Jambo jema sana ,tunaweza tukiamuaShirika la ndege la Tanzania (Air Tanzania) imefanya safari yake kwanza leo alfajiri kuelea mji wa kibiashara Guangzhou nchini China.
Air Tanzania itakuwa inafanya safari zake moja kwa moja toka Dar es Salaam, Tanzania mpaka Guangzhou nchini China huku ikitumia takribani masaa 11 ikiwa angani.
#AirTanzaniaView attachment 1777180View attachment 1777179View attachment 1777178View attachment 1777182View attachment 1777181View attachment 1777184View attachment 1777183
Wameenda management yote, wakafanye sherehe na kununua vitu vya Idd.Natamani kujua imeondoka na abiria wangapi, lakini pia inaweza kuwa kivutio cha utalii kitendo cha kutua kwenye viwanja vya watu natumai watasoma jina waijue Tanzania.
Jpm yupi?Safi sana jpm. Hakuna kama wewe
VISA ya China ni tatizo?Tatizo kubwa ni kupata VISA
... Mama Samia na hayati ni kitu kimoja! Roho kwatu au siyo?Team corona kimyaaa😂😂😂😂😂wakati huko ndio chimbuko la ugonjwa aiseee