Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
- Thread starter
- #81
Kama unataka kuweka kiepe uhakikishe kwa siku unauza sahani 350[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 50 to 70...thubutuuuy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unataka kuweka kiepe uhakikishe kwa siku unauza sahani 350[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 50 to 70...thubutuuuy
Doh....ila kupanga panapangishika so ndio??? Hivi vilemba ni virefuTena hyo ndogo nlikuwa na kaeneo kadog tu maeneo ya crdb mtu kafika ml 3 nmemuachia
Hizo hesabu zao hazimake sense unless kuna mtu/kampuni targetedKama unataka kuweka kiepe uhakikishe kwa siku unauza sahani 350[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
MABEBERU watapanga. Mbuzi jike kaeni pembeni
Watakosa watu hzo Bei sio user friendly kwa majority ya watu wengi na hii vyuma kukaza tena
Ukishalipa hiyo eneo linakuwa lako, ukishindwa unaweza kukodisha mtu au kuuza, thamani yake inapanda kila siku kiongozi. Usione vile vibanda tu, vinaharibu mandhari ya mji kwa kuonekana vichafu, lakini kuna watu na familia zao wapo pale na wanategemewa kabisa.Nilikua napachukulia poa kumbe ndomoto hivi[emoji849][emoji849]imamaana akishalipa hiyo 1.5m ni pake kabisa??
Kingsmann
Yupo kwa frame au vibanda? Yaani bwana pale sikujua pana gharama kiasi kile.Hahaha pale hata wife wangu yupo palee...anakimbizaa pana mzunguko mzuri ila kodi yake pia sio habaa
Tena hayo maeneo unayesema kuna dalali kanipigia simu leo kuna kama fremu mbili ziko wazi watu wameachia siku mbili hiziMpeleke kule chini karibu na ilipo safari bar...kuna biahaara sana kule ila pia inategemea na biashara anayotaka,kule biashara za maduka ya jumla na nafaka ndio kwenyewe
Kodi zao zikoje mpendwaTena hayo maeneo unayesema kuna dalali kanipigia simu leo kuna kama fremu mbili ziko wazi watu wameachia siku mbili hizi
Hizi dharau sasa mkuu unatucought kama mbuzi jike??MABEBERU watapanga. Mbuzi jike kaeni pembeni
Mlimtumia dalali kupata hilo eneo au??pole kwa maswali niko interested na hii ishuUkishalipa hiyo eneo linakuwa lako, ukishindwa unaweza kukodisha mtu au kuuza, thamani yake inapanda kila siku kiongozi. Usione vile vibanda tu, vinaharibu mandhari ya mji kwa kuonekana vichafu, lakini kuna watu na familia zao wapo pale na wanategemewa kabisa.
Laki tano kwa laki saba
Ndio, tulitumia dalali.
Rock city Mall walikua wanachaji $17/square metre.Ukienda na kadi ya chama bei itakuwa pungufu. Vipi wale wa Rock city mall pamejaa?
CCM kwa mikwara mbuzi mko vzr.nataka kuwekeza hoteli yenye hadhi ya nyota 5 maeneo karibu na maeneo hayo ya stendi ya mbezi mwisho, naomba ushauri kati ya;
1. Luguruni
2. kibamba
4. Kiluvya gogoni
wapi kati ya maeneo hayo panafaa zaidi?
Frame...Yupo kwa frame au vibanda? Yaani bwana pale sikujua pana gharama kiasi kile.
Kuna wale wenye zile bucha pale nadhani wanauza ng'ombe 10 kwa siku...Tena hayo maeneo unayesema kuna dalali kanipigia simu leo kuna kama fremu mbili ziko wazi watu wameachia siku mbili hizi
Yaaah...unataka kuweka nini?Laki tano kwa laki saba
Kwa Kariakoo fremu kama hiyo ni 1 mil tu 😂😂😂Kodi inazidi mapango ya kkoo mara 5[emoji1787][emoji1787]