Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Ee Eeh JEHANAMU Tena🤔🤔🤔wacha niendelee kuifuata njia kweli na uzima
 
Robert Heriel umepata shida gani kuanza kudhalilisha Ukristo. Dini uliyoipokea na kukuwezesha wewe leo kutambua taranta yako ya uhandishi kupitia mifumo iliyojikita kwenye Ukristo kama shule n.k.

Tafakari sana Robert.
Kama me nimemsoma vizuri na kumwelewa hapo anadhalilisha Madhehebu mengine na si usabato anaouamini!
 
Kulinda imani yao.

Huwezi kusikia dini yao inachezewa ovyo ovyo tu halafu wakakuangalia tu. Yaani msanii muislam yupo tayari kutengenezea maudhui yake kanisani ila sio akachezee msikitini.

mavazi ya kina dada.

hapo wameupiga mwingi sana .
Hii kulinda imani yao imeleta matatizo makubwa sana sehemu nyingi duniani, hapa wamefeli pakubwa maana Alshabab, Taliban, Al Qaeda n.k wameibuka kwa kigezo hichi.
 
Anhaa nimesoma Cuba nimekuelewa vizuri kabisa hapa unauponda Ukristo wa Wakatoliki,walokole na waprotestanti Ila wasabato umewatenga pembeni.. Sheria kuu za Kikristo Ni mbili tu... hizo zingine waachie Wayahudi!
Hii ni tatizo la wasabato kuonaga Kama wakristo wengine sio wakristo...Binafsi nilikuwa Napenda kusikiliza mafundisho yao lakini nilianza kuona nyuzi za wasabato humu ni kukandia madhehebu mengine,nilisema niangalie Hope chanel yao ni kukandia tu,nisome vitabu vyao Kuna yule Ellen G.White ni kukandia tu,hasa bifu lao kuu ni Catholic,na protestants hapo ndio siku hizi wamenifanya niwaone kumbe Hawa watu sio,yaani wako radhi wautukuze uislamu na kuudunisha Ukristo hiyo yote Sababu tu ya kuchukia tu madhehebu mengine. Maana kwa akili ya kawaida huwezi kumsifu mke wa jirani yako huku ukimponda mkeo wa ndani....angalia Kama Kuna muislam hata mmoja anaweza simama kuusifia Ukristo,never never never......Kweli dhambi ya ubaguzi ni mbaya san
 
Kwenye heshima nadhani Wakristo wako vema sana hapa naongelea ukiristo dini na sio jina
Kuna wadada waliosoma shule za seminary Fulani hivi wanakuwaga na wao wife material sana...
 
Hii kulinda imani yao imeleta matatizo makubwa sana sehemu nyingi duniani, hapa wamefeli pakubwa maana Alshabab, Taliban, Al Qaeda n.k wameibuka kwa kigezo hichi.
Hivyo vyote ni vikundi vya siasa ..
Hakuna kundi la kulinda imani hapo..
Alshabaab wanapigania Somalia..
Taliban Afghanistan..
Alqaeda Saudia Arabia na Palestine..etc
 
Uislam hauna mashindana na imani yoyote nyengine duniani hata iwe kuna kupigana bao.


Uislam unatufundisha "la ikrah fi din" hakuna kukirihishana kwenye dini.

Tunafundishwa katika Uislam tujadiliane kwa yale mema, tukiona hatuwezi kujadiliana basi tuwaambie "nyie na dini yenu nasi na dini yetu".

Cha muhimu ni kukingania (kukumbusha) Uislam kwa walimwengu wote kila inapowezekana.

