Mkimuyangu
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 1,054
- 1,947
uisilamu unasema Dua ya mtu au maombi ya mtu aliyezulumiwa hayarudi bure hata kama siyo Muisilamu akimuomba Mungu linakupata la kukupataWengi wa waislamu ni wanafiki sana hasa Kwa wakristo,ni wamejaa zuluma sana hawana upendo,wavivu na watapeli ,waanaamini kumdhulumu mtu wa imani nyingine kwao siyo dhambi,hawataki kuwajibika hata Kwa watoto wanaowazaa ndiyo maana hukimbilia talaka,ulozi na ugannga ugannga ndio kitu pekee wanaweza kuongoza
Kingine kwenye dini ya uislam dini yao haichezewi,sijawahi ona wala kusikia kule kuna mitume na manabiiWapi hapo Mkuu
Labda tukufundishe vitu ambavyo huvijui, malaika wenyewe wanamsujudia Mungu, Ibrahimu aliowa mke zaidi mmoja, Musa naye aliowa, ni mtume gani anayefanana naoHuo ni uongo ulio dhahili.Dini ya mitume na manabii siku Yao kuu ya ibada ni jumamosi(SABATO).Siku hiyo hakuna kufanya kazi yoyote,ni ibada tu(Kutoka 20:8-11, ISAYA 58:13,EZEKIEL 20:20,WAEBRANIA 4:9, QURAN 4:154,16:124,2:65).Yesu pia alikuwa akifuata hiyo dini(LUKA 4:16).Na waliabudu kwa namna tatu hadi nne.Kusujudu,kuanguka kifudifudi,kusimama,kupiga magoti.Zote zilikuwa zinakubalika mbele za MUNGU.Mtu hakulazimika kutumia namna moja tu.Nabii Danieli yeye alikuwa akipendelea sana kupiga magoti(DANIEL 6:10).Nyie hamna SABATO.Sasa utasema ni imani moja hiyo?Nyie mna ijumaa,ambayo hamuifanyi kama sabato.Unafunga biashara unaenda kuswali.Unamaliza unageuka kuendelea na biashara kitu ambacho ni kinyume kabisa na dini ya manabii.Manabii hawajawahi kuhalalisha,wala kula najisi iwayo yote(walawi 11 yote).Leo uislamu umeifanya najisi(ngamia) kuwa mnyama mtukufu wakati MUNGU wa manabii amekataza kabisa hata kugusa mizoga yao.Najisi haitakiwi iliwe hata katika mazingira yoyote yale,ila uislamu unaruhusu katika mazingira ya njaa.Sasa unathubutu vipi kutamba hadharani eti kina Musa Walikuwa waislamu wakati sheria za dini ya Musa zote uislamu unazipinga na kuzikanyaga!!Ili ujue dini ya Musa ni lazima uzichunguze sheria alizopewa na Mungu zifuatwe na wote wenye kujunasibu kuifuata dini aliyonayo Musa.Muhammadi ametamka tu"Musa ni muislamu".Mty yeyote anaweza kutamka tu katika kitabu chake.Hata uhindu kupitia vitabu vyao wanaweza kutamka tu.Ili tuamini ni lazima tuchunguze sheria zilizopo pande zote,zinaendana?
binafsi hata migahawa ya kawaida, huwa nashangaa mtu ananawa mikono, ananawa uso na kusukutua limdomo palepale. ila la kuweka maji ya kuchambia bila sabuni ya kunawa mikono baada ya kushika nnya, ni ajabu. nimeishi mitaa ya aina hiyo na tamaduni zangu pia naishi hizo, chooni mimi sichambi, natawadha, ila lazima baada ya hapo ninawe na sabuni mikono kwasabasababu nitaenda kusalimiana na watu huko nje.Kuogeshea watoto kwenye masufuria ya kupikia
,kuchamba maji chooni bila kikombe anachotea mkono huohuo bila kujali wenzie watatumia tena hayo maji
Kuinamia sinia la ubwabwa na kulamba vidole vyake kisha kukung'uta Tena kwenye sinia
Kupiga mswaki hadharani na kukoroma Kama anataka kutapika,huku anaongea ongea na majirani bila kujali Ile mipovu yake.
Kusukutua na kutema mate kwenye masinki Hadi wanaandikiwa vibao "usisukutue hapa"
Kunawa michuzi kwenye bakuli.
Ndio huu usafi unazungumzia?
Kingine kwenye dini ya uislam dini yao haichezewi,sijawahi ona wala kusikia kule kuna mitume na manabii
Ila kwenye ukristo dahh
Ova
Utarudi kundini siku isiyo na jina ❤️❤️mi mwenyewe nimetoka ukristoni.... kuna mengi mema.... tuishi tu mkuu tusiangalie hizi imani
Hamza.Huko kwenu uliona muislam aliyejilipua hata mmoja Kwa jina?
mapishi ya nini? ya pilau wakati mimi mhaya nahitaji anipikie ndizi sitaki ubwabwa? wanachojua kupika ni maandazi na chapati nazo ni kwasababu ya ramadhan, ila vingine aisee, wanaweka mafuta mengi ndio maana mnanenepeana mno.Wanawake wengi wa kiislamu kiukweli ni wasafi sana wa mwili na mwanamke wa kiislamu hata awe kijijini lakini kwenye mapishi atawashinda mbali wanawake wa kikristo
Daah mtibeli we Ni mnafiki sijapata ona😅Hii ni hoja kubwa sijui Kwa nini nimeisahau.
Acha kumkosea heshma shujaa! Hamza yule mwamba alidhulumiwa mali zake na wale jamaa akachafukwa akaamua bora wamuuwe tu.Hamza.
Afu baada ya yote hayo huo usafi ndo unampeleka mtu Mbinguni ausio?Twende kazi, najua wapo mmaojitawaza kwa maji pia wapo mnaojitawaza kwa magazeti.
Ukweli usemwe tu, wanawake wa kiislamu kwenye hili la usafu wapo mbali sana, mbali ya kuitunza na kuihifadhi vyema miili yao kiusafi pia wapo mbali.
Wakristo jifunzeni, siyo mnaishia kupiga miswaki tu
Anhaa nimesoma Cuba nimekuelewa vizuri kabisa hapa unauponda Ukristo wa Wakatoliki,walokole na waprotestanti Ila wasabato umewatenga pembeni.. Sheria kuu za Kikristo Ni mbili tu... hizo zingine waachie Wayahudi!Biblia inasheria za Mungu (Yahweh) na Mapokeo ya wazee(Mila na desturi za kiyahudi)
Hapa tunazungumzia Ukristo ambao haufuati Biblia Kwa 💯 Jambo ambalo linaufanya upigwe gap na uislam (licha yakuwa uislam ume-copy vitu kwenye Uyahudi).