Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Wengi wa waislamu ni wanafiki sana hasa Kwa wakristo,ni wamejaa zuluma sana hawana upendo,wavivu na watapeli ,waanaamini kumdhulumu mtu wa imani nyingine kwao siyo dhambi,hawataki kuwajibika hata Kwa watoto wanaowazaa ndiyo maana hukimbilia talaka,ulozi na ugannga ugannga ndio kitu pekee wanaweza kuongoza
uisilamu unasema Dua ya mtu au maombi ya mtu aliyezulumiwa hayarudi bure hata kama siyo Muisilamu akimuomba Mungu linakupata la kukupata
 
Huo ni uongo ulio dhahili.Dini ya mitume na manabii siku Yao kuu ya ibada ni jumamosi(SABATO).Siku hiyo hakuna kufanya kazi yoyote,ni ibada tu(Kutoka 20:8-11, ISAYA 58:13,EZEKIEL 20:20,WAEBRANIA 4:9, QURAN 4:154,16:124,2:65).Yesu pia alikuwa akifuata hiyo dini(LUKA 4:16).Na waliabudu kwa namna tatu hadi nne.Kusujudu,kuanguka kifudifudi,kusimama,kupiga magoti.Zote zilikuwa zinakubalika mbele za MUNGU.Mtu hakulazimika kutumia namna moja tu.Nabii Danieli yeye alikuwa akipendelea sana kupiga magoti(DANIEL 6:10).Nyie hamna SABATO.Sasa utasema ni imani moja hiyo?Nyie mna ijumaa,ambayo hamuifanyi kama sabato.Unafunga biashara unaenda kuswali.Unamaliza unageuka kuendelea na biashara kitu ambacho ni kinyume kabisa na dini ya manabii.Manabii hawajawahi kuhalalisha,wala kula najisi iwayo yote(walawi 11 yote).Leo uislamu umeifanya najisi(ngamia) kuwa mnyama mtukufu wakati MUNGU wa manabii amekataza kabisa hata kugusa mizoga yao.Najisi haitakiwi iliwe hata katika mazingira yoyote yale,ila uislamu unaruhusu katika mazingira ya njaa.Sasa unathubutu vipi kutamba hadharani eti kina Musa Walikuwa waislamu wakati sheria za dini ya Musa zote uislamu unazipinga na kuzikanyaga!!Ili ujue dini ya Musa ni lazima uzichunguze sheria alizopewa na Mungu zifuatwe na wote wenye kujunasibu kuifuata dini aliyonayo Musa.Muhammadi ametamka tu"Musa ni muislamu".Mty yeyote anaweza kutamka tu katika kitabu chake.Hata uhindu kupitia vitabu vyao wanaweza kutamka tu.Ili tuamini ni lazima tuchunguze sheria zilizopo pande zote,zinaendana?
Labda tukufundishe vitu ambavyo huvijui, malaika wenyewe wanamsujudia Mungu, Ibrahimu aliowa mke zaidi mmoja, Musa naye aliowa, ni mtume gani anayefanana nao
 
Kuogeshea watoto kwenye masufuria ya kupikia

,kuchamba maji chooni bila kikombe anachotea mkono huohuo bila kujali wenzie watatumia tena hayo maji

Kuinamia sinia la ubwabwa na kulamba vidole vyake kisha kukung'uta Tena kwenye sinia

Kupiga mswaki hadharani na kukoroma Kama anataka kutapika,huku anaongea ongea na majirani bila kujali Ile mipovu yake.

Kusukutua na kutema mate kwenye masinki Hadi wanaandikiwa vibao "usisukutue hapa"

Kunawa michuzi kwenye bakuli.

