Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021
Sisi wa Uswazi ndani ndani.

Barabara ya lami gomz to Moshi bar yenye taa na mitaro yake. Mradi wa maji kisarawe to gomz, toka 1994 tunahamia gomz hatukuwahi kua na maji ya bomba, chuma kimeingia in 4yrs mimaji km yote.

Na Flyover yetu ya Tazara, hii watu wanaosema ni ya JK nadhani ni vyema ht waka google kuangalia ilianza lini na ikaisha lini, sisi wakazi wa maeno hayo ndo tunaijua zaidi msitusemee tafadhali(Mipango sio matumizi, wewe demu wako akipewa mimba na mtu mwingine huyo mtoto anakuaje wa kwako?)
 
Mradi kabla ya kufikia level ya detailed project design , bado upo katika barua ya uchumba ( kutongoza ), fly over ya Tazara imejengwa na Magufuli.

Bora ungesema reli ya SGR ni Kikwete kwa sababu level ya Detailed Project Design tayari ulifikia na kuombewa pesa. ( mradi mimba)
SGR ndo kabisaa sio ya JK, jamaa wana design and build na ht pesa za awamu ya kwanza zilitoka hazina hazikuombwa popote, hio detail design ya JK ya mreli wa desel km wa kenya km ilikuepo haijawasaidia popote.
 
Tatizo la Magufuli, alidhani atakuwa Rais wa Tanzania milele miradi mingi utadhani aliambiwa hawatakuja watu wengine kufanya haya mambo ni kupokezana vijiti unajikuna unapoweza unaachia wengine nao wataendeleza hakujifunza kuwa alianza kuyafanya Nyerere na hakuweza kumaliza.
Wala hakua na miradi mingi , ni promotion tu
 
Mradi kabla ya kufikia level ya detailed project design , bado upo katika barua ya uchumba ( kutongoza ), fly over ya Tazara imejengwa na Magufuli.

Bora ungesema reli ya SGR ni Kikwete kwa sababu level ya Detailed Project Design tayari ulifikia na kuombewa pesa. ( mradi mimba)
tatizo sio mradi ulipangwa mda gan. Kwa Tanzania ilivyo wanaweza kupanga mradi mwaka huu na ela ikaombwa ila itekeezaji ukawa zero.

Sisi wa mara tutamkumbuka kwa kuweza kumalizia hospital ya kwangwa iliyoanza ujenz wake toka enzi za Nyerere (japo sio kwa 100%)
 
Katika kusoma wasifu wake sikuona sehemu yoyote ile Kabudi akitaja ujenzi wa Tanzania ya viwanda, sambamba na kuanzishwa kwa viwanda vipya zaidi ya 3,000 vilivyotapakaa nchi nzima.
Alisema viwanda 8447 (viwanda hewa)
Madaraja 14

Surprisingly hawana mradi wa barabara hata mmoja wa maana , ni marekebisho ya barabara za mitaa
 
Vimejengwa chini ya muhula wake...

Kwa kifupi awamu ya JPM, serikali yake imejitahidi sana kwenye miundombinu ikiwepo vitu vya mabasi ya mkoa hadi mkoa
Hapana si kweli

Awamu ya NNE iliyotandika lami kuunganisha nch nzima nayo tutasemaje ?
 
1. Mabweni ya Chuo Kikuu Cha DAR ES SALAAM
2. Tazara flyover
3. Ubungo flyover
4. Mv. Hapa Kazi TU
5. Mv Mbeya
6. Daraja la Mkupita
Jamani leo ikiwa ni siku ya mazishi yake haki yake tumpeni kila mradi alioukamilisha tuutaje
Tazara flyover si wa Magufuli yeye alimalizia tu
 
Back
Top Bottom