Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Nimeshangaa kusikia wanaongoza Kwa usafi[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]hivi kawahi kuishi na wapemba huyu?wanaogeshea watoto kwenye masufuria ya kupikia
Aende huko msasani mandazi road atawakuta jikoni kama dampoo, rangi ndiyo huwatoa.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Asante Ubarikiwe sana.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Asante J, very understanding. Lakini pia sote tu wakristo hakuna nafasi ya kubaguana. Mafundisho yoyote yenye kuleta ubaguzi ni ya kupuuzwa na kupingwa vikali.
 

Watibeli tutalinda na kuheshimu Imani zetu na Imani za Watu wengine ikiwa zinafanya mambo Mema na mapenzi ya Mungu mwenyezi.

Barikiwa Sana
 
Nenda zako nyie bwana wapare wengi waislam na wasabato. Utakua msabato au muislam tu lazima unasifia ndugu zako ktk imani.

Acha makasiriko Mkuu.
Hata wewe ni ndugu yangu ikiwa unapenda Ukweli, Haki, upendo, na Wema
 
ni kweli mim nilipata Ajali Manyoni kwenye gar tulikuw wawili mim na mdogo wangu alilazw hospital ya wilaya na sis ni Wageni kwakweli kila asubuh walikuja waislam na chupa za uji na kugawa kwa wote na Tena wasio na ndugu walusaidiwa usafi wa kufuliwa nguo
 
Matatizo ya akili hayo sasa, tafsiri ya yatima umeitoa wapi? Kwenye Quran au TUKI? Yatima ni mtu yeyote aliyefiwa na Wazazi wake.
Kuolewa unaona unyanyasaji? Huna hoja ya msingi, umejibiwa kwa vifungu, onesha huo unyanyasaji hapo.
 
Matatizo ya akili hayo sasa, tafsiri ya yatima umeitoa wapi? Kwenye Quran au TUKI? Yatima ni mtu yeyote aliyefiwa na Wazazi wake.
Kuolewa unaona unyanyasaji? Huna hoja ya msingi, umejibiwa kwa vifungu, onesha huo unyanyasaji hapo.
Tatizo mna uwezo mdogo wa kujadili mambo mnakimbilia kashfa,hayo matatizo ya akili umetumia kipimo gani kuyabainisha,....acheni kunyanyasa yatima
 

Attachments

  • Screenshot_20230618-110307.png
    125.8 KB · Views: 9
labda sikukufafanulia vizuri, nilisposema mama, nilimaanisha "MKE". linganisha mgao anaopata mjane wa kiislam (1/4) na mgao anaopata mjane wa kikristo (1/2). vinalingana?
 
Asante J, very understanding. Lakini pia sote tu wakristo hakuna nafasi ya kubaguana. Mafundisho yoyote yenye kuleta ubaguzi ni ya kupuuzwa na kupingwa vikali.
Hakika ni wa kupuuzwa,maana mtu yeyote anayeleta mafundisho yenye mlengo wa kibaguzi huwa Nia yake ni kuleta taharuki kwenye jamii husika .
 
labda sikukufafanulia vizuri, nilisposema mama, nilimaanisha "MKE". linganisha mgao anaopata mjane wa kiislam (1/4) na mgao anaopata mjane wa kikristo (1/2). vinalingana?
Kwani unadhani haelewi?anajichomoa card si unaona hata jina lake
 
labda sikukufafanulia vizuri, nilisposema mama, nilimaanisha "MKE". linganisha mgao anaopata mjane wa kiislam (1/4) na mgao anaopata mjane wa kikristo (1/2). vinalingana?
Tukisema someni dini acheni blah blah mnakuja na ngonjera nyingi

Sasa ndugu iyo(1/2 yaani 50% kwa 50%) unayoisema ni ukristo au ni mahakama hahahahaha

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Uislamu hajuwepo kabla Ukristo au Uyahudi msipotoshe hata vitabu vya kislamu havikusema hivyo,Kumbuka mwislamu wa kwanza ni Khadija,then wanawe na mjombake ndipo akaja mtume Mohamed ambaye ndie wa kwanza ktk wenye kusilimu.Msipotoshe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