Maeneo yenye baridi la kufa mtu Tanzania

Maeneo yenye baridi la kufa mtu Tanzania

Arusha iz overated.
Njombe
Mbeya
Iringa
Hii mikoa weka mbali na watoto.

Kwa manispaa
Usisahau kuiiweka Sumbawanga.

Wilaya nje ya lushoto Kuna
Gairo nayo SI haba
Na walaya ya mbinga pia hadi mvua za mawe
 
Naunga mkono hoja wilaya ya NEWALA-MTWARA ni hatari sana, sijui imekuwaje kule kuwe na baridi vile afu Mtwara kuwe na joto.
Newala iko juu mtwara iko chini karibu na bahari.
Kumbuka ukipanda juu kutoka usawa wa bahari joto linapungua baridi inaongezeka..ndio mana mikoa/wilaya yote yenye baridi hua ipo kwenye miinuko.

#MaendeleoHayanaChama
 
Arusha iz overated.
Njombe
Mbeya
Iringa
Hii mikoa weka mbali na watoto.

Kwa manispaa
Usisahau kuiiweka Sumbawanga.

Wilaya nje ya lushoto Kuna
Gairo nayo SI haba
Kwa ukanda wa kaskazini Mbulu inaongoza
 
Singida na Newala ziingie kwenye hiyo orodha aise
Last twi week nilikua Newala.

Kunae baridi ya kutosha alafu kuna upepo balaa. Nikashangaa watu na baridi ile mpaka saa 6 wapo Lux pale nje wanakula bia tu.


Sehemu nyingine konki ni Lushoto, Mererani
 
Natokea Njombe, sehemu yenye hali ya hewa nzuri kabisa. Mtu akisema nichague kuishi kati ya Njombe na Dar ES salaam, basi nitachagua kuishi Njombe, Nchi ya asali na maziwa. Hali ya hewa ya Dar ES Salaam ni mbovu, joto kali kama unabanikwa. Kesho andika na mikoa yenye joto kali. Joto kali halina faida yoyote ila baridi kali lina faida.
Dsm pamoja na joto kali lakini inawakimbiza kiuchumi mikoa yote Tanzania, sasa utachagua mwenyewe kuishi sehemu ya hali ya hewa nzuri au sehemu ya uhakika wa kukuza uchumi
 
Dsm pamoja na joto kali lakini inawakimbiza kiuchumi mikoa yote Tanzania, sasa utachagua mwenyewe kuishi sehemu ya hali ya hewa nzuri au sehemu ya uhakika wa kukuza uchumi
Tunaofanya hiyo Dsm iwe na uchumi ni sisi wenyewe watu wa kutoka kwenye mikoa kama Njombe, Mbeya, Iringa na mikoa mingine ya Nchi hii. Kwa hiyo usijisifu sana Dsm kukimbiza uchumi. Sisi wa mikoani ndiyo tumeijenga na kukuza huo uchumi unaojisifia hapo.
 
Dsm pamoja na joto kali lakini inawakimbiza kiuchumi mikoa yote Tanzania, sasa utachagua mwenyewe kuishi sehemu ya hali ya hewa nzuri au sehemu ya uhakika wa kukuza uchumi
Halafu pia kilichoifanya hiyo Dsm kuwa juu kiuchumi siyo hali ya hewa ya joto au baridi, bali ni bandari hiyo, kuwepo kwa serikali(Ikulu) hapo kwa miaka mingi sana. Hata kama Dsm kungekuwa kuna baridi kali kama ya Njombe lazima ingekimbiza tu kiuchumi kulingana na sababu tajwa hapo juu. Kwa hiyo joto na baridi hazijaleta uchumi huo mkubwa sawa bwana Kipangaspecial ?
 
