Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Mimi ni mkristo tena mkorinto(msabato) na nakubaliana na hoja yako kwa asilimia kubwa tu.

Japo dini zote ni mapokeo ya kikoloni, yaliyoelekeza watu waishi kama jamii za watu fulani, lakini sie wagalatia hawa jamaa zetu tumewafata hadi kupitiliza, sidhani kama wazungu wana complications nyingi namna hii. Mbona harusi/sherehe za wazunhu ni simple tu, mbona mazishi yao ni so private, mbona wao hawana mahari kwa asilimia kubwa tu, mbona wana ustaarabu mkubwa(mind your own business) etc.
Sasa hapo anaewafuata wenzake ni nani?? Maana wakristo hamuwafati wazungu kwenye hizo mahari talaka mazishi nk. Mnafata mila za mababu zenu.
Waislam wanafuata mila za waarabu kwa 100%

Kwann tena usema nyie wagalatia ndo mnafuata sana wazungu? Help me understand
 
Mnyonge mnyongeni, nataka nioe kabinti ka kiislamu nasikia wako vizuri ktk malezi ya watoto
 
Sasa hapo anaewafuata wenzake ni nani?? Maana wakristo hamuwafati wazungu kwenye hizo mahari talaka mazishi nk. Mnafata mila za mababu zenu.
Waislam wanafuata mila za waarabu kwa 100%

Kwann tena usema nyie wagalatia ndo mnafuata sana wazungu? Help me understand
Soma tena uelewe hoja yangu, nimesema mbona hata kama tunawafata wazungu sisi "tumepitiliza"!
 
Tatizo mna uwezo mdogo wa kujadili mambo mnakimbilia kashfa,hayo matatizo ya akili umetumia kipimo gani kuyabainisha,....acheni kunyanyasa yatima
Yatima kwa mujibu wa Quran, ni mtu aliyefiwa na wazazi? Kwa maana hata wewe ukifiwa na wazazi utaitwa Yatima. Kuna ambaye sio mtoto Dunia hii? Wewe ni mtoto kwa wazazi wako, hivyo wakifariki wewe ni Yatima.
Afu kipimo cha utoto nani amekuambia ni chini ya Miaka 18?
Unajua kuwa utu uzima ni Kubalehe?
Mnajitoa akili kisa utandawazi wakati bibi zenu waliolewa na miaka 12 huko Vijijini.
 
labda sikukufafanulia vizuri, nilisposema mama, nilimaanisha "MKE". linganisha mgao anaopata mjane wa kiislam (1/4) na mgao anaopata mjane wa kikristo (1/2). vinalingana?
Ukristo wameeleza wapi MKE apate mali 1/2?
Uislam umeweka taratibu kwa usahihi kabisa.
Kama Mke ana watoto basi atapata 1/8 ya mali zote. Hii ni kwa sababu, bado atapata huduma kutoka kwa watoto wake ambao watarithi mali hizo.
Kama MKE hakuwa na watoto basi atapata 1/4, kisha mali zinazobakia zitagaiwa kwa Wazazi wa Marehemu 1/6 ya Mali zote zilizobaki mara baada ya kutoa 1/4 au 1/8 ya huyo mke.

Watoto watagawana kwa mfumo wa MWANAUME ATAPATA MARA 2 YA MWANAMKE.

Hii imewekwa wazi kwa Sababu, Mwanamke atakapokuwa ameolewa then akaachika basi sheria ya Dini inamtaka kurudi kwa Kaka yake, na hapo sasa kaka yake atakuwa na jukumu la kumhudumia Dada yake huyo kwa kuwa kwenye Urithi alichukua mara 2 ya Dada yake.
 
Hata wewe the way ulivyo mwanaume Kuna wanaume wenzio wanakupiga gepu katika BAADHI ya vipengele kwenye maisha.
 
Si uhamie huko wewe!jidanganye kwamba mambo ya roho ni mtu na Mungu wake,mtu ni roho.Roho ikitoweka utabaki?ndio utaelewa kwanini Mungu wa wakristo anasisitiza tulinde roho kuliko vyote tuvilindavyo maana huko ndiko zitokako chemchem za uzima.
 
Hongera kwa uchambuzi mzuri. Ila kumbuka Sheria au Sharia na Desturi nyingi zinazotumika katika Dini ya kiislam zilichukuliwa au kuendelezwa kutoka katika Dini ya Kiyahudi. Mengi unayoyaona yanafuatwa na kuzingatiwa na waislam yapo hivyo hivyo pia katika Dini ya Kiyahudi.
Na mengi ni yapo kama yalivyo kwenye Torati au Taurati ya Musa au yamenyumbulishwa kama walivyonyumbulisha waandishi wa sheria wa wakati ule na kupata sheria zaidi ya 600+++ kutokana na Torati.