Kwa kuwa Uislam ni dini kwa ajili ya walimwengu wote. Kwa tulio tayari Waislam ni jukumu letu tena. La muhimu sana kuulingania Uislam wakati wote ns kwa wote, bila kubaguwa, yeyote awe asiwe Muislam. Kulingania Uislam kuna maana pana sana na kunaanzia katika yote tunayiyaishi katika maisha yetu ya kima siku. kufanya na kuhimizana yaliyo nema na kuwacha yote yaliyokatazwa, kwa utulivu na amani, bila kuficha chochote katika nafundisho ya Uislam na bila kukataa kuulizwa ns kujibu chochote chenye manufaa. Ukiona unaulizwa kwa ajili ya mtu akuchokoze au akukejeli tu, basi una haki ya kunwambia "Sijuwi" kwa amani kabisa, kuliko kuanza malumbano yasiyo na tija.

Nakaribisha maswali yoyote yanayohusu na yasiyohusu Uislam, lakini yawe moja moja, usiniulize rundobla maswwali, sito kujibu.


Nimefunguwa uzi miaka mingi sasa kwa yote ataependa kuuliza chochote anakaribishwa👇🏾

 
Hii imeleta shida kubwa sana, ndio chanzo cha itikadi kali na kuibuka kwa Alshabab, Al Qaeda, Boko Haram n.k. Reforms ni muhimu katika dini.
 
Kwenye Mazishi na Mahari tu

Tembea Mbagala kule asilimia 95 Waislamu ila Uchafu ndo usiseme.
Nenda Temeke, Mwananyamala wote ni hao hao uchafu wanaongoza
Dar kuna mtaa au Eneo ambalo Wakristo ni wengi kuliko waislamu? Wapi? Au Dar ipi hiyo?
 
Hivyo vyote ni vikundi vya siasa ..
Hakuna kundi la kulinda imani hapo..
Alshabaab wanapigania Somalia..
Taliban Afghanistan..
Alqaeda Saudia Arabia na Palestine..etc
Kuna mashambulizi ya Charlie Hebdo, Saman Rushdie, London bombings 2005, Madrid bombings 2004 n.k
Reforms ni muhimu katika dini.
 
Kuna shida mahala..
 
Mtune Muhammad ndiyo kaja baada ya Ukristo, akashushiwa Qur'an.


Mtume Muhammad ni mtume aliyetumwa kwa ajili ya waliwengu wote na Qur'an ni kitabu cha walimwengu wote.
 
Mtune Muhammad ndiyo kaja baada ya Ukristo, akashushiwa Qur'an.


Mtume Muhammad ni mtume aliyetumwa kwa ajili ya waliwengu wote na Qur'an ni kitabu cha walimwengu wote.
 
Nina uhakika ulichoandia hukijui au umejaza zaidi chuki za kidini kuliko uhalisia.

1. Mgawanyo wa Mali, Sheria ya Dini ya kiislam umeisoma, umeelewa mantiki ya mama kupata kiwango cha kawaida? Unajua mama akizaa na huyo baba anapata kidogo na kama hajazaa nae hupata kingi?
Unaelewa kwa nini?

2. Usafi, wapi ambako ukienda Chooni unawekewa na Sabani ya kujisafishia nchi hii? Kuna Mkoa unauzidi Mbeya kwa Ukristo Nchi hii? Kule umewahi kufika, wale wamestaarabika? Watu wa mbeya unaweza wafananisha na watu wa mkoa upi wa Pwani kwa usafi ni ustaarabu?

3. Mazishi huna unalojua na sio kwamba usubiri la kusema.

4. Mahari iko simple na ni sheria ya uislam mahari anataja Mwanamke na anakabidhiwa mwanamke mwenyewe.

Hoja zako zote umejaza chuki bila uhalisia. Utapoteza nini ukikubaliana na hoja? Kwamba utakuwa muislam au?
Acha ushamba.
 
Mtune Muhammad ndiyo kaja baada ya Ukristo, akashushiwa Qur'an.


Mtume Muhammad ni mtume aliyetumwa kwa ajili ya waliwengu wote na Qur'an ni kitabu cha walimwengu wote.
Tunathibitishaje haya madai yako??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…