Natokea Njombe, sehemu yenye hali ya hewa nzuri kabisa. Mtu akisema nichague kuishi kati ya Njombe na Dar ES salaam, basi nitachagua kuishi Njombe, Nchi ya asali na maziwa. Hali ya hewa ya Dar ES Salaam ni mbovu, joto kali kama unabanikwa. Kesho andika na mikoa yenye joto kali. Joto kali halina faida yoyote ila baridi kali lina faida.
Mbona wazungu wao wanapenda sana joto na jua kuliko baridi yani wazungu wakija Africa wanafurahi sana na wanapenda sana Afrika kuliko sisi wenye bara letu, Maana wakija Afrika wanavaa nguo za kawaida ambazo kwao hawavai kwasababu ya baridi
 
Mbona wazungu wao wanapenda sana joto na jua kuliko baridi yani wazungu wakija Africa wanafurahi sana na wanapenda sana Afrika kuliko sisi wenye bara letu, Maana wakija Afrika wanavaa nguo za kawaida ambazo kwao hawavai kwasababu ya baridi
Fuatilia vizuri wazungu wanapenda kuishi wapi. Dar ES Salaam joto kali sana mzungu hawezi kuishi hapo. Kama anaishi ni kwa sababu tu ya kazi. Wazungu wanapenda kuishi sehemu zenye baridi
 
Kwema Wadau!

Mwaka huu DSM kumekuwa na Hali ya hewa ya baridi ambayo imenikumbusha Maeneo yenye hatari kubwa Kwa upande wa baridi.
Watu wengi ambao hawajazunguka hii nchi wanafikiri Arusha na Moshi pekee ndio yenye baridi ya kufa mtu, Kama nawe ni mmoja wapo basi umekosea kabisa, yapo Maeneo ukifika unaweza kukimbia siku hiyohiyo.

Maeneo hayo ni Kama ifuatavyo;

1. Njombe!
Kwa Tanzania hakuna kama Njombe, ukianzia Makete, ludewa, Makambako, huko ukienda ujipange.
Huko ni baridi mwanzo mwisho😃😃.
Yaani ukifika msimu wa baridi ndio Hali unazidi kuwa ngumu.

Arusha na Moshi hapa wakasome Kwanza, Kwanza baridi Yao ni yamsimu, ingawaje yapo baadhi ya Maeneo Kama Rombo huko nako kuna baridi lakini haifikii hayo Maeneo hapo.

Nyumba zote za Maeneo ya Mkoa wa njombe na Iringa zina madirisha ya vioo na Dari za mbao kuepusha baridi kuingia lakini bado utaisikia tuu na lazima ufunike Yale mablanket makubwa.

2. Iringa, hasa wilaya Mufindi, Mafinga.
Mafinga na Makambaku ni pua na mdomo, Hali ya hewa zinafanana. Baridi mwanzo mwisho. Yaani miezi yote 12 baridi lipo, sema kuna kipindi linapungua lakini kipindi cha kiangazi baridi lake ni Sawa na kipindi cha baridi la baadhi ya mikoa Kama Pwani, na Dar, Dodoma, Singida, tabora n.k

3. Arusha.
Wakati mwingine watu waarusha baridi Lao wanadhani ndio linaongoza Tanzania lakini kimsingi sivyo, wao wanaweza kushika nafasi ya tatu wakichuana na Kilimanjaro.

4. Kilimanjaro, hasa Maeneo ya Moshi, Rombo, Moshi vijijini, Hai, Usangi, Chome, Suji, Tae n.k
Baridi la Maeneo ya marangu ukipanda Mlima Kilimanjaro nalo ni Kali, lakini haliumizi Kama lile baridi la Mafinga, au njombe huko.

5. Tanga, Lushoto.
Milima ya usambara imechangia Kwa kiasi kikubwa kuifanya wilaya ya lushoto na Maeneo ya karibu yanayozunguka Maeneo hayo.

6. Mbeya, Maeneo ya Mbeya Mjini, Rungwe, na Tukuyu kuelekea Kyela,
Baridi la Mbeya ni Kali ingawaje linamsimu wake..

7. Ruvuma
Ukaribu wa Songea na mkoa wa njombe ni Kama ilivyo Kwa ukaribu wa Moshi na Arusha.

Sehemu hizo Kwa hapa Tanzania kama unataka kujua nini maana ya baridi basi fika sehemu hizo, ingawaje yapo Maeneo mengine ya Mikoa Kama Morogoro Kama Turiani, na Maeneo ya Singer na Rukwa.