Wakristo waliondokana na Sheria hizo kwa sababu nyingi zilikuwa mzigo mzito ambao walilazimishwa kuzitii watu wa chini huku waliozisimamia wakiishi kinafiki.

Ni kama Leo nchi ya Saudi Arabia ambayo inafuata Sharia Kali za kiislam na ni Suni na wananchi wanafuata.. lakini wanaozisimamia ambao ni utawala na familia ya kifalme ya Saudia wanaishi maisha ya kufuru na uchafu wa kila namna. Kila starehe Duniani unayoijua na usiyoijua wanafanya lakini kwao huko wanaonekana ni watakatifu mno maana ni descendants wa mtume.

Utaratibu na Sheria hizo ni nzuri kwa maana ya kuweka usawa kwa wote ingawa zinaweza kuleta changamoto kutokana na mazingira tofauti tofauti ya Ulimwenguni.
Zipo nchi za kiislam ambazo ukienda utashangaa hawafuati kabisa baadhi ya Sheria. Mf. Indonesia, Uturuki, Lebanon Kuna baadhi wanafuata Desturi zao badala ya sheria ya Dini.

Ila kwa ujumla ni nzuri sana Kila Dini ila jambo zuri la pekee ambalo Dini nyingine inaweza kujifunza.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kwa kukusaidia uislamu unaiamini tourati ya mussa na imetajwa ktk kuran
 
Yote uliyoandika hapa ni upuuzi na unapaswa kuzomewa na watoto!

Hivi ushawahi kusafiri nchi yeyote mbali ya tz kweli mkuu?

Nikujuze tu,huko ulaya na marekani hakuna watu wanajulikana kwa uchafu kama wasomali.Wasomali wanaaibisha wafrika jamani.

Watoto wa kisomali iwe summer iwe winter utawakuta na yale makamasi mazito yanachuruziko puani.

Mitaa wanayoishi wasomali kumejaa makohozi njia nzima na kila sehemu.Wanatema makohoz mpaka kwenye masink ya kuoshea vyombo.

Kipindi cha summer wanawake wa kisomali huwa wananuka sana.Sanaa.

Tuachane na wasomali labda ni wakristo.Tuongelee vijana wa kiarabu waishio nchi za ulaya na marekani.Hawa ndo kundi hatari kwenye jamii.Wengi wao hawapendi shule na huishia kuwa waalifu.

Unakuta likijana limetoka nchi ya vita arabun limepokelewa nchi kama Norway ila shukran yake ni kuua wanorway kwa risasi na kuharibu miundo mbinu ya nchi ya watu kwa makusudi.

Tuachane na hao,njoo huku buza kwa mtogole na Mbagara kwa kina Mwajuma ndala ndefu.Umesema waislam mnapendana eti?Hivi hizi taarabu za kuitana kinyago cha mpapure na hizi matarumbeta za kusutana mkiwa mmevaa vijora vyenu bila pichu ushawahi kuona wadada wa kikristo wakifanya huo ujinga?

Umesema wanawake wa kiislam wanastara wanajiheshimu?🤣Hivi ushawahi kuona mwanamke wa kikristo akavaa kijora bila pichu akakimwagia maji akalala chini mbele ya umati akaanza kucheza ile style ya Snura(sijui inaitwaje).

Mashoga wapo wa dini zote ila machoko wengi wana majina ya kiislam wanatokea Mombasa na Tanga kulikojaa waislamu.
 

Attachments

  • Screenshot_20230619-090042.jpg
    Screenshot_20230619-090042.jpg
    25.8 KB · Views: 6
Acha makasiriko na Wivu Mkuu
Ni kweli nawaonea wivu madada wa kiislamu wana kitu na madera yao.Watafika mbali.

Tuachane na wivu wangu.Naomba ujibu swali langu(Japo najua huna jibu la maana la kunipa).Uliwapima kwa kutumia nini?
Watu wangapi walihusika kwenye hicho kipimo chako?
Wakristo walikua wangapi na waislamu walikua wangapi?
 

Attachments

  • Screenshot_20230619-091523.jpg
    Screenshot_20230619-091523.jpg
    29.7 KB · Views: 7
  • Screenshot_20230619-091430.jpg
    Screenshot_20230619-091430.jpg
    28.6 KB · Views: 6
  • Screenshot_20230619-091337.jpg
    Screenshot_20230619-091337.jpg
    14.7 KB · Views: 6
Back
Top Bottom