ongea mambo yooote lakini sio kwenye usafi. nenda maeneo mengi ya waislam, anzia tu hapo dsm, vyooni kwao utakuta maji ya kutawaza, ila hakuna sabuni ya kunawa mikono baada ya kushika nnya. that means, wengi huondoka chooni hawajanawa mikono kwa sabuni ndio maana maeneo hayo mengi yanaongoza kwa magonjwa ya tumbo. pia, kwa wale ambao walishawahi kudate na wavaa ushungi, hakuna watu wananuka vikwapa kama wale. kitu pekee wanachofanya ni kutia udi na mapafyumu kibao. halafu, kwani si tunaishi wote mtaani huku, wanawake wenu wanagongwa na dini zote, nakushauri useme tu kwamba wanawake wote ni sawa tu, wapo wachafu na wapo wasafu kwa dini zote.
kwenye mgawanyo wa mali, mimi ni mwanasheria, hakuna dini kandamizi kwenye mgawanyo wa mali kama dini ya kiislam. kwanza, ukianza tu kwa mtoto wa kambo, harithi kwa baba. ni mtoto haram. pia mama anapata mgao mdogo sana wakati kwa wakristo anaweza kupata nusu ya mali.
kwenye mahali, wewe kama mwanaume unatakiwa kujiona kidume kwa kutoa mahali, sio kupewa tu mke kama huna uwezo.
kwenye mazishi, hapo tusidiscuss, utaaibika.
mwisho, heshima ya mwanamke, naweza kukubaliana na wewe kwa mbaaali, though heshima ya wanawake wa kiislam ni ya woga, sio ya kutoka moyoni. wanaishi kama watumwa, watumwa wa dini na watumwa wa mume. na inahitaji upunguze kidogo akili ili uwe sawa kwasababu kwa akili ya kawaida haiji kichwani mwanamke kukubali mume aoe mwanamke mwingine hadi kufikia 4. kama sio utumwa au upungufu wa akili ni nini? hawajipendei.