Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #241
Hawezi kutenga usabato na Ukristo,hapo kachemsha,,,unajiita mkristo huku anashindwa kuilinda Imani yake.....(nilivyokuwa Sunday school mwalimu alituambia atakuja mpinga kristo siku moja na panga atakuuliza unachagua Ukristo au unaukana,?teacher akasisitiza,ukiukana moja kwa moja motoniiii,,,,we nilisema sitaikana Imani yangu,niliogopaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣) Sasa huyu kijana anaonekana ni mwepesi Sana kwenye Imani.
Imani inalindwa Kwa kutenda Mema, kupenda wengine, kuona ukweli na kuusema, kutenda HAKI Kwa wote pasipo kupendelea. Hiyo ndio Imani ya kweli.
Ukristo na uislam au vyovyote vile ni matawi katika mti mmoja ya kuhakikisha Watu wanakuwa Watu Wema, Watu Bora katika kuishi katika mapito Yao hapa Duniani.
Watibeli ni Watu wasiolimitiwa katika kutafuta ukweli na Haki. Popote penye ukweli na Haki, na Wema Sisi tunachukua mazuri tuu.
Ninapenda Sabato Kwa sheria kadhaa zilizonjema, ninapenda Ukristo Kwa sheria kadhaa zilizonjema, ninapenda uislam Kwa sheria Fulani zilizo njema, ninapenda Uafrika Kwa sheria kadhaa zilizo njema.
Ndivyo Watibeli tulivyo.
Karibu Sana Mkuu