Nawasilisha
Wala huijui hii nchi, unaongelea tu maeneo ambayo labda ulipita kwa barabara

Lkn Gairo Morogoro - baridi kali
Kondoa, Babati, Katesh - baridi kali sana
Singida Kaskazini yote - baridi kali sana
 
Wala huijui hii nchi, unaongelea tu maeneo ambayo labda ulipita kwa barabara

Lkn Gairo Morogoro - baridi kali
Kondoa, Babati, Katesh - baridi kali sana
Singida Kaskazini yote - baridi kali sana

Siku ukifika Mafinga, au Makete utaelewa nilikuwa namaanisha nini.
Yaani unafananisha Babati sijui SINGIDA na vitu vya ajabu.

Hata Geographic Factor inakushinda
 
Kwema Wadau!

Mwaka huu DSM kumekuwa na Hali ya hewa ya baridi ambayo imenikumbusha Maeneo yenye hatari kubwa Kwa upande wa baridi.
Watu wengi ambao hawajazunguka hii nchi wanafikiri Arusha na Moshi pekee ndio yenye baridi ya kufa mtu, Kama nawe ni mmoja wapo basi umekosea kabisa, yapo Maeneo ukifika unaweza kukimbia siku hiyohiyo.

Maeneo hayo ni Kama ifuatavyo;

1. Njombe!
Kwa Tanzania hakuna kama Njombe, ukianzia Makete, ludewa, Makambako, huko ukienda ujipange.
Huko ni baridi mwanzo mwisho😃😃.
Yaani ukifika msimu wa baridi ndio Hali unazidi kuwa ngumu.

Arusha na Moshi hapa wakasome Kwanza, Kwanza baridi Yao ni yamsimu, ingawaje yapo baadhi ya Maeneo Kama Rombo huko nako kuna baridi lakini haifikii hayo Maeneo hapo.

Nyumba zote za Maeneo ya Mkoa wa njombe na Iringa zina madirisha ya vioo na Dari za mbao kuepusha baridi kuingia lakini bado utaisikia tuu na lazima ufunike Yale mablanket makubwa.

2. Iringa, hasa wilaya Mufindi, Mafinga.
Mafinga na Makambaku ni pua na mdomo, Hali ya hewa zinafanana. Baridi mwanzo mwisho. Yaani miezi yote 12 baridi lipo, sema kuna kipindi linapungua lakini kipindi cha kiangazi baridi lake ni Sawa na kipindi cha baridi la baadhi ya mikoa Kama Pwani, na Dar, Dodoma, Singida, tabora n.k

3. Arusha.
Wakati mwingine watu waarusha baridi Lao wanadhani ndio linaongoza Tanzania lakini kimsingi sivyo, wao wanaweza kushika nafasi ya tatu wakichuana na Kilimanjaro.

4. Kilimanjaro, hasa Maeneo ya Moshi, Rombo, Moshi vijijini, Hai, Usangi, Chome, Suji, Tae n.k
Baridi la Maeneo ya marangu ukipanda Mlima Kilimanjaro nalo ni Kali, lakini haliumizi Kama lile baridi la Mafinga, au njombe huko.

5. Tanga, Lushoto.
Milima ya usambara imechangia Kwa kiasi kikubwa kuifanya wilaya ya lushoto na Maeneo ya karibu yanayozunguka Maeneo hayo.

6. Mbeya, Maeneo ya Mbeya Mjini, Rungwe, na Tukuyu kuelekea Kyela,
Baridi la Mbeya ni Kali ingawaje linamsimu wake..

7. Ruvuma
Ukaribu wa Songea na mkoa wa njombe ni Kama ilivyo Kwa ukaribu wa Moshi na Arusha.

Sehemu hizo Kwa hapa Tanzania kama unataka kujua nini maana ya baridi basi fika sehemu hizo, ingawaje yapo Maeneo mengine ya Mikoa Kama Morogoro Kama Turiani, na Maeneo ya Singer na Rukwa.

Nawasilisha
unayafahamu MA$EVE? waulize wenyeji huko Njombe!
 
Kilimanjaro na Tanga haiifikiii Ruvuma, huwa inafika hadi 9,
Ruvuma iwe no 4 hapo.
 
Back
Top Bottom