Maeneo yenye baridi la kufa mtu Tanzania

Maeneo yenye baridi la kufa mtu Tanzania

Wala huijui hii nchi, unaongelea tu maeneo ambayo labda ulipita kwa barabara

Lkn Gairo Morogoro - baridi kali
Kondoa, Babati, Katesh - baridi kali sana
Singida Kaskazini yote - baridi kali sana
Kateshi ni amsha
 
shinda ya njombe au mafinga (sijajua mbeya ). ni kuwa baridi inapiga mbaka inachubua .
If you wanna know what i mean . Jaribu kutafuta icecream au hard ice kwa ajili ya kuhifadhia samaki then chukua kipande afu uwe unakipitisha juu ngozi taratibu kama mara tano , that feeling the skin gives you ndyo ni

lichokipata maeneo hayo.
 
Lushoto kuna sehemu inaitwa shume na manolo hapo hakuna msimu,kuna baridi ni balaa,huko wakati wa jioni na usiku watu wanasunda nguo mbilimbili na kulala wanalala na makoti, nipo Lushoto ila hayo maeneo ni hatari, kwengine Magamba hapa pia baridi ipo...sehemu nyengine ipo baridi ambayo unaweza kuistahimili hata ukiwa mgeni.
 
Nimeishi Mufindi, Mbeya na Arusha,
Kuhusu Njombe na Mufindi wala sina shaka ndizo sehemu zinazoongozoea kwa baridi.

Baridi ya Mbeya ikifika mwezi wa 6 huwa ni kali kiasi kuliko ya Arusha.

List iwe hivi

1. Njombe
2. Iringa
3. Mbeya
4. Arusha
Tatizo hakuna data za ku-backup maelezo yenu. Inatakiwa ukisema sehemu fulani ina baridi basi uwe na data za nyuzijoto. Sisi binadamu kuna uwezekano kabisa wa ubongo wetu kutupotosha tofauti kabisa na hali halisi. Kwenye kupima joto/ubaridi kuna kuzingatia vitu viwili. 1. Actual temperature na ''feel like'' temperature. Sehemu mbili zinaweza kabisa kuwa na nyuzi joto ya eg 10 degrees c, lakini ile ya kwanza baridi ikawa kali zaidi kwa sababu kuna upepo mkali hivyo ''feel like'' ikawa iko kwenye 7 degrees c, na ile nyingine kama haina upepo isiwe hivyo. Jambo jingine. Sehemu kama Kilimanjaro inategemea uko wapi. Kilimanjaro kuna sehemu zenye joto utadhani uko Dar eg Lower Moshi wakati ukienda sehemu kama West Kilimanjaro kuna baridi kali.
 
Singida😃😃😃
Singida upepo ndiyo unafanya ile ''feel like'' temperature inakuwa ni ya baridi zaidi kulinganisha na hali halisi. Hata sehemu za Pare zenye jua kali wakati wa msimu wa baridi upepo unafanya mambo yawe mabaya zaidi. Nimefika Singida huko Itigi wakati wa vipindi vya baridi. Huwezi kufananisha na sehemu kama West Kilimanjaro au Lushoto milimani huko.
 
Singida upepo ndiyo unafanya ile ''feel like'' temperature inakuwa ni ya baridi zaidi kulinganisha na hali halisi. Hata sehemu za Pare zenye jua kali wakati wa msimu wa baridi upepo unafanya mambo yawe mabaya zaidi. Nimefika Singida huko Itigi wakati wa vipindi vya baridi. Huwezi kufananisha na sehemu kama West Kilimanjaro au Lushoto milimani huko.

Siku ukifika Njombe utasema vingenevyo,
Singida ipo baridi ya kawaida

Hakuna baridi ya kutisha, hapa tunazungumzia Maeneo yenye baridi ya kutisha
 
Nimetembea nchi yote hii, acha utoto

Wewe ndio uache utoto,
Unaweza kuwa umetembea lakini ukawa huna elimu ya Jiografia ambayo hata Kwa mtu ambaye hajafika Maeneo hayo ataelewa ni kwanini Njombe, Ruvuma, Iringa, Mbeya, Arusha na Kilimanjaro kuna baridi kali.
 
Fuatilia vizuri wazungu wanapenda kuishi wapi. Dar ES Salaam joto kali sana mzungu hawezi kuishi hapo. Kama anaishi ni kwa sababu tu ya kazi. Wazungu wanapenda kuishi sehemu zenye baridi
Mbona wakienda Zanzibar wana pafurahia sana na kule Zanzibar hakuna baridi ila jua kali kilizidi jua la Dar.
 
We jamaa huijui baridi ya sgd aisee nenda sehemu moja inaitwa mitundu itigi utajua upo ndani ya friji
Take your time uzunguke mkuu .if you stay at your home you'll live your entire life knowing your mom's dish is the best dunian
 
Njombe ni balaa nimelala nimevaa tracksuit, koti zito,soksi nzito miguuni, na nimejifunika blanketi zito mbili, Njombe hoyee .
Maadhimisho ya baridi kitaifa hufanyikia Njombe Kila mwaka
 
Back
Top Bottom