Simba?Atakuwa Simba wa familia yako.Hamnaga akili.Kazi kusifia wanaume tu.Guniooo!
 
Ni kweli kabisa,ila alikopa sana,na ameua,amepoteza watu sana,ila alikuwa anafaa sana,ilibidi tuendelee nae hata kwa miaka 10,tungekuwa kama china
 
Kwa mtu anayetoka Nchi iliyokuwa British Colony na akasoma mpaka Form IV tu hana EXCUSE ya kutoongea Kiingereza.

Huyo DIKTETA wenu kubalini alikuwa kichwa cha panzi ndiyo maana alikuwa Aisha anaongea broken English au aongee Kiswahili tu. Halafu anawadanganya ana PhD?
 
Kama na wewe huwezi kuongea kiingereza fasaha nakupa pole sana, ila kama umeishia La Saba nakusamehe.
 
Kama na wewe huwezi kuongea kiingereza fasaha nakupa pole sana, ila kama umeishia La Saba nakusamehe.
Nilikuwa nadhania ni mtu mzima lakini hapo ulipoandika kuongea kingereza fasaha nimegundua ni mmoja wa vijana wadogo wa mitandaoni.

Ma-cheki bobu wa kupiga selfie na kutupia mitandaoni.
 

Kwa spidi ya mikopo isokuwa na tija muda sio mwingi watarudi hao waliokufundisha kiingereza utapewa namba yako na kukabidhiwa shamba ….ndio tutajua manufaa ya hicho kiingereza unachokiona mali…
 
"Tuna vita vya kiuchumi na wazungu tena mabeberu. Mabeberu sio watu wazuri" alisikika mjinga mmoja akiwaponda watu waliomuwekea betri kwenye moyo ili kuokoa maisha take.

Magufuli si mtu mzuri alisikika mburu ngeke mmoja aliekuwa anaamka saa tisa usiku kuchota maji halafu awahi kibarua posta kabla foleni haijakolea…
 
Kingereza ndio nini? Ni maendeleo, chakula au ni nini hicho?

Unawajua wachina wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…