Coolhigh
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,373
- 1,271
Watanzania hawahitaji visa kwenda China labda kama siyo MtanzaniaTatizo kubwa ni kupata VISA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania hawahitaji visa kwenda China labda kama siyo MtanzaniaTatizo kubwa ni kupata VISA
Changamoto kipimo chao cha covidTatizo kubwa ni kupata VISA
Hivi ndege ya abiria ina tofauti gani na ndege ya mizigo? Nifahamishe!Saafi Atcl... Mjitahidi tupate usafiri kwa matumda, maua, asali, viungo namboga mboga huko ughaibuni
Ilikuwa na abiria wangapi?Shirika la ndege la Tanzania (Air Tanzania) imefanya safari yake kwanza leo alfajiri kuelea mji wa kibiashara Guangzhou nchini China.
Air Tanzania itakuwa inafanya safari zake moja kwa moja toka Dar es Salaam, Tanzania mpaka Guangzhou nchini China huku ikitumia takribani masaa 11 ikiwa angani.
#AirTanzaniaView attachment 1777180View attachment 1777179View attachment 1777178View attachment 1777182View attachment 1777181View attachment 1777184View attachment 1777183
Wabongo hawakosagi kasoro .... Kwa long haul bado huo ni muda wa kawaida ndege ya kisasa sana huchoki sana sio kama enzi hizo tunasafiri na ndege choo kinanuka ...... ila masaa 11 duh! Inge-stop japo Mumbai, India au Dhaka, Bangladesh, au Rangoon, Myanmar!
Lazima uwe na strategic plan sio kukurupuka tu starting point ni hiyo mengine yata kujaTulitakiwa tuwe na rout nyingi za nchi za afrika ila rout kama za China na Dubai zipate kuleta matokeo mazuri.
Sanaaa!Hiyo route atcl wakitulia watafanya sana biashara
Ova
japo mm siyo mtaalamu wa ndege lkn perishable goods zinahitaji uangalizi maalumuHivi ndege ya abiria ina tofauti gani na ndege ya mizigo? Nifahamishe!
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Ni kwlei kabisa na kwakuwa tunapiga moja kw amoja kmaa ile ya Mumbai namini nauli itakuw acheap sanaa kuliko washindani wengine.Lazima uwe na strategic plan sio kukurupuka tu starting point ni hiyo mengine yata kuja
Route ya pesa haswa ni dubai yaan hapo ndipo kuna pesa ipo wazi ila tuna bungua macho tu. Emirate wana leta boeng 777 -300 ER ni dege kubwaaa balaaa lina meza watu kama 290+ ikiwa full ...lkn hawa emirate wana lishushaa kila kuchwapoHii route ni very strategic kwa Tanzania
Huu ni wakati sasa wa kuimarisha uchumi kama tunavojua Guanzhou ndio kama industrial hub ya Uchina.
For the first time katika uwanja huo itaitwa "Air Tanzania flight number T255 JPM will be arriving shortly directly from Dar es Salaam Tanzania".Natamani kujua imeondoka na abiria wangapi, lakini pia inaweza kuwa kivutio cha utalii kitendo cha kutua kwenye viwanja vya watu natumai watasoma jina waijue Tanzania.
Wamepata 75% ya abiria ( 240 B787-8 capacity).Natamani kujua imeondoka na abiria wangapi, lakini pia inaweza kuwa kivutio cha utalii kitendo cha kutua kwenye viwanja vya watu natumai watasoma jina waijue Tanzania.
Hiyo route ngumu,kuna Emirates Airline na FLY DUBAI hapo,Fly Dubai nauli nafuu.Route ya pesa haswa ni dubai yaan hapo ndipo kuna pesa ipo wazi ila tuna bungua macho tu. Emirate wana leta boeng 777 -300 ER ni dege kubwaaa balaaa lina meza watu kama 290+ ikiwa full ...lkn hawa emirate wana lishushaa kila kuchwapo
It's Guang Zhou...Hongera ATCL Gwanzuu ni mji muhimu kwa bidhaa solo la Africa
Wachina wameweza kuidhibiti sana Covid...Team corona kimyaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wakati huko ndio chimbuko la ugonjwa aiseee
Mbona ni standard kwa sababu ndege inayoenda moja kwa moja Baiyun na sio Beijing au Shanghai...Naomba JINA la huyo Rubani ,nimemkubali masaa 11angani?[emoji16][emoji44]