Maeneo yenye baridi la kufa mtu Tanzania

Maeneo yenye baridi la kufa mtu Tanzania

Kwema Wadau!

Mwaka huu DSM kumekuwa na Hali ya hewa ya baridi ambayo imenikumbusha Maeneo yenye hatari kubwa Kwa upande wa baridi.
Watu wengi ambao hawajazunguka hii nchi wanafikiri Arusha na Moshi pekee ndio yenye baridi ya kufa mtu, Kama nawe ni mmoja wapo basi umekosea kabisa, yapo Maeneo ukifika unaweza kukimbia siku hiyohiyo.

Maeneo hayo ni Kama ifuatavyo;

1. Njombe!
Kwa Tanzania hakuna kama Njombe, ukianzia Makete, ludewa, Makambako, huko ukienda ujipange.
Huko ni baridi mwanzo mwisho😃😃.
Yaani ukifika msimu wa baridi ndio Hali unazidi kuwa ngumu.

Arusha na Moshi hapa wakasome Kwanza, Kwanza baridi Yao ni yamsimu, ingawaje yapo baadhi ya Maeneo Kama Rombo huko nako kuna baridi lakini haifikii hayo Maeneo hapo.

Nyumba zote za Maeneo ya Mkoa wa njombe na Iringa zina madirisha ya vioo na Dari za mbao kuepusha baridi kuingia lakini bado utaisikia tuu na lazima ufunike Yale mablanket makubwa.

2. Iringa, hasa wilaya Mufindi, Mafinga.
Mafinga na Makambaku ni pua na mdomo, Hali ya hewa zinafanana. Baridi mwanzo mwisho. Yaani miezi yote 12 baridi lipo, sema kuna kipindi linapungua lakini kipindi cha kiangazi baridi lake ni Sawa na kipindi cha baridi la baadhi ya mikoa Kama Pwani, na Dar, Dodoma, Singida, tabora n.k

3. Arusha.
Wakati mwingine watu waarusha baridi Lao wanadhani ndio linaongoza Tanzania lakini kimsingi sivyo, wao wanaweza kushika nafasi ya tatu wakichuana na Kilimanjaro.

4. Kilimanjaro, hasa Maeneo ya Moshi, Rombo, Moshi vijijini, Hai, Usangi, Chome, Suji, Tae n.k
Baridi la Maeneo ya marangu ukipanda Mlima Kilimanjaro nalo ni Kali, lakini haliumizi Kama lile baridi la Mafinga, au njombe huko.

5. Tanga, Lushoto.
Milima ya usambara imechangia Kwa kiasi kikubwa kuifanya wilaya ya lushoto na Maeneo ya karibu yanayozunguka Maeneo hayo.

6. Mbeya, Maeneo ya Mbeya Mjini, Rungwe, na Tukuyu kuelekea Kyela,
Baridi la Mbeya ni Kali ingawaje linamsimu wake..

7. Ruvuma
Ukaribu wa Songea na mkoa wa njombe ni Kama ilivyo Kwa ukaribu wa Moshi na Arusha.

Sehemu hizo Kwa hapa Tanzania kama unataka kujua nini maana ya baridi basi fika sehemu hizo, ingawaje yapo Maeneo mengine ya Mikoa Kama Morogoro Kama Turiani, na Maeneo ya Singer na Rukwa.

Nawasilisha
Sumbawanga kuna baridi kali sana tangu mwaka jana. Kwa mtazamo wangu kwa ukali wa baridi Makete kunashika namba 1 nchini, 2 Makambako, 3 Njombe, 4 Mwakaleli (wilayani Rungwe) na 5 Sumbawanga
 
Kwema Wadau!

Mwaka huu DSM kumekuwa na Hali ya hewa ya baridi ambayo imenikumbusha Maeneo yenye hatari kubwa Kwa upande wa baridi.
Watu wengi ambao hawajazunguka hii nchi wanafikiri Arusha na Moshi pekee ndio yenye baridi ya kufa mtu, Kama nawe ni mmoja wapo basi umekosea kabisa, yapo Maeneo ukifika unaweza kukimbia siku hiyohiyo.

Maeneo hayo ni Kama ifuatavyo;

1. Njombe!
Kwa Tanzania hakuna kama Njombe, ukianzia Makete, ludewa, Makambako, huko ukienda ujipange.
Huko ni baridi mwanzo mwisho[emoji2][emoji2].
Yaani ukifika msimu wa baridi ndio Hali unazidi kuwa ngumu.

