Mafanikio ya ATCL: Safari za moja kwa moja kutoka Tanzania kwenda Guangzhou China zaanza

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Shirika la ndege la Tanzania (Air Tanzania) imefanya safari yake kwanza leo alfajiri kuelea mji wa kibiashara Guangzhou nchini China.

Air Tanzania itakuwa inafanya safari zake moja kwa moja toka Dar es Salaam, Tanzania mpaka Guangzhou nchini China huku ikitumia takribani masaa 11 ikiwa angani.

 
Natamani kujua imeondoka na abiria wangapi, lakini pia inaweza kuwa kivutio cha utalii kitendo cha kutua kwenye viwanja vya watu natumai watasoma jina waijue Tanzania.
 
Jambo jema sana ,tunaweza tukiamua
 
Team corona kimyaaa😂😂😂😂😂wakati huko ndio chimbuko la ugonjwa aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…