Mwanasiasa yoyote Duniani Hana muda na Mtu Masikini or Mnyonge. Equally Mungu hana Ukaribu na mtu Mnyonge maana Maandiko yanasema Kinyonge Hakitaingia Mbinguni.
 
Mtu anaweza kuchafuka mavi na kusafishwa hadi akanukia marashi.
 
Watumishi wa umma ni miongoni mwa hao wanyonge ambao masilahi yao yameboreshwa sana katika miaka hii 5 ya JPM.
Watumishi wa umma sio wanyonge.

Wanyonge wakulima wadogo wadogo machniga mama ntilie wachimbaji wadogo and the like.
 
Kwani alikuwa na watoto wanaosoma secondari kipindi akiwa raisi?
 
Mloganzila kumbe nayo kajenga yeye?😲
 
Watumishi wa umma sio wanyonge.

Wanyonge wakulima wadogo wadogo machniga mama ntilie wachimbaji wadogo and the like.
kuvuruga umoja na mshikamano uliokuwepo ili kuendana na "divide and rule policy"
Kila mtu ana unyonge wake imekuwa ni jamaa iliyo nyamaza am a kunyamazishwa ukimya husababisha watu wasijihusishe na shughuli za kijamii 'silence surrender public responsibility'
 
Tatizo la Magufuli, alidhani atakuwa Rais wa Tanzania milele miradi mingi utadhani aliambiwa hawatakuja watu wengine kufanya haya mambo ni kupokezana vijiti unajikuna unapoweza unaachia wengine nao wataendeleza hakujifunza kuwa alianza kuyafanya Nyerere na hakuweza kumaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…