Maeneo mengi ujenzi wa SGR umesimama

Maeneo mengi ujenzi wa SGR umesimama

Hayo mengine uliyosema kila mtu ana mtazamo wake hivyo ibakie hivyo.

Kuhusu wapinzani kuingia kwenye mtego wa upinzani feki within CCM kwamba wanachochea kuni ni kitu cha kijinga kwao. Kwanza mambo mengi yako engineered na CCM na wao wenyewe wanajua jinsi ya kutatua kama walivyowatumia kumsafisha EL ambaye waliwatumia pia kumchafua.

Shortly tuna upinzani feki huku nje while huko ndani executives ni washkaji na wanajua wanachofanya. Ndio maana tunapoona mtu mwenye msimamo kama Lissu tunatamani asiingie mtegoni akomboe hivi vyama. Bahati mbaya hizi complications za awamu ya tano zinaweza kuwa zimesha mdilute!

Tuna wanasiasa wachache wa ukweli huko upinzani lakini vyama vina wenyewe na ndio wanaoamua directions sio akina Heche wala Lissu wanaoitwa Conservative now days [emoji58]

Imebidi nicheke kwa nguvu, eti walitumika na CCM kumchafua na kumsafisha Lowassa, CCM hawana ujanja huo boss, ni kweli wana mabavu ya vyombo vya dola, lakini sio ujanja huo. Kilichotokea ni ujinga wa wazi wa viongozi wa CDM haswa Mbowe na genge lake kumpokea Lowassa, lakini sio kwa mipango ya CCM. Usitake kucheza na maneno ili kupotosha hali ile.
 
tatizo usifiaji umekuwa mkubwa kuliko uhalisia wa mambo

sasa imagine hata viporo tu kumalizia ni shida,je itawezekana kuanzishwa kwa miradi mipya mingine?

Mungu tu asaidie kuvusha hili Taifa.
Wanasifiana ujinga... halafu wale wote kichwani hamna kitu, na wameridhika kuwa na kuitwa chawa!! Upuuzi mtupu
 
Taarifa za uhakika ni kuwa Ujenzi wa Reli ya SGR hasa vipande vinavyohusu kampani ya waturuki umesimama na kazi zinazoendelea ni chini ya asilimia kumi, yaani ni kama wanaweka watu wachache kwenye sites ili kusionekane hakuna watu kabisa.

Ni vema serikali kama kweli inawalipa ikachunguza ni nini kinaendelea huko, kama kuna matatizo pengine yanayotokana na madhara ya tetemeko la ardhi au kampuni inayumba kifedha basi hatua za haraka zichukuliwe.

Hii sio siri tena na mwisho itaonekana kama vile wananchi wanadanganywa, hali hii inasikitisha sana … kama kampuni imekwama basi watakiwe kutafuta mbia haraka.
Naendelea kutafakari ntarudi kuchangia
 
Kuna muda utafika, unakutana na mkenya, Mrwanda n.k, anakuuliza wewe ni Mtanzania? Unakataa tu, unasema sio Mtanzania, unataja tu walau kabila lako yatosha kabisa!

Kuna kaaibu fulani nakaona kwa hapo mbele kujitambulisha kama Mtanzani eti!

Hii nchi inafeli kila pahala sasa, mafisadi ndio wenye nchi na hawatishiwi nyau, kufeli kwa miradi ni sababu za mafisadi tu

Nchi inatafunwa mpaka tunakosa pesa ya kuendeshea miradi sasa!
Kwa hiyo huko Kenya ndiyo wamefanikiwa
 
kwa kasi hii tuliyokuwa nayo yakuagiza malori, mabus na kufungua petrol stations kila kona ya barabara kuna maajabu utayasikia tu.
 
Sasa inakuwaje bado ccm ipo madarakani? kwanini hamchukui hatua ?
 
Taarifa za uhakika ni kuwa Ujenzi wa Reli ya SGR hasa vipande vinavyohusu kampani ya waturuki umesimama na kazi zinazoendelea ni chini ya asilimia kumi, yaani ni kama wanaweka watu wachache kwenye sites ili kusionekane hakuna watu kabisa.

Ni vema serikali kama kweli inawalipa ikachunguza ni nini kinaendelea huko, kama kuna matatizo pengine yanayotokana na madhara ya tetemeko la ardhi au kampuni inayumba kifedha basi hatua za haraka zichukuliwe.

Hii sio siri tena na mwisho itaonekana kama vile wananchi wanadanganywa, hali hii inasikitisha sana … kama kampuni imekwama basi watakiwe kutafuta mbia haraka.
Unaona waziri anaagiza youtong 100 unategemea sgr ijengwe ili imfaidishe nani
 
Reli ya kati na TRC ilihujumiwa hadi zikafa kabisa na wahujumu hao ni wale wale. Hata SGR wapo ambao haiwafurahishi. We need total overhaul kuweka sawa Taifa letu otherwise tunaelekea nyakati ambazo tutakuwa na mfumo wa kifisadi mgumu mno kuuvunja.

Kwanza CCM yenyewe ambayo kuna watu wanajinasibu ni yao irudi kwa wananchi ili iwepo fair ground ya kujenga nchi bila individuals au some elites influences.
Magufuli alipata fursa hii bahati mbaya kwake ujinga na ujuaji ukammaliza.
 
Ndio hao hao walioshika kwenye mpini. Wananchi mmeshika huku kwingine.
Kibaya zaidi kila uchao wanashindana kuingiza mabasi. Siku hizi unasikia mgogo kaingiza 20, mnyaturu 100, mkwere kaingiza malori 500, msambaa pikipiki 10, mrangi baiskeli tatu.
[emoji1]

Ova
 
Wabunge wangekua wamechaguliwa kihalali haya Mambo yangewekwa hadharani.
Sasa wabunge wenyewe ndio hao kina Gwajima, mzee Mdee, jesika aah Jeskaaa na Taletale pamoja na yule wa Korogwe vijijini.
 
Taarifa za uhakika ni kuwa Ujenzi wa Reli ya SGR hasa vipande vinavyohusu kampani ya waturuki umesimama na kazi zinazoendelea ni chini ya asilimia kumi, yaani ni kama wanaweka watu wachache kwenye sites ili kusionekane hakuna watu kabisa.

Ni vema serikali kama kweli inawalipa ikachunguza ni nini kinaendelea huko, kama kuna matatizo pengine yanayotokana na madhara ya tetemeko la ardhi au kampuni inayumba kifedha basi hatua za haraka zichukuliwe.

Hii sio siri tena na mwisho itaonekana kama vile wananchi wanadanganywa, hali hii inasikitisha sana … kama kampuni imekwama basi watakiwe kutafuta mbia haraka.


Unasema habari za uhakika kutoka kwa nani? Mkiendeleza uongo itabidi tumwambie webmaster akufute . Kama ni mawazo yako usiseme habari za uhakika sema kwa mawazo yangu!
 
Mbona hamkuvumilia kutokuchukua mkwanja kama mlikua na ubavuu. Ngoja tuwafuge tuuu.

Kwani ni hela za wañaccm, hizo ni kodi zetu, sio vibaya CDM wakichukua sehemu ya makusanyo ya kodi zao kisheria. Au unaumia ww jizi la kura?
 
Back
Top Bottom