Maeneo yenye baridi la kufa mtu Tanzania

Maeneo yenye baridi la kufa mtu Tanzania

Wala huijui hii nchi, unaongelea tu maeneo ambayo labda ulipita kwa barabara

Lkn Gairo Morogoro - baridi kali
Kondoa, Babati, Katesh - baridi kali sana
Singida Kaskazini yote - baridi kali sana
we kijana ukisikia sehemu kuna baridi tz mtu akataja makete,huruhusiwi kutaja eneo jingine.

baridi unalozungumzia la upepo hata hapo kibaigwa dodoma lipo,huko kwa wanyalu ngoma haipulizi imatulia tuliiiii,ila na ugeni wako wa kutokea dsm ukifika huogi wiki nzima.
 
we kijana ukisikia sehemu kuna baridi tz mtu akataja makete,huruhusiwi kutaja eneo jingine.

baridi unalozungumzia la upepo hata hapo kibaigwa dodoma lipo,huko kwa wanyalu ngoma haipulizi imatulia tuliiiii,ila na ugeni wako wa kutokea dsm ukifika huogi wiki nzima.
Kwani nimekataa baridi ya Makete? We vipi mzee
 
We jamaa huijui baridi ya sgd aisee nenda sehemu moja inaitwa mitundu itigi utajua upo ndani ya friji
Nilipitia comments zote, nikajiambia nikikosa mwanaJF hata mmoja hajaitaja hii sehemu, ntashangaa sana'
 
Kwani nimekataa baridi ya Makete? We vipi mzee

Siku ukifika Huko utaelewa Uzi huu ulikuwa unazungumzia nini!

Hizo baridi huko SINGIDA niza kawaida Mzee,
Hapa tunazungumzia baridi Ka kufa mtu elewa Uzi.

Ogopa sehemu kuna baridi mpaka Ndege wanashindwa kuruka.

Huko Singida kuna baridi lakini yakawaida tena ya msimu tuu.
 
we kijana ukisikia sehemu kuna baridi tz mtu akataja makete,huruhusiwi kutaja eneo jingine.

baridi unalozungumzia la upepo hata hapo kibaigwa dodoma lipo,huko kwa wanyalu ngoma haipulizi imatulia tuliiiii,ila na ugeni wako wa kutokea dsm ukifika huogi wiki nzima.

Huyo anataka ubishi usio na maana yoyote.

Hata Mimi niliamini hakuna baridi hapa nchini kuliko la Moshi(pale mjini) mwezi wa Tisa.
Ila nilipoenda Mafinga, Makambako, Niombe, Makete nikipitia Kyela upande wa Mlima Livingstone, Songea nikitokea Mbinga, Rungwe na Tukuyu,
Huko baridi lake kuoga mpaka upate ushauri wa Daktari
 
Njombe ni balaa nimelala nimevaa tracksuit, koti zito,soksi nzito miguuni, na nimejifunika blanketi zito mbili, Njombe hoyee .

Alafu kuna mtu anakutajia SINGIDA sijui Dodoma😃

Ajue kabisa Baridi la njombe kuoga ni mpaka upewe kibali na Madaktari 🤣🤣
 
Nipo Arusha nimekimbia baridi ya Mbeya pale ni kiwanda cha baridi mpaka walevi hawakai bar hapo si mchezo...
 
Nililaga gesti ya bei rahisi mablanketi yalikuwa na wadudu wanawasha lakini nikajisemea potelea mbali, nikajifunika mwili mzima.
 
Dar msiitoe jamani mbona hali tete hivi,mi nimezaliwa huku ila hii sijawahi ona!!
 
Nililaga gesti ya bei rahisi mablanketi yalikuwa na wadudu wanawasha lakini nikajisemea potelea mbali, nikajifunika mwili mzima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dar msiitoe jamani mbona hali tete hivi,mi nimezaliwa huku ila hii sijawahi ona!!

Wewe unaumwa kweli!

Yaani Dar hii Hali ya hewa ndio unaiita baridi😀😀
Wengine kila siku tunaoga bila kuchemsha maji bado uiite baridi! Ukipita njiani na kwenda Kariakoo watu hawajavaa makoti mazito bado uiite baridi😀

Nakushauri, jaribu siku moja kwenda tuu pale Mafinga hata msimu wa joto labda mwezi wa kumi kumi mpaka WA Kwanza alafu ukajionee baridi ilivyo.

Ili siku watu wakisema baridi ujue wanamaanisha kitu gani
 
Hii ni asubuhi makete, njombe
Kitulo, makete Njombe ndio sehemu yenye baridi kali zaidi Tanzania anae bisha basi aje na evidence. Ukiangalia utabili siku ya jumapili kitulo joto litashuka hadi 2⁰C adhuhuri.
Screenshot_20220714-071809.png
 

Attachments

  • 255767513545_status_f1996041bdf04c4dab47f8ef32d1ae4d.mp4
    3.7 MB
Back
Top Bottom