Wewe utaweza kuoa mpaka wanne.6. Ibada zipo simplified, unaweza swali popote bila kumtegemea yeyote maadam unaijua swala!
7. Stara iliyoelekezwa kwa akina KE
8. Unaoa mpaka wanne
9.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2]Nawa ~Zoom
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MTU akifa Ukristoni inakuwa sakata kama la Bandari. Sio mchezo.
Yani umeandika facts ambazo hata sioni upenyo wa kuanza kuzipinga.
Unaongelea wanawake wa jamii gani mkuu? Don't generalize kwa kuangalia jamii moja. Nina hakika mkristo wa Tz na Marekani hawafanani katika hilo, ila wanawake wakiislamu popote duniani wanafanana katika kujisafisha na maji, regardless yupo wapi.Kama kuna mwanamke yeyote mwenye akili timamu,hata kama hana dini,asiyetumia maji ktk kujisafisha baada ya kujisaidia basi lazima atakuwa mshirikina tu
Kweli unataka vifungu au unabishana tu? Uislamu unaenda kwa reference ndugu yangu ndo maana huoni ukibadilika badilika, yote hayo uliyoyasema yana reference tena zilizonyooka.Katika Point zote ulizoandika hapo juu ni Mambo ya Kibinadamu (Maamuzi / tamaduni za Jamii husika ) ,
Usichanganye Lifestyle ya Watu (Mtu husika ) na Biblia .
Ili tukubaliane na wewe tupe vifungu vinavyohusu (Eleza )
1. Usafi na Stara kwa Mwanamke
2. Mgawanyo wa Mali
3. Heshima ya Mwanamke kwa Mwanaume
4. Mazishi
5. Mahali
Ili tuendeleee na Tukuabaliane na Wewe , Toa Vifungu !!!!!
ANGALIZO , Usichanganye
Tamaduni (Maisha ) ya Watu na Biblia .
KALIBU , Taikoni
Niko hapa naangalia wahindu wakinywa chai
TvWapi hapo Mkuu
Yani wakati mwengine chuki zinawafanya mpaka mnakufuru bila kujijua.Wavaa kobazi bhanaView attachment 2659649View attachment 2659650
Sijawahi kupenda aina hii ya uvaaji. Ni kweli wanajistiri lakini hivi hapana kwa kweli.Hakuna kitu ninachopenda kama kuona mwanamke wa kiislamu amejistili inavyotakiwa ,anapendeza sana na ni ngumu kupigwa miluzi na wahuni na kuvuta matanio ya wanaume .View attachment 2659597
Siku ukitutoka kwenye kibao chako pale juu ya kaburi mstari huu hapa naomba usitumikeUkristo ni ubepari
Kabisa mavazi yanatuheshimisha sanaHakuna kitu ninachopenda kama kuona mwanamke wa kiislamu amejistili inavyotakiwa ,anapendeza sana na ni ngumu kupigwa miluzi na wahuni na kuvuta matanio ya wanaume .View attachment 2659597
.MTU akifa Ukristoni inakuwa sakata kama la Bandari. Sio mchezo.