Maeneo wanayotoka wanawake watata, jasiri na wanaoweza kubishana na mume

Maeneo wanayotoka wanawake watata, jasiri na wanaoweza kubishana na mume

Hivi inakuwaje mpaka upigwe na mkeo? Dah ndoa zina mambo saana any way kuna wimbo unaimba "huyo ni chaguo lako chaguo lako hata kama ni mfupi chaguo lako"
 
Kama kijana ni dhaifu usioe huko. Wachagga, Wapare, Wakurya na Wameru wanawezana wenyewe kwa wenyewe.
Hapa umesema mulemule tu hawa wote wanapenda mtifuano hata mwanaume wanapenda waolewe na mwanaume mtata mtata tu chakalamu vululuvululu ngumi mkononi roho begani atakae muwahi mwenzie ndio mshindi
 
Kumbe ndio maana unabondwa....

Kuishi na Mwanamke haihitaji maguvu ya kupigana au ubabe wa mwili kijana

Mwanaume akiwa na akili hata kama ana 20 yrs anaishi na mwanamke mkorofi wa miaka 40

Unanifanya nihisi hujapita jandoni
Nyie ndio hamna sauti ndani kwa kujifanya mnajua kuishi na wanawake vizuri.
 
Hivi inakuwaje mpaka upigwe na mkeo? Dah ndoa zina mambo saana any way kuna wimbo unaimba "huyo ni chaguo lako chaguo lako hata kama ni mfupi chaguo lako"
Binadamu anakosea, labda alikosea wakati anachagua
 
Nilikuta mmarangu kapanda hewan kama kilimanjaro hapo ndani jamaa akizingua zinapangwa....
Mabro zangu wote wameoa sehemu fulani ipo Iringa somewhere in Mafinga imepakana na Njombe yaan km unaenda Makambako kwa mbele km unaelekea Makete na Mimi nikasema nikiwa mkubwa nitaenda kutafuta wanawake huko nioe hata mmoja tu maana wanawake wa huko hawana desturi ya kukimbia nyumba zao hata kitokee kitu gani ni watiifu sana kuna bro mmoja chakalamu kaoa mmasai na fresh kabisa maana masai wanapenda mwanaume anaepandisha mori km morani kikinuka wananusana
 
Nakazia msingi kujiamini
Kwa hio wanaowaacha wanawake pasua kichwa hawajiamini? Tulizeni vichwa kabla hamjaandika nna bro alikuja kuchukua point 3 alipomtoa meno yote ya barazani mkewe yakaenda kumaliziwa kwenye dawati la jinsia usuluhishi wa Ndoa kuanzia hapo mke heshima imefuata mkondo na mkewe anatoka hizo kanda zilizotajwa hapo ni watata yaan anaweza akatulia kwa kipindi fulani tu then balaa linaanza upya analianzisha tu from no where yeye furaha yake ni ugomvi nvurugano ushari shari kukiwa na amani hapati furaha apigwe makofi angalau abutuliwe kichwa channel zisome bila hivyo anakuona mwanaume fala tu,
 
Kwa hio wanaowaacha wanawake pasua kichwa hawajiamini? Tulizeni vichwa kabla hamjaandika nna bro alikuja kuchukua point 3 alipomtoa meno yote ya barazani mkewe yakaenda kumaliziwa kwenye dawati la jinsia usuluhishi wa Ndoa kuanzia hapo mke heshima imefuata mkondo na mkewe anatoka hizo kanda zilizotajwa hapo ni watata yaan anaweza akatulia kwa kipindi fulani tu then balaa linaanza upya analianzisha tu from no where yeye furaha yake ni ugomvi nvurugano ushari shari kukiwa na amani hapati furaha apigwe makofi angalau abutuliwe kichwa channel zisome bila hivyo anakuona mwanaume fala tu,
Sio kila mwanamke ana tabia za huyo uliemrefer mkuu.
 
Sawa, nilitaka kusema tu, kuna baadhi ya wanawake,,.si wote, usikurupuke utaaibika na ndevu zako. Hayo ya jando ni tamaduni tu,, wengine huenda na wengine sio muhimu.
Jando muhimu sana kwa Mwanaume Rijali...

Hakuna Mwanaume aliyeenda Jando anabondwa na Mkewe
 
Jando muhimu sana kwa Mwanaume Rijali...

Hakuna Mwanaume aliyeenda Jando anabondwa na Mkewe
Mwambie kabisa experience ya Jandoni km upo kwenye movie ya Shaka Zulu halafu umepelekwa Jando km Morani wa kimasai porini huko ni kupishana na wanyama wakali tu ndumba na ngwese mkononi achana na Jando la kukaa nyumbani eti unakaa kabisa na mama yako anakusongea ugali ndio upo Jandoni hapo, ogopa kijana alieenda Jando la wanyama wa kali
 
Mwambie kabisa experience ya Jandoni km upo kwenye movie ya Shaka Zulu halafu umepelekwa Jando km Morani wa kimasai porini huko ni kupishana na wanyama wakali tu ndumba na ngwese mkononi achana na Jando la kukaa nyumbani eti unakaa kabisa na mama yako anakusongea ugali ndio upo Jandoni hapo, ogopa kijana alieenda Jando la wanyama wa kali
Vijana wanashangaza sana, eti wanaogopa kuoa Wanawake flan kisa watapigwa....la Haula

Baba zetu wangeogopa Wanawake sisi tungezaliwa?

Kiama hiki
 
Vijana wanashangaza sana, eti wanaogopa kuoa Wanawake flan kisa watapigwa....la Haula

Baba zetu wangeogopa Wanawake sisi tungezaliwa?

Kiama hiki
Hutakiwi kuogopa ila lazima uchukue tahadhari kuna msemo unasema unachokidharau ndicho kitakachokumaliza ni sawa ukidharau kisu ila mtu akikutifua nacho cha mbavu dakika 10 nyingi ushaenda na maji

Nakumbuka wakati tupo porini kuna siku lilitia kambi kundi la Simba na kuna siku alitia kambi Nguruwe Pori mmoja tu, siku walipokuja Simba wakiwa kundi hawakusumbua sana wakaenda ila siku alipokua Nguruwe Pori mmoja tu alisumbua sana mnyama yule, kwa hio unachokidharau ndicho kitakacho kumaliza
 
Sasa mwanaume aina ya hawa mateja kama kina Doto magari hata kijiko hawawezi kunyanyua ataweza kweli kuzikunja na mwanamke wa kikurya?
 
Nilikuwa nawaogopa wakurya lakini mjini sijasikia visa vyao kama wachaga
Huwa nawashangaa watu kwa ujuaji, wanawake wa kikurya ni very humble na wamama wazuri sana kwa familia zao. Angesema wanaume wa kikurya ndio wana ubabe ningemuelewa. Ila hawa dada na wake zetu wako poa sana kuwaweka ndani kama wake.
 
Back
Top Bottom