Ndio huu usafi unazungumzia?
binafsi hata migahawa ya kawaida, huwa nashangaa mtu ananawa mikono, ananawa uso na kusukutua limdomo palepale. ila la kuweka maji ya kuchambia bila sabuni ya kunawa mikono baada ya kushika nnya, ni ajabu. nimeishi mitaa ya aina hiyo na tamaduni zangu pia naishi hizo, chooni mimi sichambi, natawadha, ila lazima baada ya hapo ninawe na sabuni mikono kwasabasababu nitaenda kusalimiana na watu huko nje.
 
Kingine kwenye dini ya uislam dini yao haichezewi,sijawahi ona wala kusikia kule kuna mitume na manabii
Ila kwenye ukristo dahh

Ova

Leo unatetea dini kwa kujifanya unaripotia watu wengine
 
Wanawake wengi wa kiislamu kiukweli ni wasafi sana wa mwili na mwanamke wa kiislamu hata awe kijijini lakini kwenye mapishi atawashinda mbali wanawake wa kikristo
 
MUHAMMAD ALISEMA WAISLAMU WATAGANYIKA MADHEHEBU 73 NA WOTE 73 WATAKUWA NDANI YA JEHANAMU NA MOJA LINAKWENDA PEPONI SWALI YUPI ATAINGIA PEPONI KATI YA MADHEHEBU 73?

HII NDIYO ORODHA KAMILI YA MADHEHEBU 73 YA KIISLAMU NA MSIMAMO WA KILA MMOJA



MUHAMMAD AMEKIRI KUWA ATAKWENDA JEHANAMU NA WAISLAMU WATATUPWA JAHANAMU WOTE

Imesimuliwa na Abu Huraira;

Muhammad anasema: Waislam wakamuuliza, Nabii wa Allah tutamuona Bwana wetu? Nabii akawajibu, je mna khofu ya kuona Mwezi mzima kwenye usiku usiyo na mawingu? Wakamjibu hapana. Nabii wa Allah akasema tena, je mna khofu ya kuona Jua siku ambayo haina mawingu? Wakajibu kwa kukataa. Nabii wa Allah akasema, kwenye siku ya ufufuo watu watakusanyika makundi kwa makundi. Mtamuona Allah. Waabudu Mwezi wata ufuata Mwezi. Waabudu Jua watalifuata Jua. Na wengine watafuata miungu yao. Lakini Waislam wote watabakia nyuma pamoja na mimi. Waislam wakamuuliza Nabii wa Allah, tubakie hapa mpaka tutakapo muona Bwana wetu. Ndipo Allah atakuja na kusema mimi ni Bwana wenu. Na Wakamjibu hakika wewe ni Bwana wetu. Ndipo Allah ataweka Daraja kuelekea Jehannam na Mimi Muhammad nitakuwa wa kwanza kuingia kwenye daraja na wafuasi wangu wote watanifuata. Mimi Muhammad nitakuwa wa kwanza wa Manabii kutupwa ndani ya Jehanamu Na kisha Waislam watatupwa wote jehanamu na wataakuwa wakisema Ooo Allah tuokoe, Oooh Allah tuokoe

Sahih Bukhari 12 Juzuu Ya 001, kitabu 012, Hadithi Namba 770.

رواه أبو هريرة. يقول محمد: سأله المسلمون: يا رسول الله هل نرى ربنا؟ أجاب النبي: "هل تخشى أن ترى البدر في ليلة صافية؟" أجابوه بالنفي. قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: هل تخافون من رؤية الشمس في يوم لا يوجد فيه غيوم؟ فأجابوا بالكفر. قال رسول الله صلى الله عليه وسلم يوم القيامة يجتمع الناس في جماعات. سترى الله. عبّاد القمر سيتبعون القمر. سوف يتبع عبدة الشمس الشمس. وسيتبع آخرون آلهتهم. لكن كل المسلمين سيتركون معي. طلب المسلمون من نبي الله أن نبقى هنا حتى نرى ربنا. ثم يأتي الله ويقول أنا ربك. فقالوا: ((أنت ربنا)). ثم يقيم الله الجسر إلى الجحيم وأنا محمد سأكون أول من يدخل الجسر ويتبعني جميع أتباعي. أنا محمد سأكون أول الأنبياء الذين يلقون في جهنم ، وبعد ذلك سيُلقى كل المسلمين في جهنم وسيقولون اللهم احفظنا ، اللهم احفظنا. صحيح البخاري 12 المجلد 001 ، الكتاب 012 ، الحديث رقم 770.



