Maeneo wanayotoka wanawake watata, jasiri na wanaoweza kubishana na mume

Maeneo wanayotoka wanawake watata, jasiri na wanaoweza kubishana na mume

Ukipigwa na mwanamke ambae sio ndugu yako wala mwalimu basi wew ni shoga yan anidunde?! Aaah haipo hio na haitawah kutokea labda niwe tahira
 
Kilimanjaro ,kama hauna akili ya kupambana kiuchumi usioe kabisa , hawa mabinti zetu tumewatengeneza wawe wapambanaji na wahamasishaji wa maendeleo kwa nzia ngazi ya familia, na ilikua ni kwa faida zetu wenyewe na jamii yetu , sasa wewe ukiwa mvivu na ukaoa usitoe milio ya Nokia vumilia ,hilo ni chaguo lako.
Hatimaye min -me ni mangi🤣

Kwanza kuoa mchaga inahitaji moyo sana.
Mabinti hawako romantic hadi aone kibunda kikubwa mnoo mezani😂😂😂
Nina rafiki zangu humu binti za kichaga ruksa kunitolea povu😂

View: https://www.instagram.com/reel/DBZZvOyqZKG/?igsh=MXQ5aXRqc3k5Z2Z5Ng==
 
Wanaume wa kitanzania mnajulikana kwa kupigwa na wake zenu.
Mmekaa lege lege Sana mpaka mnapigwa na wanawake
 
Hii ni tahadhari ila si sheria, amua mwenyewe kufuata qu kuacha.
Kuna mikoa inasifika kwa wanawake watata na jasiri na kubishana na mume.

Mkoa wa Mara. Wanawake hawa ni watiifu kwa waume lakini ukizingua zinapigwa kiroho safi nimetaja Mara japo wakuria ndio wanajulikana kwa ukorofi lakini karibu wote ni vile vile.

Mkoa wa Arusha. Hapa kuna makabila mengi lakini Wameru ni hatari ndio nawalenga hasa. Ukioa huku utaendeshwa kama gari bovu.

Mkoa wa Kilimanjaro. Kabla hujapinga hoja hii chunguza kwanza ww mwenyewe ndugu zako waliooa wanawake wanaotoka mkoa huu. Ni watata, wajuaji wanaopenda kuwa viongozi wa familia badala ya wanaume. Kupigana kama mwanaume ni dhaifu utapigwa sana na hata kufukuzwa kwako. Kama kijana ni dhaifu usioe huko. Wachagga, Wapare, Wakurya na Wameru wanawezana wenyewe kwa wenyewe.
Wapi wanyaki?
 
Hii ni tahadhari ila si sheria, amua mwenyewe kufuata qu kuacha.
Kuna mikoa inasifika kwa wanawake watata na jasiri na kubishana na mume.

Mkoa wa Mara. Wanawake hawa ni watiifu kwa waume lakini ukizingua zinapigwa kiroho safi nimetaja Mara japo wakuria ndio wanajulikana kwa ukorofi lakini karibu wote ni vile vile.

Mkoa wa Arusha. Hapa kuna makabila mengi lakini Wameru ni hatari ndio nawalenga hasa. Ukioa huku utaendeshwa kama gari bovu.

Mkoa wa Kilimanjaro. Kabla hujapinga hoja hii chunguza kwanza ww mwenyewe ndugu zako waliooa wanawake wanaotoka mkoa huu. Ni watata, wajuaji wanaopenda kuwa viongozi wa familia badala ya wanaume. Kupigana kama mwanaume ni dhaifu utapigwa sana na hata kufukuzwa kwako. Kama kijana ni dhaifu usioe huko. Wachagga, Wapare, Wakurya na Wameru wanawezana wenyewe kwa wenyewe.

Huwajui wa Arusha wala wa kilimanjaro
 
Kilimanjaro ,kama hauna akili ya kupambana kiuchumi usioe kabisa , hawa mabinti zetu tumewatengeneza wawe wapambanaji na wahamasishaji wa maendeleo kwa nzia ngazi ya familia, na ilikua ni kwa faida zetu wenyewe na jamii yetu , sasa wewe ukiwa mvivu na ukaoa usitoe milio ya Nokia vumilia ,hilo ni chaguo lako.
Lakini wachaga na wapare ni wazuuri
 
Wewe unakunya umesimama?
Utaogopa tu,hujakutana na mwanamke wewe....mtaishia kuchinjana mkuu
Mwanaume ni mwanaume tuu ,mm nashangaa wanaume Hawa wa mujin,,nyie vijana wala chips na nyanya zilizosagwa zkawekwa kwenye chupa,sjui tomato sosi,mara pili pili ya kusagwa sjui chili sosi,,miwa hamuwez tafuna mpka isagwe mnywe maji yake hiv mtaachwa kupigwa ?
 
Hutafika kwa hiari, utatii bila shurti., kuomba msamaha juu. Unakumbuka yule mama wa Tarime aliyevunja rekodi ya kuwanyang'anya majambazi bunduki mara mbili tofauti, alipovamiwa na mmewe kukimbia kila tukio ? Sasa jifanye kiherehere ujichanganye uoe utawekewe meno ya bandia.
Dogo usifundshe wanaume uoga kabsaa
 
Ukipigwa na mwanamke ambae sio ndugu yako wala mwalimu basi wew ni shoga yan anidunde?! Aaah haipo hio na haitawah kutokea labda niwe tahira
Oa mchaga uone show
 
Mkuu usiogope mabinti wa kichaga ukiwajulia utafurahia maisha sana🤣🤣🤣🤣🤣
Utafurahia kama ukikubali kuwa chini yake na ukubali kuendeshwa kama gari bovu. Mtaani kuna wanandoa wanateseka sana
 
Mjomba angu kaoa huko mara na mke wangu huwa anaonekana yupo fit na mjomba hajapitia mambo ya ugomvi lakin huwa nashangaa anampiga huyo mwanamke(ila ni kama huyo mwanamke huwa anamuacha tu mjomba wetu)

Kuna jamaa alisoma na huyo mwanamke anasema walikuwa wanamtegemea kwenye ugomvi wanapoenda kwenye michezo alikuwa anapigana mpaka na vijana wa kiume
Mwanamke akikupenda anakua mpole ata kama akiwa Komandoo.
 
Mada za ukabila ndio msimu wake huu .....Mnapoteza baadhi ya members humu .
 
Back
Top Bottom