Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Kuhusu ujirani, Uislamu umetoa mwongo huu unapotaka kujenga nyumba.

Uombe ruhusa na umweleze jirani Yako huo mjengo utakuaje ukikamilika.

Huyo jirani awe na dini au la,akikataa usijenge.
 
Mtu yoyote ambaye si mkristu ni mpagani.
Watu wa mataifaaa.
Ata uwe na din yako kama si ya kikiristu we ni mpagani
 
Uchoyo wa kutoa creditation tu!

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Usafi na vyakula
Kuogeshea watoto kwenye masufuria ya kupikia

,kuchamba maji chooni bila kikombe anachotea mkono huohuo bila kujali wenzie watatumia tena hayo maji

Kuinamia sinia la ubwabwa na kulamba vidole vyake kisha kukung'uta Tena kwenye sinia

Kupiga mswaki hadharani na kukoroma Kama anataka kutapika,huku anaongea ongea na majirani bila kujali Ile mipovu yake.

Kusukutua na kutema mate kwenye masinki Hadi wanaandikiwa vibao "usisukutue hapa"

Kunawa michuzi kwenye bakuli.

Ndio huu usafi unazungumzia?
 
Waislamu wa wapi hao? Humu watu munadanganyana sana
 
We ndio maana ulifaulu School of Law...Utumwa waitwa heshima........kiukweli sijawahi penda uislamu, Mwanamke ni kiumbe asiyethaminika kabisa
 
Kwanini haukamilika kabla ya Mohammad?
 
Eeehhh hapo kwenye MATUSI hapo!!!!si mtoto si mbibi,si mbabu jamani wanamatusi sana......yaani sielewi katumia vigezo gani kuona huo upande ni wastaarabu
Maeneo mengi ya waswahili hukaa hao hao aliwasifia ila wengi wao hawana mahusiano mazuri, na pia wana matusi, ni wachafu
 
Hebu usilete ubishani wa kidini na ujusji ambao haina maana ili kukosoa sehemu fulani tu. Mada si kubishana kidini
 
Achana naye usiweke hoja naye za namna hiyo, dhumuni lake ni kuleta ubishani wa kidini ili apate cha kukosoa. Usieleweshe ambaye hayupo kwa ajili ya kuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…