Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Wengi wa waislamu ni wanafiki sana hasa Kwa wakristo,ni wamejaa zuluma sana hawana upendo,wavivu na watapeli ,waanaamini kumdhulumu mtu wa imani nyingine kwao siyo dhambi,hawataki kuwajibika hata Kwa watoto wanaowazaa ndiyo maana hukimbilia talaka,ulozi na ugannga ugannga ndio kitu pekee wanaweza kuongoza
Punguza makasiliko utakuja kunishukuru
 
Uzima wa milele ni kumjua Mungu wa kweli na wajumbe wake,
Swali litakuja, wajumbe wake ni kina Nani?
MTU yeyote Mwema, atakayekupa habari njema na ya Haki ujue huyo ni mjumbe wa Mungu.
Nilchoandika kipo kwenye maandiko lakini wewe umetumia mtazamo wako!
 
Mbona mimi sina chuki na madhehebu mengine J, ni vile mtu anaichukulia tu imani yake nadhani. Mafundisho mengi hasa ya vitabu wanavyoita roho ya unabii yanahitaji utulivu wa nafsi na imani thabiti ili kuyaelewa, ila binafsi yangu nachukua lililo jema toka kwa yoyote muhimu tu lisinipeleke nje ya kile ninachoamini.
Tunalihubiri neno, sio zaidi. Ukimuona mtu anazungumzia madhehebu wewe mpuuze tu.
BTW mimi sio conservative, nina maswali magumu sana ambayo huwa nikiuliza watu hata kanisani wanaishia kusema nitakufuru. Dini hazitaki tuwe critical.

Hivyo wewe endelea tu kuangalia Hope channel TZ, sikiliza mafundisho mazuri ya afya(we do well kwenye mafundsho haya), mafundisho ya familia na ndoa na injili ya Yesu Kristo. Mengine wala usiyape nafasi.
Mimi ni Anglican pure,napenda kujifunza Injili na mafundisho tofauti toka kwa wapentecoste na waadventista,na Kuna mazuri niliyojifunza lakini huwa nakwazika Sana Kwa baadhi ya wafuasi wao kujiona ni watakatifu na kudharau madhehebu mengine,kwa kweli not gud at all... Thanx anyway nimependa ushauri wako nitaufuata.
 
Heri wewe usiyefungamana popote....Mimi ni mkristo,nitaishi na kujivunia Imani niliyoichagua,na itakuwa Bora siku zote....Aisee Nina vingi vya kuipenda Imani yangu
Mhhh unatembea na janaba
 
Naunga mkono ila hapo kwenye mahali tu nna chakusema

Ni kweli mahali anataja mlengwa mwenyewe ambaye anatakiwa kuolewa ila siku hizi baadhi ya waislam wengi wanapindisha hapo kwenye mahali naomba wakemewe yaani viongozi wa dini wakemee kipengele cha mahali

Unakuta binti ametaja vizur tu kiwango/kitu anachohitaji kama mahali ila wazee nao wanaongeza wanachotaka kiufupi haipendezi- tunaghahiri sana kuoa kutokana na hali ngumu ya maisha na hawa wazee wa kiislam kuongeza cha juu , haipendezi wakemewe watatuua na kuzini maana binti zao bado wanamiminika maghetoni Kwa masela na wao wenyewe ndio wanatia ugumu
Mbona kama sijaelewa hoja yako!
"Mahali" gani unapopazungumzia mkuu!?
 
Imani inalindwa Kwa kutenda Mema, kupenda wengine, kuona ukweli na kuusema, kutenda HAKI Kwa wote pasipo kupendelea. Hiyo ndio Imani ya kweli.

Ukristo na uislam au vyovyote vile ni matawi katika mti mmoja ya kuhakikisha Watu wanakuwa Watu Wema, Watu Bora katika kuishi katika mapito Yao hapa Duniani.

Watibeli ni Watu wasiolimitiwa katika kutafuta ukweli na Haki. Popote penye ukweli na Haki, na Wema Sisi tunachukua mazuri tuu.
Ninapenda Sabato Kwa sheria kadhaa zilizonjema, ninapenda Ukristo Kwa sheria kadhaa zilizonjema, ninapenda uislam Kwa sheria Fulani zilizo njema, ninapenda Uafrika Kwa sheria kadhaa zilizo njema.

