Maeneo wanayotoka wanawake watata, jasiri na wanaoweza kubishana na mume

List.
Haijakamilika umesahau wanawake wa KYELA.
 
Sio wote wapo hivo bora kuomba Mungu upate mtu sahihi na mwenye hofu na Mungu,,,mana kuchagua unaweza usioe kabisa,,,,,,, hata hizo kabila nyingine pia zana watu sio kama warangi, hawa wanawezana wenyewe,,,watu wasingida, wanaume wa kipare na wakisukuma ,watu wa mara,,wapemba kama sio mtu wa kuongea utajuta wanaume zao wanaoa waswahili siku hizi,,, wazaramo,,, wahaya na watu wa kusini hawa ni wote sio wanaume sio wanawake wote sio
 
Asilimia kubwa wapo hivyo
 
Mpaka leo Kuna wanandoa wanapigana? Kwamba uwezo wao wa akili ni mdogo kiasi kwamba inabidi watumie Nguvu sasa maana akili haifanyi kazi.
Mnaoanaje watu msio na akili ambao ufikiri wenu unawaambia mtatatua changamoto zenu kwa kutumia Nguvu.
Don't work hard work smart.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…