Arusha na Moshi hapa wakasome Kwanza, Kwanza baridi Yao ni yamsimu, ingawaje yapo baadhi ya Maeneo Kama Rombo huko nako kuna baridi lakini haifikii hayo Maeneo hapo.

Nyumba zote za Maeneo ya Mkoa wa njombe na Iringa zina madirisha ya vioo na Dari za mbao kuepusha baridi kuingia lakini bado utaisikia tuu na lazima ufunike Yale mablanket makubwa.

2. Iringa, hasa wilaya Mufindi, Mafinga.
Mafinga na Makambaku ni pua na mdomo, Hali ya hewa zinafanana. Baridi mwanzo mwisho. Yaani miezi yote 12 baridi lipo, sema kuna kipindi linapungua lakini kipindi cha kiangazi baridi lake ni Sawa na kipindi cha baridi la baadhi ya mikoa Kama Pwani, na Dar, Dodoma, Singida, tabora n.k

3. Arusha.
Wakati mwingine watu waarusha baridi Lao wanadhani ndio linaongoza Tanzania lakini kimsingi sivyo, wao wanaweza kushika nafasi ya tatu wakichuana na Kilimanjaro.

4. Kilimanjaro, hasa Maeneo ya Moshi, Rombo, Moshi vijijini, Hai, Usangi, Chome, Suji, Tae n.k
Baridi la Maeneo ya marangu ukipanda Mlima Kilimanjaro nalo ni Kali, lakini haliumizi Kama lile baridi la Mafinga, au njombe huko.

5. Tanga, Lushoto.
Milima ya usambara imechangia Kwa kiasi kikubwa kuifanya wilaya ya lushoto na Maeneo ya karibu yanayozunguka Maeneo hayo.

6. Mbeya, Maeneo ya Mbeya Mjini, Rungwe, na Tukuyu kuelekea Kyela,
Baridi la Mbeya ni Kali ingawaje linamsimu wake..

7. Ruvuma
Ukaribu wa Songea na mkoa wa njombe ni Kama ilivyo Kwa ukaribu wa Moshi na Arusha.

Sehemu hizo Kwa hapa Tanzania kama unataka kujua nini maana ya baridi basi fika sehemu hizo, ingawaje yapo Maeneo mengine ya Mikoa Kama Morogoro Kama Turiani, na Maeneo ya Singer na Rukwa.

Nawasilisha
Arusha iz overated.
Njombe
Mbeya
Iringa
Hii mikoa weka mbali na watoto.

Kwa manispaa
Usisahau kuiiweka Sumbawanga.

Wilaya nje ya lushoto Kuna
Gairo nayo SI haba
 
Joto linadhibitiwa vizuri tu kwa kutumia AC, Feni, madirisha makubwa yenye hewa Safi na wavu, kuvaa nguo nyepesi Kama T-shirt, singlend (vest) nk tofauti na baridi watu wanalala na jiko la mkaa ndani wanakosa oxygen Hadi wanapoteza maisha. Sehemu za joto ni nzuri Sana hata mazao hukomaa kwa haraka zaidi mfn mahindi ,papai nk .
OVER
Hilo la mazao nakataa mkuu unataka kuniambia mikoa ya pwani inazalisha mahindi kuliko mikoa ya nyanda za juu kusini? Big no i see!!
 
Aisee unaweza kutembea na feni, ac, madirisha? Nani alikuambia joto unadhibiti kwa kuvaa vest? Huko Dar ES Salaam kuna mazao gani mliyo lima na yaka komaa kwa joto? Angalia mikoa ya Kusini ambayo ndiyo yenye baridi kali, ndiyo inayo lisha karibia Nchi nzima.
Joto halipo Dar tu
Hata Moro Kuna mazao kibao yanalimwa na yanawahi kukomaa sababu ya joto
 
Hilo la mazao nakataa mkuu unataka kuniambia mikoa ya pwani inazalisha mahindi kuliko mikoa ya nyanda za juu kusini? Big no i see!!
Elewa point boss nimesema mazao Kama mahindi na papai kwa mikoa yenye joto mazao yanawahi kukomaa kuliko mikoa yenye baridi. Sijasema mikoa ya Pwani inaongoza kuzalisha mahindi kuliko nyanda za juu Kusini@
 
7. Inatunyooshaje huku siku jua likiwaka linawaka kwa masaa[emoji50]

Mbeya mjini binafsi naona hakuna baridi kalii.
 