Ndivyo Watibeli tulivyo.
Karibu Sana Mkuu
Nilidhani nazungumza na Mkristo mwenzangu,kumbe nazungumza na mtibeli, Ndio maana lugha zetu hazifanani..Binafsi Nina chapa ya msalaba mwilini mpaka rohoni
mwangu, ,sitaionea aibu na nitakuwa balozi wa Kristo siku zote,nitaishi Imani,nitailinda Imani,siwezi kuruka ruka Mara hapa Mara pale no way!we endelea tu na huo utibeli wako
 
Naunga mkono ila hapo kwenye mahali tu nna chakusema

Ni kweli mahali anataja mlengwa mwenyewe ambaye anatakiwa kuolewa ila siku hizi baadhi ya waislam wengi wanapindisha hapo kwenye mahali naomba wakemewe yaani viongozi wa dini wakemee kipengele cha mahali

Unakuta binti ametaja vizur tu kiwango/kitu anachohitaji kama mahali ila wazee nao wanaongeza wanachotaka kiufupi haipendezi- tunaghahiri sana kuoa kutokana na hali ngumu ya maisha na hawa wazee wa kiislam kuongeza cha juu , haipendezi wakemewe watatuua na kuzini maana binti zao bado wanamiminika maghetoni Kwa masela na wao wenyewe ndio wanatia ugumu
Kilo moja au mbili za unga wangano tayari sherehe ya harusi .

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Surat Al-Nisaa

3. Na kama mkiogopa kwamba hamuwezi kufanya uadilifu katika mayatima, basi oweni mnaowapenda katika wanawake, wawili wawili au watatu watatu au wanne wanne.
4. Na wapeni wanawake mahari yao hali ya kuwa ni hadiya, lakini wakikupeni chochote kwa radhi ya nafsi katika hayo, basi kileni kiwashuke kwa raha.
Kwa hiyo thamani ya Mwanamke ndio imeonyeshwa hapa au Sio?
Hivi unafahamu Kama yatima ni binadamu aliye chini ya miaka 18?Sasa Mbona mnaambiwa muoe watoto wawili wawili,watatu watatu au wanne wanne?
Je nikiita huu ni unyanyasaji wa kijinsia nitakuwa nimekosea kweli?
 
Niliwahi kumsikia Shekh mmoja anasema walikuwa na kikao Cha pamoja na Mapadri, basi wakaambizana kila Dini (Waislam na Wakristo) waseme chochote kizuri kuhusu Dini nyingine.

Waislam wakasema uzuri ktk Ukristo ni wafuasi wao wanavyo watii viongozi wao, ni watiifu sana. Na Wakristo wao wakasema uzuri ktk Uislam ni wafuasi kuhudhuria Kwa pamoja swala 5 Kila siku.

Yule Shekh aliyekuwa anasema hayo akasema anatamani Waislam wangekuwa watiifu Kwa viongozi wao kama Wakristo.
Naikumbuka sana hii

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Nenda zako nyie bwana wapare wengi waislam na wasabato. Utakua msabato au muislam tu lazima unasifia ndugu zako ktk imani.
 
Bwana taikon nenda kaoe Pemba halafu tuletee mrejesho hapa.
Kwenye kuzika, kwa sababu ya haraka Kuna muda wanazika hata waliozimia TU. Kwani hujawahi kusikia mtu kazirai kwa masaa 12? Sasa wenzako ukikata moto TU, twende kazi.
Kuhusu usafi inategemea, mambo mengi, kabila, eneo, elimu na mwamko wa familia, Hali ya uchumi nk. Mrisho Mpoto aliendesha kampeni ya Nyumba ni choo kule Lindi na Mtwara wakati asilimia kubwa ni hao hao. Kuhusu mirathi, Wakristo wameelimika muda mrefu sana. Hawataki kugonganisha mamlaka. Kama Kuna jambo Serikali inaweza kulitolea majibu au ufafanuzi wanaliacha mikononi mwa serikali. Ndio maana huoni Wakristo wakihangaika kama waislamu na Mahakama Yao ya kadhi. Mpagani akipewa madaraka anatumia katiba katika majukumu yake, hatumii upagani. Nashangaa wewe ni msomi wa namna Gani usiyejua Hilo? Ni nani aliyekupa utaikon? Kuhusu ndoa, Ndoa za kikristo zinavunjika, lakini hazifanani na zile za mwezi wa ramadhani. Kuhusu wanawake kuhutubia, Mzuwie mama Samia, Ummy mwalimu na akina Ashantu wasihutubie. Na kama wakiemdelea, wapeleke mahakamani. Saudia waliwazuwia wanawake, wasiwe waalimu, madereva hata kuwa madaktari, kisa watawatibu KE au ME. Lakini Sasa mambo yakoje kule? Wale wenzako hata kuongezewa damu ni Bidaa, we kalaga baho.
Shangaa hata wewe hao wote viongozi sijui hawahutubii, wakati na walinzi wao wapo wanaume., kwanza kwenye ndoa wala hata sitamani, huo usafi mmm aseme baadhi ya sehemu nenda kusini huko utajionea mabinti

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom