Queen matty
Member
- May 14, 2016
- 84
- 89
This is dope ... thank you JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kubwa ni kupata VISA
... angekuwepo angeenda kuzindua na hili!PICHA : Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) leo alfajiri limezindua rasmi safari za moja kwa moja Kutoka Dar es salaam hadi Guangzhou, China baada ya kuahirishwa mara kadhaa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo janga la Corona.
Uzinduzi huo umeongozwa na Mhandisi. Dkt. Leonard Madaraka Chamuriho, Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa ATCL, Mhandisi Ladislaus Matindi.
Hizi ni picha kutoka Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere Terminal 3, Raia wa China wakiwa kwenye maandalizi tayari kuanza safari.
Unasemea yule aliyesema ATCL inapata faida kumbe shirika linaingiza hasara ya 60bil per year?Aliyefufua ATCL.
Jembe aliyeagiza ndege zinunuliwe.
Natamani kujua imeondoka na abiria wangapi, lakini pia inaweza kuwa kivutio cha utalii kitendo cha kutua kwenye viwanja vya watu natumai watasoma jina waijue Tanzania.
Magufuli miaka yote kashindwa mama ndani ya siku 60 tu shirika limeanza kutoa ndege nje...Asante rais magufuli
This is dope ... thank you JPM
Chuki zako kwa JPM haziwezi badilisha ukweli alifufua shirika la ndege.Unasemea yule aliyesema ATCL inapata faida kumbe shirika linaingiza hasara ya 60bil per year?
Jambo zuri sana. Labda hiyo ruti itakuwa na faida.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] hicho kibali chenyewe cha kwenda China kimekuja kupatikana mwaka huu mwezi wa kwanza ila changamoto kubwa ilikuwa ni Covid na kama utakumbuka mwezi wa 3 mwishoni ilibidi waanze safari lakini ikashindika wakasema watatoa tena tarehe y kwenda ndo hiyo ila yooote bado ukimuona mwewe wa ATCL utamkumbuka JPMMagufuli miaka yote kashindwa mama ndani ya siku 60 tu shirika limeanza kutoa ndege nje...
Kweli rais tunaye..
Ndio kupambana sasaa ww unafikir kuna route ya pesa isiyo na ushindaniHiyo route ngumu,kuna Emirates Airline na FLY DUBAI hapo,Fly Dubai nauli nafuu.
Ndege ya mizigo kama ya mizigo inawekwa sakafu maalumu kwa kuwekea makasha/containers za mizigo za ndege na haina viti, vyoo na majiko. Huwa ina choo kimoja na jiko moja kwa wafanyakazi. Na ni kawaida sasa wafanyakazi ni marubani wawili tu. Ila ndege zote za abiria zinaweza kubeba mizigo kwa ama kutolewa viti na vyoo/majiko kwa muda lakini mizigo siyo kwa makasha maalumu.Hivi ndege ya abiria ina tofauti gani na ndege ya mizigo? Nifahamishe!
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app