigwe gap na uislam (licha yakuwa uislam ume-copy vitu kwenye Uyahudi).
Hili jibu ni jepesi Sana....jibu Kama ulivyoulizwa
 
Tena kwenye kuzika wenzetu hawarembi kabisa
Wakristo mtu akifa sijui itatengenezwa badget ya mamilion,watu sijui mchange blahblah kibao

Ova
Le Mutuz ulichangia ngapi?
 
Tatizo wabongo uelewa bado mdogo sana.
Wakristo hawana Muongozo wa mahari,mazishi,talaka nk.
Hivyo hapo wanafuata mila zao kulingana na jamii husika.

Sasa mtu akifuata mila zake kwanini tena unaulaumu ukristo badala ya kulaumu mila zake??
Mkristo akiamua kutozika bali kuchoma maiti kulingana na mila zake bado hakatazwi.

Kwahyo kwenye maswala ya mazishi,talaka,mahari msiufananishe uislam na ukristo...fananisheni uislam(tamaduni za waarabu) na tamaduni za kimila za kitanzania.

Mnajishughulisha sana na maswala ya kidunia ya kimwili wakati ukristo umebase kwenye maswala ya kiroho
Good
 
Mimi ni mkristo tena mkorinto(msabato) na nakubaliana na hoja yako kwa asilimia kubwa tu.

Japo dini zote ni mapokeo ya kikoloni, yaliyoelekeza watu waishi kama jamii za watu fulani, lakini sie wagalatia hawa jamaa zetu tumewafata hadi kupitiliza, sidhani kama wazungu wana complications nyingi namna hii. Mbona harusi/sherehe za wazunhu ni simple tu, mbona mazishi yao ni so private, mbona wao hawana mahari kwa asilimia kubwa tu, mbona wana ustaarabu mkubwa(mind your own business) etc.
So hapo legend umemaanisha hivi "hayo yote yanayotendeka hayana uhusiano na Imani,ni Mila na desturi walizojipangia raia"
 
Wewe ndio u prove kwa kutuonyesha thamani ya Mwanamke katika uislamu....Unataka kubisha jambo liko uchi kabisa
Surat Al-Nisaa

Enyi watu! mcheni Mola wenu ambaye amewaumba kutokana na nafsi moja, na akaumba kutokana na (nafsi) hiyo wa pili wake, na akaeneza kwa wawili hao wanaume wengi na wanawake. Na mcheni Mwenyeezi Mungu ambaye mnaomba kwaye (na kuangalia) jamaa wa karibu, hakika Mwenyeezi Mungu ni Mlinzi juu yenu.
2. Na wapeni yatima mali zao, wala msibadilishe mazuri kwa mabaya, wala msile mali yao pamoja na mali yenu, hakika hiyo ni dhulma kubwa.
3. Na kama mkiogopa kwamba hamuwezi kufanya uadilifu katika mayatima, basi oweni mnaowapenda katika wanawake, wawili wawili au watatu watatu au wanne wanne. Na mkiogopa kuwa hamuwezi kufanya uadilifu basi (oeni) mmoja au waliomilikiwa na mikono yenu, hii ni karibu zaidi na kutofanya dhulma.
4. Na wapeni wanawake mahari yao hali ya kuwa ni hadiya, lakini wakikupeni chochote kwa radhi ya nafsi katika hayo, basi kileni kiwashuke kwa raha.
5. Wala msiwape wasio na akili mali yenu ambayo Mwenyeezi Mungu amewajaalia ili kuwapelekea maisha, na walisheni katika hayo na muwavishe, na muwaambie maneno mazuri.
6. Na wajaribuni yatima mpaka wafikilie (umri wa) kuoa, basi kama mkiwaona wana akili njema, wapeni mali yao, wala msiyale kwa fujo na kwa haraka kwamba watakuwa wakubwa. Na aliyekuwa tajiri, basi ajiepushe, na atakayekuwa fakiri, basi ale kwa kadiri ya ada. Na mtakapowapa mali yao, basi muwawekee mashahidi, na Mwenyeezi Mungu anatosha kuwa ni Mwenye kuwahasibu.
7. Wanaume wana fungu katika yale waliyoyaacha wazazi na jamaa waliowakaribia, na wanawake wana fungu katika yale waliyoyaacha wazazi na jamaa walio wakaribia, ikiwakidogo au kingi, (hili ni) fungu lililofaradhiwa.
8. Na watakapohudhuria wakati wa kugawanya jamaa na yatima na masikini, basi wapeni katika hayo, na waambieni maneno mazuri.
9. Na (warithi) waogope kama wangeacha nyuma yao watoto wanyonge wangewakhofia basi wamuogope Mwenyeezi Mungu na waseme maneno ya kweli.
 