Kwema Wadau!

Mwaka huu DSM kumekuwa na Hali ya hewa ya baridi ambayo imenikumbusha Maeneo yenye hatari kubwa Kwa upande wa baridi.
Watu wengi ambao hawajazunguka hii nchi wanafikiri Arusha na Moshi pekee ndio yenye baridi ya kufa mtu, Kama nawe ni mmoja wapo basi umekosea kabisa, yapo Maeneo ukifika unaweza kukimbia siku hiyohiyo.

Maeneo hayo ni Kama ifuatavyo;

1. Njombe!
Kwa Tanzania hakuna kama Njombe, ukianzia Makete, ludewa, Makambako, huko ukienda ujipange.
Huko ni baridi mwanzo mwisho[emoji2][emoji2].
Yaani ukifika msimu wa baridi ndio Hali unazidi kuwa ngumu.

Arusha na Moshi hapa wakasome Kwanza, Kwanza baridi Yao ni yamsimu, ingawaje yapo baadhi ya Maeneo Kama Rombo huko nako kuna baridi lakini haifikii hayo Maeneo hapo.

Nyumba zote za Maeneo ya Mkoa wa njombe na Iringa zina madirisha ya vioo na Dari za mbao kuepusha baridi kuingia lakini bado utaisikia tuu na lazima ufunike Yale mablanket makubwa.

2. Iringa, hasa wilaya Mufindi, Mafinga.
Mafinga na Makambaku ni pua na mdomo, Hali ya hewa zinafanana. Baridi mwanzo mwisho. Yaani miezi yote 12 baridi lipo, sema kuna kipindi linapungua lakini kipindi cha kiangazi baridi lake ni Sawa na kipindi cha baridi la baadhi ya mikoa Kama Pwani, na Dar, Dodoma, Singida, tabora n.k

3. Arusha.
Wakati mwingine watu waarusha baridi Lao wanadhani ndio linaongoza Tanzania lakini kimsingi sivyo, wao wanaweza kushika nafasi ya tatu wakichuana na Kilimanjaro.

4. Kilimanjaro, hasa Maeneo ya Moshi, Rombo, Moshi vijijini, Hai, Usangi, Chome, Suji, Tae n.k
Baridi la Maeneo ya marangu ukipanda Mlima Kilimanjaro nalo ni Kali, lakini haliumizi Kama lile baridi la Mafinga, au njombe huko.

5. Tanga, Lushoto.
Milima ya usambara imechangia Kwa kiasi kikubwa kuifanya wilaya ya lushoto na Maeneo ya karibu yanayozunguka Maeneo hayo.

6. Mbeya, Maeneo ya Mbeya Mjini, Rungwe, na Tukuyu kuelekea Kyela,
Baridi la Mbeya ni Kali ingawaje linamsimu wake..

7. Ruvuma
Ukaribu wa Songea na mkoa wa njombe ni Kama ilivyo Kwa ukaribu wa Moshi na Arusha.

Sehemu hizo Kwa hapa Tanzania kama unataka kujua nini maana ya baridi basi fika sehemu hizo, ingawaje yapo Maeneo mengine ya Mikoa Kama Morogoro Kama Turiani, na Maeneo ya Singer na Rukwa.

Nawasilisha
We ni mpumbavu tu unaanzisha mada za kijinga.
Huyo alosema arusha na moshi ndo kwenye baridi ni nani. Amekua mtabiri wa hali ya hewa au.
Hata ingalikua hivyo ni kwa faida ya nani au hasara ya nani.
Ujinga mtupu
 
7. Inatunyooshaje huku siku jua likiwaka linawaka kwa masaa[emoji50]

Mbeya mjini binafsi naona hakuna baridi kalii.
Mbeya town nilikuja mwezi wa5 mwanzoni nilipigwa na baridi kinoma , sipati picha baridi la kipindi hiki lipoje. Maana hiyo mwezi wa 5 kwa Morogoro bado kulikuwa na joto Sasa kwa hili baridi la Moro kwa Sasa ni hatari sipati picha kwa huko Mbeya
 
Mbeya town nilikuja mwezi wa5 mwanzoni nilipigwa na baridi kinoma , sipati picha baridi la kipindi hiki lipoje. Maana hiyo mwezi wa 5 kwa Morogoro bado kulikuwa na joto Sasa kwa hili baridi la Moro kwa Sasa ni hatari sipati picha kwa huko Mbeya
Kwa mie ninaetokea kwenye baridi kalii mbeya mjini naona hakuna baridi hadi nashangaaga nikienda hilo baridi linalokuzwa mbona joto[emoji23]

Nilikuwepo huko nasema mwezi huu wa sita naliona kawaida tu,na siogagi maji moto maana naona joto,

Wenyeji wanasema kuna baadhi ya sehemu kuna baridi.
 