ALLAH HATAWAOKOA WAISLAMU SIKU YA KIYAMA MAANA NA YEYE ATAKUWA NDANI YA JEHANAMU USHAHIDI HUU HAPA NA HATATOKA HUMO
KWA KISWAHILI

Mtume alisema watu watatupwa Jahanamu, naye Allah ataiuliza Jahanamu akisema, Je umejaa nayo Jahanamu itasema kwani kuna nyingine zaidi na ije tu (Quran 50:30)? Mpaka Allah atakapo ingiza mguu wake ndani ya Jehanamu nayo Jahanamu itasema inatosha! Inatosha Qat Qat.
حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنْ قَتَادَةَ، عَنْ أَنَسٍ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ‏.‏ حَتَّى يَضَعَ قَدَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ‏"‏‏.‏

Sahih al-Bukhari 4848 Juzuu ya 6 kiasi cha 60, Hadithi 371


MWISHO WA SOMO

YESU KRISTO NDIYE NJIA YA KWELI NA UZIMA WA MILELE NA NDIYO MAANA QUR'AN YENU IMETHIBITISHA WAKRISTO WANAPATA UZIMA WA MILELE

Yohana 14:6“Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.


Yohana 14:6“Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mim
 
Robert Heriel umepata shida gani kuanza kudhalilisha Ukristo. Dini uliyoipokea na kukuwezesha wewe leo kutambua taranta yako ya uhandishi kupitia mifumo iliyojikita kwenye Ukristo kama shule n.k.

Tafakari sana Robert.
 
Wanawake wengi wa kiislamu kiukweli ni wasafi sana wa mwili na mwanamke wa kiislamu hata awe kijijini lakini kwenye mapishi atawashinda mbali wanawake wa kikristo
mapishi ya nini? ya pilau wakati mimi mhaya nahitaji anipikie ndizi sitaki ubwabwa? wanachojua kupika ni maandazi na chapati nazo ni kwasababu ya ramadhan, ila vingine aisee, wanaweka mafuta mengi ndio maana mnanenepeana mno.
 
Twende kazi, najua wapo mmaojitawaza kwa maji pia wapo mnaojitawaza kwa magazeti.
Ukweli usemwe tu, wanawake wa kiislamu kwenye hili la usafu wapo mbali sana, mbali ya kuitunza na kuihifadhi vyema miili yao kiusafi pia wapo mbali.
Wakristo jifunzeni, siyo mnaishia kupiga miswaki tu
Afu baada ya yote hayo huo usafi ndo unampeleka mtu Mbinguni ausio?
 
Biblia inasheria za Mungu (Yahweh) na Mapokeo ya wazee(Mila na desturi za kiyahudi)
Hapa tunazungumzia Ukristo ambao haufuati Biblia Kwa 💯 Jambo ambalo linaufanya upigwe gap na uislam (licha yakuwa uislam ume-copy vitu kwenye Uyahudi).
Anhaa nimesoma Cuba nimekuelewa vizuri kabisa hapa unauponda Ukristo wa Wakatoliki,walokole na waprotestanti Ila wasabato umewatenga pembeni.. Sheria kuu za Kikristo Ni mbili tu... hizo zingine waachie Wayahudi!
 
Mimi tofauti watu wengi walio nifanyia mabaya ni waislamu ,,kama jamii ya warangi na waanguu hapana kwa kweli,,wengi wao wana roho za kwanini sana.
 
Back
Top Bottom