Hii imeleta shida kubwa sana, ndio chanzo cha itikadi kali na kuibuka kwa Alshabab, Al Qaeda, Boko Haram n.k. Reforms ni muhimu katika dini.
Nakushauri tumia Google kidogo, uliza tu, nani aliyeanzisha, weka jina la kikundi katika ylivyovitaja, utapata jibu.


Hakuna dini au imani inayofundisha amani kama dininys Kiislam.

Mafundisho yetu ya kwanza kabisa yanatokana na Qur'an, isome, ukiandika tu kwenye google "Qur'an swahili" , utaipata tafsiri ya Qur'an kwa Kiswahili. Tukosoe kutokana mafundisho yetu, usifikirie tu kichwani mwako au ukajazwa ujinga na wenye chuki na Uislam na wewe ukakujaa ujinga wa chuki, ukadhani ndiyo ukweli.



Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
 
So hapo legend umemaanisha hivi "hayo yote yanayotendeka hayana uhusiano na Imani,ni Mila na desturi walizojipangia raia"
Nadhani umenielewa vizuri legend. Since ukristo haujaainisha mambo mengi kiuwazi(ndoa, misiba, mahari) sisi wagalatia tumefata mila na taratibu zetu binafsi.

BTW I also love Christianity ❤️..
 
Hii ni tatizo la wasabato kuonaga Kama wakristo wengine sio wakristo...Binafsi nilikuwa Napenda kusikiliza mafundisho yao lakini nilianza kuona nyuzi za wasabato humu ni kukandia madhehebu mengine,nilisema niangalie Hope chanel yao ni kukandia tu,nisome vitabu vyao Kuna yule Ellen G.White ni kukandia tu,hasa bifu lao kuu ni Catholic,na protestants hapo ndio siku hizi wamenifanya niwaone kumbe Hawa watu sio,yaani wako radhi wautukuze uislamu na kuudunisha Ukristo hiyo yote Sababu tu ya kuchukia tu madhehebu mengine. Maana kwa akili ya kawaida huwezi kumsifu mke wa jirani yako huku ukimponda mkeo wa ndani....angalia Kama Kuna muislam hata mmoja anaweza simama kuusifia Ukristo,never never never......Kweli dhambi ya ubaguzi ni mbaya san
Mbona mimi sina chuki na madhehebu mengine J, ni vile mtu anaichukulia tu imani yake nadhani. Mafundisho mengi hasa ya vitabu wanavyoita roho ya unabii yanahitaji utulivu wa nafsi na imani thabiti ili kuyaelewa, ila binafsi yangu nachukua lililo jema toka kwa yoyote muhimu tu lisinipeleke nje ya kile ninachoamini.
Tunalihubiri neno, sio zaidi. Ukimuona mtu anazungumzia madhehebu wewe mpuuze tu.
BTW mimi sio conservative, nina maswali magumu sana ambayo huwa nikiuliza watu hata kanisani wanaishia kusema nitakufuru. Dini hazitaki tuwe critical.

Hivyo wewe endelea tu kuangalia Hope channel TZ, sikiliza mafundisho mazuri ya afya(we do well kwenye mafundsho haya), mafundisho ya familia na ndoa na injili ya Yesu Kristo. Mengine wala usiyape nafasi.
 
Back
Top Bottom