Mbeya town nilikuja mwezi wa5 mwanzoni nilipigwa na baridi kinoma , sipati picha baridi la kipindi hiki lipoje. Maana hiyo mwezi wa 5 kwa Morogoro bado kulikuwa na joto Sasa kwa hili baridi la Moro kwa Sasa ni hatari sipati picha kwa huko Mbeya
Nenda mgeta utajuta kuzaliwa,
 
Kwema Wadau!

Mwaka huu DSM kumekuwa na Hali ya hewa ya baridi ambayo imenikumbusha Maeneo yenye hatari kubwa Kwa upande wa baridi.
Watu wengi ambao hawajazunguka hii nchi wanafikiri Arusha na Moshi pekee ndio yenye baridi ya kufa mtu, Kama nawe ni mmoja wapo basi umekosea kabisa, yapo Maeneo ukifika unaweza kukimbia siku hiyohiyo.

Maeneo hayo ni Kama ifuatavyo;

1. Njombe!
Kwa Tanzania hakuna kama Njombe, ukianzia Makete, ludewa, Makambako, huko ukienda ujipange.
Huko ni baridi mwanzo mwisho[emoji2][emoji2].
Yaani ukifika msimu wa baridi ndio Hali unazidi kuwa ngumu.

Arusha na Moshi hapa wakasome Kwanza, Kwanza baridi Yao ni yamsimu, ingawaje yapo baadhi ya Maeneo Kama Rombo huko nako kuna baridi lakini haifikii hayo Maeneo hapo.

Nyumba zote za Maeneo ya Mkoa wa njombe na Iringa zina madirisha ya vioo na Dari za mbao kuepusha baridi kuingia lakini bado utaisikia tuu na lazima ufunike Yale mablanket makubwa.

2. Iringa, hasa wilaya Mufindi, Mafinga.
Mafinga na Makambaku ni pua na mdomo, Hali ya hewa zinafanana. Baridi mwanzo mwisho. Yaani miezi yote 12 baridi lipo, sema kuna kipindi linapungua lakini kipindi cha kiangazi baridi lake ni Sawa na kipindi cha baridi la baadhi ya mikoa Kama Pwani, na Dar, Dodoma, Singida, tabora n.k

3. Arusha.
Wakati mwingine watu waarusha baridi Lao wanadhani ndio linaongoza Tanzania lakini kimsingi sivyo, wao wanaweza kushika nafasi ya tatu wakichuana na Kilimanjaro.

4. Kilimanjaro, hasa Maeneo ya Moshi, Rombo, Moshi vijijini, Hai, Usangi, Chome, Suji, Tae n.k
Baridi la Maeneo ya marangu ukipanda Mlima Kilimanjaro nalo ni Kali, lakini haliumizi Kama lile baridi la Mafinga, au njombe huko.

5. Tanga, Lushoto.
Milima ya usambara imechangia Kwa kiasi kikubwa kuifanya wilaya ya lushoto na Maeneo ya karibu yanayozunguka Maeneo hayo.

6. Mbeya, Maeneo ya Mbeya Mjini, Rungwe, na Tukuyu kuelekea Kyela,
Baridi la Mbeya ni Kali ingawaje linamsimu wake..

7. Ruvuma
Ukaribu wa Songea na mkoa wa njombe ni Kama ilivyo Kwa ukaribu wa Moshi na Arusha.

Sehemu hizo Kwa hapa Tanzania kama unataka kujua nini maana ya baridi basi fika sehemu hizo, ingawaje yapo Maeneo mengine ya Mikoa Kama Morogoro Kama Turiani, na Maeneo ya Singer na Rukwa.

Nawasilisha
Njombe kiboko nyuzi joto 5
 
Back
Top Bottom